Kulikuwa na suti tena?Sasa zile suti za ubingwa inakuaje tenaaa! Ila mmejitahidi jipangeni kwa msimu ujao!
NB: Mwarabu apewe Man utd haraka sana.
Hii Aibu hiii...
Kikosi kidogo alafu bado tunakipunguza? Mfano tunahitaji defenders 8 lakini KT, Tavares, Mari, na Holding Wakiondoka, plus Tomi atarudi January. Ina maana tunabaki na mabeki 5 pekee!! Meaning tunatakiwa tusajili 3 defenders hapo Bado xhaka na ESR wanaondoka.Arsenal while looking to reinforce the squad, will allows three fringe players to move on, TK, ESR and Holding
Hii picha ya huyo kijana alieeditiwa Kama nyani/sokwe haifai kuwekwa/share na mtu mwenye utimamu wa akiliMsimu umeisha, ligi imeisha, imemalizwa na hawa kwa ujinga ujinga wao.
Sasa tunafanya season review na hizi ni baadhi ya Memes zilizi-trend msimu huu.View attachment 2629244
Mkuu ARV kuwa makini hawa jamaa wasije wakakukunywa maana wanaugua ngwengwe. Mikogo kibao ila saa hizi wa NALIA NGWENA . Liteam hata both teams to score-YES halijatoa leo limechana na majamvi.Bora wewe umekuja wenzako wote wamekimbia. Yah mko slow sana, tuliwambia siku nyingi Partey ni mzito hana spidi. Hivi vitimu vidogo vina watoto wanakimbia sana.
Ndio suti zilikuepo mkuu! Sasa jukwaa lao wamelisusa siwaoni humu😂Kulikuwa na suti tena?
Mi nilisikia waliongeza kiingilio kwenye mchezo wao wa mwisho maana walijua watatawazwa kuwa wamejinyea
Wasitegemee next season watakuja na moto na energy kama waliokuwa nayo msimu huu. Ubingwa ni mbio ndefu, usipostahimili lazima uishie kuzurura tu kama arsenal.Ndio suti zilikuepo mkuu! Sasa jukwaa lao wamelisusa siwaoni humu😂
There are so many things to learn as a team; last season we lost many points in the last 4 matches so is this season. Y



.. not only the last and this season, arsenal has been this way for 20 years!Bora wangeendeleaga na hizi jezi za OXYGEN.. maana toka wazipige chini Hali inakuwa mbaya. Wanaanza mbio vizuri ila wanapatwa na OXYGEN DEBT. Wangekuwa nazo zingewa-boost
Mistakesmakes them learn that's why they do more mistakes to learn moooooooreMiaka 20 bado tu mna learn as a team.. not only the last and this season, arsenal has been this way for 20 years!
Massive reinforcement required if we need to be impactful in ucl

let me remind you game na soton alimuanzisha viera akamuacha jorginho nje , viera alikua anazurura tu uwanjani kama mganga wa timu huko ndondo cup, unamuacha jorginho nje mtu ana uzoefu na epl unaanzisha kima kama viera. Jesus aliporudii kule mbele ikawa kitendawili hajui nan aanze nan akae benchi maana trossard alikua katoka kukiwasha assist kibao martineli nae wa 
saka ndo kama ivyo . Arteta akabaki hoi haelewiii .. Mtu anasema arsenal inahitaji reinforcement ili iweze kukimbizana na timu kubwa za Manchester,mwanzoni mlikuwa mnaropoka utaito kunitenda tunawaangalia tu.

Nishakua computer arsenal tena!! Tunafanana wote tumekua arsenal fan for so long mpaka tumechoka . Mimi nishakimbia nimekataa kuwa kituko ila computer arsenal bado ni arsenal fan




some fans hawataki kukubaliana na ukweli kuwa ARSENAL IS SHIT akitokea another fan anaisema ARSENAL kwa data waatasema either ni Computerarsenal or milangomitatu and now on umetokea na wewe wanaanza kukusema but the real truth is Arsenal ni team ya kisenge senge tumeamua kuwa Arsenal fans sababu ni hatuwezi kubadili team kwa sasa Acha tuendelee kuugulia maumivu