Labyrinth 84
JF-Expert Member
- Feb 13, 2017
- 1,093
- 3,151
Ok. Arsenal ni timu ndogo.
Arsenal ni average team. Polee sana siku 248 za furaha zimeishaa! Mmevunja rekodi nyingine after2003/2004, arsenal imekua timu ya kwanza kuwa top of the table kwa siku 248 na ikashindwa kuchukua ubingwa hakuna timu itavunja rekodi hii maana ukae siku 248 then usichukue ubingwa kwa timu nyingine ni kitu kisichowezekana.




kama mazuri vile .tatizo vijana mlkua na kelele sana