Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

2A665E98-E0AF-41CE-B4BA-00496763ADA9.jpeg
 
Arsenal while looking to reinforce the squad, will allows three fringe players to move on, TK, ESR and Holding
Kikosi kidogo alafu bado tunakipunguza? Mfano tunahitaji defenders 8 lakini KT, Tavares, Mari, na Holding Wakiondoka, plus Tomi atarudi January. Ina maana tunabaki na mabeki 5 pekee!! Meaning tunatakiwa tusajili 3 defenders hapo Bado xhaka na ESR wanaondoka.

Aisee hii timu inataka kutuua kwa presha tu. Kwa staili hii sitoshangaa Arteta akifukuzwa msimu ujao.
 
Bora wewe umekuja wenzako wote wamekimbia. Yah mko slow sana, tuliwambia siku nyingi Partey ni mzito hana spidi. Hivi vitimu vidogo vina watoto wanakimbia sana.
Mkuu ARV kuwa makini hawa jamaa wasije wakakukunywa maana wanaugua ngwengwe. Mikogo kibao ila saa hizi wa NALIA NGWENA . Liteam hata both teams to score-YES halijatoa leo limechana na majamvi.

kuna mmoja Jamaa Fulani Mjuaji sana humu alikuwa anaona jahazi linazama ila akakaza fuvu kuwaaminisha wenzake kuwa watakuwa bingwah .

Kilimbatzz
 
There are so many things to learn as a team; last season we lost many points in the last 4 matches so is this season. Y

Miaka 20 bado tu mna learn as a team[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].. not only the last and this season, arsenal has been this way for 20 years!
 
Miaka 20 bado tu mna learn as a team[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].. not only the last and this season, arsenal has been this way for 20 years!
Mistakesmakes them learn that's why they do more mistakes to learn mooooooore
 
Massive reinforcement required if we need to be impactful in ucl

Uefa mnaenda kuzurura tu huko hamna kitu mtafanya .. reinforcement?? Hivi unajua tu pamoja na kuwa na few players lakini arteta kuna muda alishindwa kupanga kikosi je mkiwa na wachezaji zaidi ya wawili in the same position si ndo atachanganyikiwa kabisa [emoji23][emoji23] let me remind you game na soton alimuanzisha viera akamuacha jorginho nje , viera alikua anazurura tu uwanjani kama mganga wa timu huko ndondo cup, unamuacha jorginho nje mtu ana uzoefu na epl unaanzisha kima kama viera. Jesus aliporudii kule mbele ikawa kitendawili hajui nan aanze nan akae benchi maana trossard alikua katoka kukiwasha assist kibao martineli nae wa [emoji91][emoji91] saka ndo kama ivyo . Arteta akabaki hoi haelewiii ..
NB. Simpondiii arteta so far amefanya kazi kubwa for arsenal its like amechukua ubingwa maana arsenal ubingwa wao ni top 4
 
Mtu anasema arsenal inahitaji reinforcement ili iweze kukimbizana na timu kubwa za Manchester,mwanzoni mlikuwa mnaropoka utaito kunitenda tunawaangalia tu.

Game 8 reinforcement gani? . Zimebaki game 8 kilichotakiwa ni maturity only na si vinginevyo reinforcement tungeiongelea january hukoo lakini game zimebaki 8 una points 8 kibindoni, game 2 mpaka dk ya 25 unaongoza 2 -0 .
Kuna wachezaji kama tierney na Jorginho kuna game walitakiwa waanze au sub zao zifanywe mapema lakini holla refer game ya Liverpool, anainhia kiwiko sijuii yule tierney yupo nje!!
Hongereni sana mashabiki wa arsenal maana imani mlionayo na timu yenu mngeiamishia kwenye dini saizi mngekuwa ni watu wa mbele kabisa peponiii [emoji23]
 
Nishakua computer arsenal tena[emoji23][emoji23][emoji23]!! Tunafanana wote tumekua arsenal fan for so long mpaka tumechoka . Mimi nishakimbia nimekataa kuwa kituko ila computer arsenal bado ni arsenal fan
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] some fans hawataki kukubaliana na ukweli kuwa ARSENAL IS SHIT akitokea another fan anaisema ARSENAL kwa data waatasema either ni Computerarsenal or milangomitatu and now on umetokea na wewe wanaanza kukusema but the real truth is Arsenal ni team ya kisenge senge tumeamua kuwa Arsenal fans sababu ni hatuwezi kubadili team kwa sasa Acha tuendelee kuugulia maumivu
 
Ok. Arsenal ni timu ndogo.

Arsenal ni average team. Polee sana siku 248 za furaha zimeishaa! Mmevunja rekodi nyingine after2003/2004, arsenal imekua timu ya kwanza kuwa top of the table kwa siku 248 na ikashindwa kuchukua ubingwa hakuna timu itavunja rekodi hii maana ukae siku 248 then usichukue ubingwa kwa timu nyingine ni kitu kisichowezekana.
 
Dah zaid ya statistics za google na hapa na pale bado sijaona clear vision yako.hebu jibu hili swali wewe ni SHABIKI au MPENZI WA MPIRA ukiwa ndani ya arsenal?

Nilipokua arsenal nilikua mpenzi na shabiki wa mpira !!. Its not statistics za google bro it’s reality!! Anza kwanza kwa kuangalia clear vision ya arsenal ni ipi still una miaka 30 mengine ya kuteseka if only utaendelea kuwa arsenal fan!
Saka, odergard, martineli wanapoteza muda arsenal watafute timu waige mfano wa clichy, fabregas, rvp na chamberlain!! Specialist in failure ni arsenal pekee tuendelee kuleta data hapa au ulikua huangalii mpira kipindi hicho
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom