Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Liverpool ilikua siku 141 alianza kuongoza ligi December katikati huko , arsenal mmeanza august mpaka April. Arsenal siku 248 ni karibu mara mbili ya siku za Liverpool, Arsenal ni bottlers ( 2013/2014) , 2015/2016, 2007/2008 hii mpaka machozi yalinitoka Birmingham alilianzisha vikafuata vipigo vya kutosha hii 2007 tuliona kama invincible inajirudia . Mpaka arsenal kufananishwa na tembo juu ya mtu si bahati mbaya, watu wameiona arsenal ikichoma na wanaijua ni wachomajii
Umetoa maelezo mengi. Liva alikaa kwa siku ngapi? Ule msimu wa Gerrard na wa juzi
 
Nilichogundua huyu Stan Kroenke ndio chanzo cha yote haya,yuko pale kufanya biashara na anatengeneza pesa nyingi sana kwa kinachotokea kwa team...
FACT Kroenke anapata hela nyingi sana kupitia Arsenal, na ukweli ni kuwa Arsenal inahitaji mmiliki wake toka Saudia huko ndio team itabadilika ila hawa wamarekani au waingereza hawana uwezo hata kidogo na coach akiwa na uwezo hafifu ndio kabisaa refer Chelsea Manchester United
 
Umetoa maelezo mengi. Liva alikaa kwa siku ngapi? Ule msimu wa Gerrard na wa juzi

Mpira umeanza kuangalia lini daah mbona unatia huruma hivi!! Msimu wa gerrad alivyo slip timu ambayo ilikaa top of the table kwa muda mrefu ilikua Arsenal (the specialist in failure) na si Liverpool, Liverpool yeye alichoma mwishoni ila hakukaa muda mrefu on top unaelewa hilo?. . Arsenal msimu huo mpaka January alikua yupo on top lakini akamaliza wa 4 na msimu huo ndo timu iliyokaa kwa muda mrefu zaidi on top
 
Kitu chenye fans wa arsenyani wanaweza nyenyua msimu huu ni hiki pekee
1684668666345.jpg
 
Hawa Forest ni ng'ombe wa maziwa. Tunajitahidi sana wasishuke daraja. Sasa kazi kwao sisi tumeshafanya yetu.
 
Kumbuka Mungu sio mwanadamu pamoja na kujidai kama hivi lakini bado wametoka trophilessss

Kama mna jesus na Mohammed na wameshindwa kuwasaidia mwakani mjaribu hata Satan na Lucifer View attachment 2629980
1684669151128.jpg
 
Kumbuka Mungu sio mwanadamu pamoja na kujidai kama hivi lakini bado wametoka trophilessss

Kama mna jesus na Mohammed na wameshindwa kuwasaidia mwakani mjaribu hata Satan na Lucifer View attachment 2629980View attachment 2629981
nakumbuka kauli za kebei za white, znchenko Dunia inewashow, waasema ordeguad his better than KDB alivyo kuja trossard ndo kiburi kikazidi mara mkosi ukaingia Jojihno😂😂😂
 
Umetoa maelezo mengi. Liva alikaa kwa siku ngapi? Ule msimu wa Gerrard na wa juzi

Msimu wa juzi alianza chelsea ndo alikua top of the table then akafuata man city , Liverpool alikua behind with 2 games in hand akashinda zote na akawa amebaki na gap la point moja kwa man city aliyeko juu!! Na si kwamba man city ilikua inamkimbiza Liverpool bali Liverpool ilikua inamkimbiza city. Liverpool hakukaa hata kwa siku 20 tu top of the table that season!!! Mashabiki wa arsenal mna matatizo ya akili , unabisha vitu vilivyoko wazi tunaposema arsenal ni bottlers hatubahatishi tumeona kwa macho more than 4 seasons akifanya hivyo.
Nioneshe tu mwaka ambao Liverpool kakaa top of the league kwa muda mrefu then akaukosa kama arsenal
 
Kumbuka Mungu sio mwanadamu pamoja na kujidai kama hivi lakini bado wametoka trophilessss

Kama mna jesus na Mohammed na wameshindwa kuwasaidia mwakani mjaribu hata Satan na Lucifer View attachment 2629980View attachment 2629981
Hahahaa kuna kachalii humu kalitoa hoja kwamba wamejitoa FA, Carabao na Europa ili wa-focus kubeba premier league na kakaenda mbali zaidi kusema wao watakuwa wakicheza kila wiki mchezo mmoja ukimlinganisha na City ambaye atacheza michezo miwili kila wiki.
 
Hahahaa kuna kachalii humu kalitoa hoja kwamba wamejitoa FA, Carabao na Europa ili wa-focus kubeba premier league na kakaenda mbali zaidi kusema wao watakuwa wakicheza kila wiki mchezo mmoja ukimlinganisha na City ambaye atacheza michezo miwili kila wiki.
Ndio akili za baadhi ya fans wa Arsenal hizi inasikitisha sana
 
Back
Top Bottom