Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Jirani....

Kuweka rekodi sawa ni vema pia ungetueleza kwamba baada ya 1954/55 Chelsea hawajachukua first division/EPL tangu mwaka huo na walikuja kuchukua kombe (EPL) msimu wa mwaka 2004/2005 baada ya Roman kuinunua(miaka 50 baadae).....Hapa gap la 50 years limejirudia tena i.e 1905-1954/55 na 1955-2004/05....

Pia ikumbukwe kwamba Chelsea wamechukua ubingwa wa first division/EPL mara nne(04) ilhali Arsenal wamechukua ubingwa wa first division/EPL mara kumi na tatu(13)...
 


Jirani
Tulikuwa tunaongelea makombe in general, sio 1st Div/EPL peke yake.
 


hahaha usijali mi wa kitambo sana humu , mi nasubiri kwa hamu pre-seasson na boca Jr. gooners match za qualifications zile hatuna mchecheto! tunapita as usual!! kwa ile syle yetu ya soccer ( only barca can match) na marekebisho angalau ni madogo aliyofanya wenger! ... next season gooners watakuwa Ass kickers .. cant wait that day ambayo tutakufunga wewe ... tehtehte ...
 

...LOL...hhhahhhaaahhaaa...Na bado, msimu huu tunakuja na moto mpya!
Ni washabiki wa Arsenal tu wasiokimbia jukwaa hapa...

Hebu jitahidini msimu unaoanza keshokutwa nanyie muweke nia!...tunaanza Roll Call;
Peasant, Masanilo, Aljuniortz, Ab-titchaz, Invisible -alishastaafu kipindi kile cha misiba mfululizo?-, Rev Kishoka, wote rudini kundini hapa.

Wale mashetani, kuna 1st Lady BelindaJacob, Manda (hiki ni kisiki matata!) Belo, Mfarisayo, Eqlypz...lol...mzee wa video huyu!...RR anauma akipuliza...

Bwawa la maini kabakia MTM tu, kamanda wangu huyu...

Spuds kuna Klorokwini, yeye huibuka siku za mavuno tu!....
Jiandaeni kwa madongo, msimu huu ni mawe na matofali kwa kwenda mbele maana hamna tena vijisababu Ooohh, Tor-the-Goaless sijui bado hajajua formation, mara Ooohh,...Rooney mkewe mjamzito...

Arsenal, The Gunners!!! pamoja kama kawaida!!!!!



..."Bundi" anaruka ruka kama kawaida...!!!
 
Jukwaa hii kuna watu wanaonekana mkishinda tuu, Kweli, Richard, Radical, Kibunango, Ng'wanza Madaso naye anakujaga watu wakishaondoka kuna watu kama Kana kansungu, Game Theory waliona isiwe shida wakaamua kuingia mitini jumla jumla tangu 2007 mnasemaga hivi hivi msimu huu ni bakora kwa kwenda mbele blah blah...
 


Najua sana kwamba wewe mkongwe hapa JF, lakini sio regular kwenye jukwaa la Arsenil, ndio nilichomaanisha....labda umebadili ID. Anyway, hizo sentensi za "huu ni mwaka wetu" kila mwanzoni mwa msimu kutoka kwa Arsenal fans tumeshazizoea sasa. Mara nyingi wanakuwa wengi sana mwanzoni mwa msimu, lakini ikifika Xmas/new year time wanaanza kupungua, na ifikapo March wengi wao hawaonekani wanabaki wale ambao mimi nawaita "wakongwe" wa jukwaa hili....wengi wa wakongwe hawa wako balanced katika comments zao, hawa ni pamoja na AW, Mbu - ingawa Chelsea inampa taabu sana kwenye maisha yake..lol, BAK, Questt, Bibie Michelle, Wacha1 a.k.a COWARD- huyu ni tofauti na wakongwe wote, ana kawaida ya kujificha kila mechi inapoendelea maana anaogopa madongo kutokana majigambo yake kuhusu Arsenil, he's gutless, hayuko balanced wala objective hata kidogo na ni mzee wa kulialia sana kila anapofungwa; Balantanda, na Ng'waza Madaso - huyu hana mchango mkubwa hapa jukwaani zaidi kufanya copy/paste na plagiarism..........khe khe!
 


Well said mkuu!
 


Kama kawaida, nitakuwepo msimu mzima kurusha bendera ya Bluu.
KTBFFH
 

Nyie tumewazoea msipoangalia msimu huu mnaondolewa top 4 ,ila ukweli mashabiki wa The Blues wanaongoza kwa kupotea jukwaani
 
Reactions: Mbu
...Eqlypz, Peasant na Belo...nimewasoma wakuu...nakweli...August hiyooo ipo kona
shule inakaribia kufunguliwa!...Pamoja wazee...missed madongo yenu guys!
Jukwaa la Sports ndio kijiwe chetu kwa takriban miezi Kumi kila mwaka...

Pamoja kama kawaida.
 
Responsible to oversee the whole operation
Mtani mimi ni mwanajeshi kamili na katu sikimbii mapigano, tukishinda nipo na tukifungwa nakuja tunajadili na kutathmini, wakati mwengine nakuwa nimebanwa kwenye hustle and bustle za mujini kaka, msimu tulioondoka nao kuanzia Machi nilikuwa mbali na sio JF tu bali hata mtandaoni kutokana na mambo fulani binafsi (personal)
Ila ukweli huku jukwaa la michezo Arsenal tunaongoza kwa kuwa na wanachama wenye msimamo, huku kaka tuko full nondo, hebu cheki iyo executive board yetu.
Field Marshall: A. Wenger - Chief of joint staff, responsible in overseeing all Units.
Field Marshall G Theory (Henry) - (semi retired) replaced by F Marshall Wenger.
General Wacha1- Head, Air Strike Division ( recruited from snipers squadron and since has received so much accolade and remarkable reputation for his bravery and precise target bombardment on enemies territory)
Gen. Mbu - Responsible for planning, tactical and frontline manouvering, head of planning unit
Gen. Kibunango - semi-retired Air Strike Division, slowly handing over day to day war-field operation to Gen.Wacha1,
Gen. Balatanda - Head of Intelligence unit.
Gen. Kweli - 1st Infantry division
Gen. N Madaso- 1st cavalry division
L. Gen. Michelle - Head of public relation
Gen. BAK - Director of Communication.
Gen. BabaMkubwa - Head, Combat Engineerings.
Gen Viper - Head of Reconnaissance
Gen. Richard - Artillery division
Gen Companero - Head of Logistic
L Gen.Radical - Welfare department.
Other sitting board members L Gen. Jeb2002, L Gen Rejao.
Sasa jopo hili apo adui anapokuja kizembe-zembe anatafuta kubomolewa.
 
General Wacha1- Head, Air Strike Division ( recruited from snipers squadron and since has received so much accolade and remarkable reputation for his bravery and precise target bombardment on enemies territory)



This is the reason you keep losing battles, soon you gonna lose the war! You can't put Mohammed Saeed al-Sahhaf on frontline and expect to win the war!
 
This is the reason you keep losing battles, soon you gonna lose the war! You can't put Mohammed Saeed al-Sahhaf on frontline and expect to win the war!

Duh unamfananisha Gen. Wacha1 na yule mercenary Al-Sahhaf ? ayaa kaka umejiweka pabaya , you are now on hit list, ngoja Gen Viper awasilishe ripoti ya handaki gani umejichimbia kwa Gen Bala na Gen. Mbu, kisha Gen Wacha1 ata-deal na wewe directly mara moja.
 
Reactions: Mbu

Mkuu hii division ulonipa ni muhimu sana kwani inahusiana na masuala yoote ya mbinu au "tactical purposes".

Nashukuru sana kwa wadhifa huo na ntakuwapo hapa mwezi ujao.

Arsenal huwa wanafanya mambo yao bila kutumia vyombo vya habari maana vyombo vyenyewe siku hizi vimekuwa kama vya kwetu tu Africa, yaani kuongea mambo bila kufanya upembuzi yakinifu.

Wachezaji waliosajiliwa mpaka sasa ni mmoja tu Gervinho ambae Mzee Wenger anataka acheze pembeni namba kumi akichukua nafasi ya Samir Nasri na Nasri atakuwa akicheza pale kati yaani namba nane. Nasri kwenye mechi zote za karibuni amekuwa akicheza namba nane akiwa amechukua nafasi ya Fabregas (hii ni mbinu pia ikiwa Fabregas atauzwa au atakuwa akikaa bench).


Gervinho (miaka 24) amesajiliwa na kwa gharama za paundi milioni 10.6 kutoka timu ya Lille ya France.


Phil Jagielka mpaka sasa ni mchezaji wa Everton ya Uingereza.


Juan Mata mpaka sasa ni mchezaji wa Valencia ya Spain.



Christopher Samba mpaka sasa ni mchezaji wa Blackburn.

Kuna kila uwezekano wa Arsenal kutoa kitita cha fedha kulipa gharama za usajili wa wachezaji muhimu watatu Juan Mata (Paundi Milioni 17.5) kutoka Valencia ya Spain, Phil Jagielka (Everton wanataka Paundi Milioni 18) na Chris Samba wa Blackburn ambao wanataka paundi milioni 12. Hizo ni jumla ya paundi milioni 44.5 na Arsenal ina akiba ya pesa benki mpaka sasa (ambayo haijaguswa ) paundi 110 milioni.

Ikiwa mambo yatakwenda sawa tactically Arsenal watakuwa na moja ya ngome ngumu kupitika ikijumuisha Kipa- Szczesny, Sagna, Vermaelen, Djourou na Jagielka ( kama deal likikubali) au Cocsielny.

Kiungo- Song, Wilshere, Nasri na Gervinho

Washambuliaji- Van Persie, na Carlos Vela

Wachezaji wa akiba- Juan Mata (kama deal litakubali) , Chris Samba(kama deal litakubali) , Arshavin, Aaron Ramsey na Thomas Rosicky.

Jumamosi tuna mechi ya kirafiki na Boca Juniors na Jumapili pale Emirates kutakuwa na Emirates Cup na timu yetu itaanza kucheza na Red Bull New York ambayo itakuwa na Thiery Henry miongoni mwa kokosi chake cha kwanza.
 
Nyie tumewazoea msipoangalia msimu huu mnaondolewa top 4 ,ila ukweli mashabiki wa The Blues wanaongoza kwa kupotea jukwaani

Belo is back ..... .... nasikia noisy neighbour anawakosesha usingizi, mtakoma mwaka huu. Vipi Chicha nasikia huko USA mambo hayakumwendea mswano .... ..... Chacha mlifikiri Obama angewakaribisha White House? Yule ni hammers au hamjui?


Kweli

Nasikia
peas of ant amekwenda kutafuta list ya Chelsick bado anabangaiza kampata padri bandia peke yake chacha anafikiria jinsi ya kurudi hapa na kuomba radhi.
 


Executive board kubwa sana kama baraza la mawaziri la CCM!! Au kuna uhusiano kati ya magamba na Arsenil?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…