Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Mmeachana na mambo ya ubingwa na sasa mmegeukia kujadili jezi sasa kwa jinsi mlivyo fungu la kukosa usishangae designer wa jezi akafa kabla hajamaliza kazi
acha uchawi we nyumbu kwanza malengo yetu msimu huu ilikuwa ni top 4 ili tuingie uefa ila mbio za ubingwa zilijileta zenyewe
 
Eneo moja ambalo tutazungumza lugha moja ni kwenye eneo la usajili.
Tunahitaji watu haswa,
Saka anahitaji a very competitive RW wa kumchallenge na kumpumzisha baadhi ya mechi na kwa muono wangu anatakiwa awe technical na tactical traits ambazo ni tofauti na SAKA ili kumuoffer mwalimu chaguzi tofauti kulingana na mpinzani

False 9/link up play striker?
Kwangu ndiyo na hapana.kwa baadhi ya mechi kina jesus na style zao watakusaidia.ila kuna mechi unaweza ukatengeneza clear chance 2 tu out of 90 minutes na hapa ndo utagundua jesus na nketiah hawakuvushi.
Anahitajika striker ambaye ni killer,brutal,physical na more ni lethal.Epl haihitaji mchezo.barcelona hakuwa mjinga kumnunua lewandowsk na pep sio taahira kumnunua halland.

LB.huku hatuna mtu.zinchenko hapana,tierney prone injury. Atafutwe mtu katili ambaye kila winga atamuwazia.option iwe ni uwezo wa kulinda kwanza.

RB.huku tuna spare tyre.tomi injury prone,white hapana analazimisha na kwa mechi zenye presha unamuona anatera.slow pace hafai hapa japo anasaidia.Atafutwe mtu haswa aje akae hapo.

NAMBA SITA(lone six) jamani partey ni mtu ila tunahitaji mtu zaidi yake.anakupa flexibility,eagle eye kwenye pass,coverage kwenye safu ya ulinzi, anatawanya mipira na anakupa pass ya mwisho.Jamaa ni prone injury,aged kwa sasa,fatigue inamnyemelea kwa kutumika sana na kuna muda anapoteza tempo na hana ule ulatili wa asili wa namba sita.we need a BEAST.atatoka wapi? Kazi ya scouting hiyo.

NAMBA 8 CAM(driver)
Shaka anakupa matured mentality,shots and trios,physicallity,Ukatili,leadership and sometimes passes.Anakunyima pace kwa transitional teams,lacking flexibility,hana brain na traits za driver namba nane.jamaa ni old testament 8.mgumu mno.ATAFUTWE MTU HASA.

Anyway kama tunataka kuchukua makombe hakuna namna hela itoke waje watu hasa.usajili wa viraka hautatusaidia bora kutibu magonjwa yote kwa dirisha moja ili tupime uwezo wa kocha

Dah we love arsenal
Toobiter kwenye moja na mbili
 
Trust me arsenal haina project yoyote !! Utasema arsenal wana project kama umeanza kushabikia arsenal 2017 kwenda juu lakini for me sioni project yoyote. Tatizo la arsenal halijawahi kutatuliwa kwa miaka zaidi ya 20
Nakumbuka kuna mwaka sijui mwaka gani hata carabao cup tulilikosa tulifungwa na Birmingham just imagine, nakumbuka jack wilshere analiaa daah , kuna fainali na hull city tuliponea chupu chupu, ile game hull city alivyokua anaongoza niliamini kabisa arsenal itakuwa imelaaniwa even hull city anatufunga final ila tulishindwa kwa mbinde sana arsenal ni false hope haina project ni kudanganyana.

Tatizo la arsenal ni je inaweza kumaliza game 13 au 10 za mwisho in winning way ,kuna utofauti gani kati ya arsenal hii na ya 2016 Leicester anachukua ubingwa even pundits walisema game itakayoamua ubingwa ni arsenal vs Leicester city. Game tulishinda mwishoni kabisa kichwa cha welbeck tukawa na chance kubwa yakua champions tukacheza game iliyofuata na swansea just imagine tukafa 2:0 ilikua imebaki sisi na Leicester atakayeshinda mechi zake vizuriii ndo bingwa still tukachoma.
Kuna msimu tena ramsey alikua motooo mpaka december tunaongoza ligi as usual tukachoma

Unai kachukua villareal kashinda europa kwa arsenal alichoma , hii aston villa ikienda europa au conference itachukua ubingwa. Tatizo ni arsenal
kuna matukio umenikumbusha hapo kati nimecheka sanaa..

washabiki wenzako wanadi mna project... hilo me sina neno tukiludi makwetu mkae mliangalie
 
Tujifunze kwa City na Liverpool
Izi kweny game 10+za mwisho form wanayokuaga nayo kwenye kila msimu ni Majini haya matimu,form wanayomaliza nayo ligi Liver ndo tungekua nayo sie kwasasa tungekua tunaongea habari zingine kabisa..
 
