Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Timu kubwa inapimwa kwa mafanikio , miaka 15 iliyopita nitajie mafanikio ya arsenal kwenye ligi , Leicester ana epl pia msimu 2019/2020 , 2020/2021 kamaliza juu ya arsenal kwa muda wa muongo moja Leicester ana mafanikio zaidii ya arsenal!! Ni wewe arsenal fan unaona arsenal ni timu kubwa kisa tu ni shabiki wa arsenal ila arsenal haina tofauti na wolves wala Leicester ni average timu
 
Inatia uvivu kujibu maoni ya mtu ambayo msingi wake ni hisia zake tu. Anakua hafikirii sawasawa ataandika ujinga na emoji mbili tatu kisha anakuquote.

Watu wankupa facts ww unaona hisia arsenal fans mmelogwa na nani unajua mara ya mwisho arsenal kufika robo fainali uefa ni 2008/2009 na misimu kibao kacheza uefa mpaka 2016 huko anaishia 16 ila Leicester kafika robo fainal within a single season only!
Unaelewa arsenal robo fainali ya mwisho ni 2008 unaona arsenal ni timu kubwa hapo. Be serious kidogo basi arsenal ni average timu ..
Wewe unaanza kutaja sijui chelsea sijuii man utd sijui Liverpool hizo ni timu kubwa ndani ya miaka 10 hizo timu zote zina Europa, uefa na ligi ni timu kubwa huwezi fananisha na arsenal.

Nipe sifa ili timu iwe timu kubwa inahitaji vitu gani 3 vya muhimu . Unamtaja perez tena na super league yake
 
Watu wankupa facts ww unaona hisia arsenal fans mmelogwa na nani unajua mara ya mwisho arsenal kufika robo fainali uefa ni 2008/2009 na misimu kibao kacheza uefa mpaka 2016 huko anaishia 16 ila Leicester kafika robo fainal within a single season only!
Unaelewa arsenal robo fainali ya mwisho ni 2008 unaona arsenal ni timu kubwa hapo. Be serious kidogo basi arsenal ni average timu ..
Wewe unaanza kutaja sijui chelsea sijuii man utd sijui Liverpool hizo ni timu kubwa ndani ya miaka 10 hizo timu zote zina Europa, uefa na ligi ni timu kubwa huwezi fananisha na arsenal.

Nipe sifa ili timu iwe timu kubwa inahitaji vitu gani 3 vya muhimu . Unamtaja perez tena na super league yake
Dah zaid ya statistics za google na hapa na pale bado sijaona clear vision yako.hebu jibu hili swali wewe ni SHABIKI au MPENZI WA MPIRA ukiwa ndani ya arsenal?
 
Watu wankupa facts ww unaona hisia arsenal fans mmelogwa na nani unajua mara ya mwisho arsenal kufika robo fainali uefa ni 2008/2009 na misimu kibao kacheza uefa mpaka 2016 huko anaishia 16 ila Leicester kafika robo fainal within a single season only!
Unaelewa arsenal robo fainali ya mwisho ni 2008 unaona arsenal ni timu kubwa hapo. Be serious kidogo basi arsenal ni average timu ..
Wewe unaanza kutaja sijui chelsea sijuii man utd sijui Liverpool hizo ni timu kubwa ndani ya miaka 10 hizo timu zote zina Europa, uefa na ligi ni timu kubwa huwezi fananisha na arsenal.

Nipe sifa ili timu iwe timu kubwa inahitaji vitu gani 3 vya muhimu . Unamtaja perez tena na super league yake
Ok. Arsenal ni timu ndogo.
 
Haaaah, hivi kumbe mpaka west ham wanaweza kubeba european cup (conference) halafu hizi kima humu zinabaki kujitapa na mpira mzuri!!!
Kweli wehu hawawezi kuisha duniani.
 
Haaaah, hivi kumbe mpaka west ham wanaweza kubeba european cup (conference) halafu hizi kima humu zinabaki kujitapa na mpira mzuri!!!
Kweli wehu hawawezi kuisha duniani.

Lini umeona mashibiki wa Arsenal wakiwa na fikra za kubeba makombe?

Wao wanachojua ni ateta anamiliki mpira.

Makombe Makubwa waachie timu hizi:
1. Chelsea
2. Man City
3. Liverpool nae kidogo

Zile kombe za panya waachie
1. Man u.
2. Arsenal
3. Sijui na nani vile
 
Hivi Aaron Arsenal yuko wapi!? Alikua mjuaji sana pamoja na Jackwillpower na kujifanya timu Ina squad depth kubwa ilihali nilieleza jinsi akiumia beki mmoja tu timu itaporomoka.

Kaumia tu Saliba timu imeporomoka, alafu baada ya kuona timu inafungwa wamekimbia jukwaa. Very biased analysts humu hamna wanalojua ila wamejaa kashfa tu eti "umekuja juzi". Leo mko wapi Sasa?

Popote mlipo know that you are a bunch of delusional losers.
 
Hivi Aaron Arsenal yuko wapi!? Alikua mjuaji sana pamoja na Jackwillpower na kujifanya timu Ina squad depth kubwa ilihali nilieleza jinsi akiumia beki mmoja tu timu itaporomoka.

Kaumia tu Saliba timu imeporomoka, alafu baada ya kuona timu inafungwa wamekimbia jukwaa. Very biased analysts humu hamna wanalojua ila wamejaa kashfa tu eti "umekuja juzi". Leo mko wapi Sasa?

Popote mlipo know that you are a bunch of delusional losers.
Namkubali Aaron anajua mpira kama walivyo mashabiki wengi wa arsenal. Kitendo cha kukaa kimya ni kuonesha levels maana Nzi mmejaa sn humu.
 
Aseno ndoo
Ukiwasikia sasa kina Verifaiyuza wakiizungumzia hio Asenyo ndoo unaweza jua wapo serious kumbe ndoo wanayo iongelea ni hii
Screenshot_20230520_144110.jpg
 
Back
Top Bottom