Oxlade-Chamberlain
JF-Expert Member
- May 26, 2009
- 8,635
- 2,209
Naona tunashindwa ku-connect kidogo .
Gervihno anahusika sana!goli la kwanza van persie assist gervinhooo.
Tumpe mda labda atajirekebisha lakini sasa eboue akiuzwa tuombe mungu sagna asipate injury.Jenknson hana tofauti na clichy! cross hazina macho.. akipata mpira ana midadi ya kuchomeka crosss dogo sio gooners material kabisaa
Ni vigumu kujua kama zonal marking itafanya kazi vizuri kwa kupitia mechi hizi naona tusubiri tuone.Wataalam wanabishana kama Arsenal wawe wanatumia zonal marking au man to man marking.Mie sijali, ila nataka wawe wana defend vizuri!
Friendly mkuu muhimu kuwapa nafasi wengineWataalam wanabishana kama Arsenal wawe wanatumia zonal marking au man to man marking.Mie sijali, ila nataka wawe wana defend vizuri!