Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Nyie kama mna uwezo ndg zng nawashaur mapema.. Andiken mapema barua kwa uefa waambieni kua mmejitasmini sana mmeona mashindano ayo sio level yenu ya kushiriki bado.

Mda upo fanyeni ivo.. Nawaambia ndg zng kuna kitu kitawakuta kibaya sana tena hata kwny makundi tu...ayo mambo yenu sijui mpr mzr sijui tupress sijui overload.. Nawaambia mtakutana na dhahama kubwa.
 
Nyie KENGEEEEE mpoooooo
20230520_213048.jpg
 
Yan mlivo wajinga mmempa mtu ubingwa akiwa yy kalala kwl?.

Hlf mseme huu ndo msimu wenu bora?.. Mtakua na akil Kwl?.

Yan ni basi lkn nasisitiza sana wale wote waliosema Arsenal wapo kwny title race wakamatwe na wachukuliwe hatua kali huu ni utapeli uliopitiliza kiwango.
 
Yan mlivo wajinga mmempa mtu ubingwa akiwa yy kalala kwl?.

Hlf mseme huu ndo msimu wenu bora?.. Mtakua na akil Kwl?.

Yan ni basi lkn nasisitiza sana wale wote waliosema Arsenal wapo kwny title race wakamatwe na wachukuliwe hatua kali huu ni utapeli uliopitiliza kiwango.

Taito kunitenda wazee wa ndoo ya chooni.
Cupace20230520214036183.jpg
 
Yaani narudia tena kwamba arsenal ni kuku tena mbwa koko, jina mizi na kenge mweusi haiwezekani unagongwa mechi mbili double kweli. Kuku wa kigeni nyie arsenal kuanzia kocha mpaka wachezaji kamati zima yyte nyie kuku tu hakuna the gunners apo
 
Back
Top Bottom