Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Ok. Arsenal ni timu ndogo.

Arsenal ni average team. Polee sana siku 248 za furaha zimeishaa! Mmevunja rekodi nyingine after2003/2004, arsenal imekua timu ya kwanza kuwa top of the table kwa siku 248 na ikashindwa kuchukua ubingwa hakuna timu itavunja rekodi hii maana ukae siku 248 then usichukue ubingwa kwa timu nyingine ni kitu kisichowezekana.
 
Dah zaid ya statistics za google na hapa na pale bado sijaona clear vision yako.hebu jibu hili swali wewe ni SHABIKI au MPENZI WA MPIRA ukiwa ndani ya arsenal?

Nilipokua arsenal nilikua mpenzi na shabiki wa mpira !!. Its not statistics za google bro it’s reality!! Anza kwanza kwa kuangalia clear vision ya arsenal ni ipi still una miaka 30 mengine ya kuteseka if only utaendelea kuwa arsenal fan!
Saka, odergard, martineli wanapoteza muda arsenal watafute timu waige mfano wa clichy, fabregas, rvp na chamberlain!! Specialist in failure ni arsenal pekee tuendelee kuleta data hapa au ulikua huangalii mpira kipindi hicho
 
some fans hawataki kukubaliana na ukweli kuwa ARSENAL IS SHIT akitokea another fan anaisema ARSENAL kwa data waatasema either ni Computerarsenal or milangomitatu and now on umetokea na wewe wanaanza kukusema but the real truth is Arsenal ni team ya kisenge senge tumeamua kuwa Arsenal fans sababu ni hatuwezi kubadili team kwa sasa Acha tuendelee kuugulia maumivu

Now wananiita ni wewe . Ila mimi 20 years ya maumivu inatosha kabisa no pain anymore. Tungekaa nafasi ya 2 toka mwanzo wa msimu nisingekimbia ila hii kubaki 8 games to win the damn title imeniondolea imani yote kabisa if tumeshindwa hapa tutaweza wapi? Sioni kabisa . It was 8 games bro!!!! Eight games daah and we bottled it kwa soton , westham and Nottingham hahaha it will never happen arsenal kuwa bingwa
 
Arsenal hii ndo tulioizoea ile nyingine ilikua fake!!
U cant coach heart, desire and mental fortitude!! Hivi arsenal ndo alivyokosa!!!! Yale aliyolalamikia conte kwa spurs ndo hayo hayo kwa arsenal!!! There is no passion at all sio kocha sio wachezaji. Only pep ana desire ya kuwa mshindi kwa njia yoyote ile ona juzi walikua wanajibishana na KDB tu ili mradi wote game washinde!!
 
Arsenal ni average team. Polee sana siku 248 za furaha zimeishaa! Mmevunja rekodi nyingine after2003/2004, arsenal imekua timu ya kwanza kuwa top of the table kwa siku 248 na ikashindwa kuchukua ubingwa hakuna timu itavunja rekodi hii maana ukae siku 248 then usichukue ubingwa kwa timu nyingine ni kitu kisichowezekana.
Liva ilikaa siku ngapi
 
some fans hawataki kukubaliana na ukweli kuwa ARSENAL IS SHIT akitokea another fan anaisema ARSENAL kwa data waatasema either ni Computerarsenal or milangomitatu and now on umetokea na wewe wanaanza kukusema but the real truth is Arsenal ni team ya kisenge senge tumeamua kuwa Arsenal fans sababu ni hatuwezi kubadili team kwa sasa Acha tuendelee kuugulia maumivu
Ww siku zote umekua mkwl sana na ndo maana hata uwa una nguvu za kuonekana hapa jukwaani kwa sbb matarajio yako na hii team yako chin kwa sbb unaijua ni team ya ovyo sana ikija kwny mambo serious.

Lkn wapumbav wengne kama @hamiss77 na genge lake lingne la matapeli ambao hopes zao zilikua juu kuliko uhalisia leo hii wamekua hawaonekani hata walipo.

Arsenal sio team ya kusema uiwekee dhamana kwny mambo serious ujue tu unaweza pata presha ya kuua.
 
Mliaandaa hadi jezi mikia nyinyi
20230517_094047.jpg
 
Liva ilikaa siku ngapi

Liverpool ilikua siku 141 alianza kuongoza ligi December katikati huko , arsenal mmeanza august mpaka April. Arsenal siku 248 ni karibu mara mbili ya siku za Liverpool, Arsenal ni bottlers ( 2013/2014) , 2015/2016, 2007/2008 hii mpaka machozi yalinitoka Birmingham alilianzisha vikafuata vipigo vya kutosha hii 2007 tuliona kama invincible inajirudia . Mpaka arsenal kufananishwa na tembo juu ya mtu si bahati mbaya, watu wameiona arsenal ikichoma na wanaijua ni wachomajii
 
Kuna siku kwenye kipindi cha michezo cha clouds kipindi hicho Arsenal anaongoza ligi Kwa tofauti kubwa mtangazi Lwambano akawauliza wenzake "Hivi ukiambiwa uchague Kati ya kupewa billion moja asahiv au upewe billion mbili Arsenal akichukua kombe😂😂" yeye binafsi alichagua Bora apewe billion moja....Sasa namuelewa
 
some fans hawataki kukubaliana na ukweli kuwa ARSENAL IS SHIT akitokea another fan anaisema ARSENAL kwa data waatasema either ni Computerarsenal or milangomitatu and now on umetokea na wewe wanaanza kukusema but the real truth is Arsenal ni team ya kisenge senge tumeamua kuwa Arsenal fans sababu ni hatuwezi kubadili team kwa sasa Acha tuendelee kuugulia maumivu
Nilichogundua huyu Stan Kroenke ndio chanzo cha yote haya,yuko pale kufanya biashara na anatengeneza pesa nyingi sana kwa kinachotokea kwa team...
 
Back
Top Bottom