For 20 years i have been an arsenal fan .. nan asiyetaka kuona timu yake inakuwa champion ni kiu ya kila shabiki na mchezaji thats why van persie, clichy, sagna na fabregas waliondoka arsenal na bado kuna wachezaji pia wataondola arsenal maana wanapoteza muda arsenal.. glory hunters so unataka for the rest of my life niwe disappointed man, football ni furaha na burudani la moyo lakini sio simanzii

Trust me mpaka 2028 Newcastle atakuwa kashaonja ladha ya furaha ya ubingwa wa epl lakini arsenal atakuwa bado hana chochote zaidi ya false hope to the fans.
Huwezi sema ni glory hunter nimeanza kushabikia arsenal nikiwa na miaka 8 tu standard one na game ya kwanza tulipoteza nakumbuka its was community shield kama sikoseiii against man utd but still nikaendelea kuwa shabiki wa arsenal. I have that hope for 20 years now nimegundua ilikuwa ni false hope miaka 20 inatosha !!! Arsenal are specialist in failure!!!!
Kwahio unahama club au sijakuelewa

Sent from my CPH1803 using JamiiForums mobile app
 
For 20 years i have been an arsenal fan .. nan asiyetaka kuona timu yake inakuwa champion ni kiu ya kila shabiki na mchezaji thats why van persie, clichy, sagna na fabregas waliondoka arsenal na bado kuna wachezaji pia wataondola arsenal maana wanapoteza muda arsenal.. glory hunters so unataka for the rest of my life niwe disappointed man, football ni furaha na burudani la moyo lakini sio simanzii

Trust me mpaka 2028 Newcastle atakuwa kashaonja ladha ya furaha ya ubingwa wa epl lakini arsenal atakuwa bado hana chochote zaidi ya false hope to the fans.
Huwezi sema ni glory hunter nimeanza kushabikia arsenal nikiwa na miaka 8 tu standard one na game ya kwanza tulipoteza nakumbuka its was community shield kama sikoseiii against man utd but still nikaendelea kuwa shabiki wa arsenal. I have that hope for 20 years now nimegundua ilikuwa ni false hope miaka 20 inatosha !!! Arsenal are specialist in failure!!!!
Napoli wamebeba ubingwa wao wa Serie A mwaka huu baada ya miaka 33. Huoni kama miaka mingi ya kujaribu na kufeli ndiyo itaongeza furaha na thamani ya ubingwa siku Arsenal watakayoweka mikono yao kwenye taji la EPL.
 
Mimi napenda mpira kwa ujumla wake ila naifuatilia Arsenal ndiyo maana nikiwa na nafasi naangalia mechi zote na ligi zote. Ukiwa hivi haitakusumbua kuona na kutarajia.

Kwa ligi ua Serie A Juve alipokonywa point 15 akashuka hadi nafasi ya 9 leo yupo nafasi ya pili. Sijisikii kuongeza ligi zingine lakini lakini point yangu ni kwamba kwa miaka yote timu za kariba ya Juve zinakua kwenye pressure na zinasurvive zina wachezaji wanaojua nini wafanye wanaojua umuhimu wa game hii au ile.

Arsenal ina wachezaji wawili wa hivyo Zinchenko na Jesus, hawa wengine wamekuzwa kisystem mno so system ikicollapse na wenyewe wameenda, wakati timu kama City, Juve, Bayern, system ikicollapse individual brilliance inawabeba.

Hao sasa ndiyo wachezaji wanaotakiwa kuja, wanaoweza kuwasha moto kila inapohitajika.
Nilikua nawaambia ndugu zangu wasiishikilie hoja ya bora hatupo FA au carabao au europa na city ana games nyingi kwakua kwa determined team kwa pale tulipokua muda tunacheza na sporting ilikua top four tuna uhakika nayo kwa 70% so ingekua logic kukomaa na Europa.

City ana tournaments nyingi ila ana kikosi. Watu wakawa wanatoa hoja mfu, na siyo hivyo tu ana kikosi chenye individual brilliance na yeye na kikosi chake wanaweza kudeal na pressure. Nafikiri pia udogo wa Arteta upo hapa kwenye kudeal na pressure tactically he is good ila huku kwingine ni anahitaji huu msimu na kikosi kipana zaidi.
 
Mimi napenda mpira kwa ujumla wake ila naifuatilia Arsenal ndiyo maana nikiwa na nafasi naangalia mechi zote na ligi zote. Ukiwa hivi haitakusumbua kuona na kutarajia.

Kwa ligi ua Serie A Juve alipokonywa point 15 akashuka hadi nafasi ya 9 leo yupo nafasi ya pili. Sijisikii kuongeza ligi zingine lakini lakini point yangu ni kwamba kwa miaka yote timu za kariba ya Juve zinakua kwenye pressure na zinasurvive zina wachezaji wanaojua nini wafanye wanaojua umuhimu wa game hii au ile.

Arsenal ina wachezaji wawili wa hivyo Zinchenko na Jesus, hawa wengine wamekuzwa kisystem mno so system ikicollapse na wenyewe wameenda, wakati timu kama City, Juve, Bayern, system ikicollapse individual brilliance inawabeba.

