Kweli
JF-Expert Member
- Jul 14, 2007
- 1,152
- 304
Haujakosea, Chelsea ilianzishwa mwaka 1905, ikachukua kombe la kwanza 1954/55, hiyo ni miaka hamsini. Arsenal ilianzishwa mwaka 1886, ikachukua kombe la kwanza 1930, hiyo ni miaka 44. Tofauti iliyopo ni kwamba Arsenal wakiwa daraja la pili mwaka 1919 walimaliza wakiwa wa nafasi ya tano, hivyo hawakustahili kupanda daraja, lakini walipandishwa kwa mgongo wa nyuma baada ya mwenyekiti wao Henry Norris kutoa hongo kwa jamaa wa football league, kwa maana hiyo hiyo miaka 44 ingeweza kabisa kuwa zaidi ya hapo kama wasingepandishwa. Huo ndio mwanzo wa brown envelope kwenye soka la England, na Arsenal ndio waasisi wenyewe....hawajawahi kupanda daraja on football merit. On the other hand, Chelsea earned their promotion from second division to top flight league through results on the pitch.
For the past 6 years, Arsenal have won nothing, whereas Chelsea have won 6 major trophies plus 2 Community Shield.
Let's not distort history, unapoongea kuhusu historia ukumbuke historia haijaanza miaka sita iliyopita, now ngoja nikukumbushe historia ya kilabu ya chama kubwa ya London.
here is a brief Arsenal Honours for your benefit:
Domestic:
First Division (until 1992) and Premier League 13 (3rd overall in England only behind ManU and Liverpool)
Winners : 1930–31, 1932–33, 1933–34, 1934–35, 1937–38, 1947–48, 1952–53, 1970–71, 1988–89, 1990–91, 1997–98, 2001–02, 2003–04
FA Cup: 10 (second only to ManU)
Winners : 1930, 1936, 1950, 1971, 1979, 1993, 1998, 2002, 2003, 2005
Arsenal wameshinda double FA na League cup mara 3 (1971, 1998 na 2002) rekodi sambamba iliyofikiwa na ManU tu.
FA Community Shield (FA Charity Shield before 2002) 12
Winners : 1930, 1931, 1933, 1934, 1938, 1948, 1953, 1991 (shared), 1998, 1999, 2002, 2004.
Now inabidi ufahamu Arsenal ni timu yenye historia na inayojivunia kujiendesha kimapato wakati Chelsea ni timu tegemezi under dictactorship of Roman, leo hii Roman akiamka vibaya na kumfukuza Villa boaz ama yoyoyte yule hakuna atayethubutu kumpinga, akisema aondoke leo hii mishahara kwa wachezaji wote itagoma na kuifanya timu isambaratike, eti pride of London? Toy of Abramovich is the right term fella.