Labyrinth 84
JF-Expert Member
- Feb 13, 2017
- 1,093
- 3,151
Timu kubwa inapimwa kwa mafanikio , miaka 15 iliyopita nitajie mafanikio ya arsenal kwenye ligi , Leicester ana epl pia msimu 2019/2020 , 2020/2021 kamaliza juu ya arsenal kwa muda wa muongo moja Leicester ana mafanikio zaidii ya arsenal!! Ni wewe arsenal fan unaona arsenal ni timu kubwa kisa tu ni shabiki wa arsenal ila arsenal haina tofauti na wolves wala Leicester ni average timu



.

