Umetoa maelezo mengi. Liva alikaa kwa siku ngapi? Ule msimu wa Gerrard na wa juziLiverpool ilikua siku 141 alianza kuongoza ligi December katikati huko , arsenal mmeanza august mpaka April. Arsenal siku 248 ni karibu mara mbili ya siku za Liverpool, Arsenal ni bottlers ( 2013/2014) , 2015/2016, 2007/2008 hii mpaka machozi yalinitoka Birmingham alilianzisha vikafuata vipigo vya kutosha hii 2007 tuliona kama invincible inajirudia . Mpaka arsenal kufananishwa na tembo juu ya mtu si bahati mbaya, watu wameiona arsenal ikichoma na wanaijua ni wachomajii

