Labyrinth 84
JF-Expert Member
- Feb 13, 2017
- 1,317
- 3,947
Umetoa maelezo mengi. Liva alikaa kwa siku ngapi? Ule msimu wa Gerrard na wa juzi
Mpira umeanza kuangalia lini daah mbona unatia huruma hivi!! Msimu wa gerrad alivyo slip timu ambayo ilikaa top of the table kwa muda mrefu ilikua Arsenal (the specialist in failure) na si Liverpool, Liverpool yeye alichoma mwishoni ila hakukaa muda mrefu on top unaelewa hilo?. . Arsenal msimu huo mpaka January alikua yupo on top lakini akamaliza wa 4 na msimu huo ndo timu iliyokaa kwa muda mrefu zaidi on top