Hao sasa ndiyo wachezaji wanaotakiwa kuja, wanaoweza kuwasha moto kila inapohitajika.
Nilikua nawaambia ndugu zangu wasiishikilie hoja ya bora hatupo FA au carabao au europa na city ana games nyingi kwakua kwa determined team kwa pale tulipokua muda tunacheza na sporting ilikua top four tuna uhakika nayo kwa 70% so ingekua logic kukomaa na Europa.

City ana tournaments nyingi ila ana kikosi. Watu wakawa wanatoa hoja mfu, na siyo hivyo tu ana kikosi chenye individual brilliance na yeye na kikosi chake wanaweza kudeal na pressure. Nafikiri pia udogo wa Arteta upo hapa kwenye kudeal na pressure tactically he is good ila huku kwingine ni anahitaji huu msimu na kikosi kipana zaidi.
Sahihi,
Kocha kwenye hili anaweza ongeza mchezaji yeyote wa zamani aliyeshinda vitu vingi ili awape uzoefu wachezaji jinsi ya kuwa calm na focused kwenye presha.
Kuna muda determination ni muhimu zaidi ya kipaji.ATTITUDE ya timu kwa kila mechi ni muhimu mno.
 
Unavyosema mchezaji kuwa matured una maana gani? Leicester city ilikua ina mchezaji gani matured?? Matured in terms of umri au uzoefu na ligi??
Uzoefu ukomavu wa akil sio watt.. Unakumbuka vzr kikosi cha Leicester ww kilivokua na watu kaz.. Wanaweza kukufunga 1 tu na goal ilo usirudishe wakadefend kama maisha yao Yana defend on it.. Uwe na watu who can get you over the line when you need it most.. Sio na watt wacheza Ps kama Arsenal.
 
Sisi ni champion bottlers Mzee. Ile season Leicester anachukua ubingwa tulikuwa tunamfukuza tukamkaribia halafu tukapotea tena akatuacha na kama points 10 kama sikosei. Last season tulihitaji sijui points 4 kwenye game nne tuingie top 4 nayo tu tukashindwa.
Sisemi kuwa ni sawa. Nishasema mara nyingi humu kuwa nina standards za juu kidogo kuliko uwezo wa timu yangu. Hivyo ikijitahidi na kuperform juu ya nilivyodhani, napongeza. Ni kama mzazi unategemea mtoto awe na ufaulu wa 90% katika somo fulani. Ila unamuona ana uwezo mdogo, yeye unategemea atapata 40%. Akija na 60% unampongeza then unampa moyo afike hiyo 90% yako

Ndo akili za arsenal hizi!!!! Sio kwa wachezaji mpaka mashabiki . Leicester city alitoka nafasi ya ngapi akawa bingwa !!!! Unajua kwanini Leicester alikua bingwa,waliokua wanamkimbiza walikua ni losers Arsenal & Tottenham!!!!
Leicester katoka nafasi ya 15 na akawa bingwa sembuse arsenal nafasi ya 8.
Ligi uongozee match 29 na uko 8 points ahead still game 9 then unashinda kuchukua ubingwa . Hatuongelei kuwa nafasi ya 8 tunaongelea mechi kubaki 8 na kushindwa kuchukua ubingwa. Arsenal fans wana matatizo ya akili bora mimi nimepona sasa[emo
 
Kumbe unaelewa ni project.. ambayo inachukua muda shida sasa Hamis alisahau hilo kaja kushabikia msimu huu ambao ni matokeo ya project za miaka ya nyuma..... kutwa kushinda kwenye uzi wa Manchester kuponda usajili wa Anthony🙄 wakati ndo kwanza mwaka wa kwanza..... mpaka akawa kero ukawa ushabiki maandazi mshinde mfungwee yeye yumo na nyinyi tuu sasa wacha tumalize hasira zetu na sisi kwake mtuvumilie tuu😂😂😂😂
Ushabiki ndivyo ulivyo. Ingawa msimu huu kiukweli ubingwa ulikuwa nje nje. Kina Arteta na timu wamezingua sana nao wanajua hilo. Kwa shabiki ni sahihi kabisa kuona ubingwa upo toka October huko na kina Mkorea na Hamis walikuwa sahihi kabisa.

Ila ndio ushabiki huo. Nyie hamjaperform vibaya msimu huu. Shida ni kuwa hamfungi sana na mmepokea vipigo vichache vikubwa na kuwapatia goal difference ya hovyo. Ila kiushabiki Lazima tuwaponde kuwa mna timu mbovu na mpira wa janja janja.

Simba hatujawapita sana msimu huu ila tumekuwa mabingwa na tunawaponda utadhani wamepona kushuka daraja.

Sisi tumesota na kukosa ubingwa kizembe na tutamaliza wa 2. Ila ukiingia humu utadhani tuko chini ya Chelsea
 
Kumbe unaelewa ni project.. ambayo inachukua muda shida sasa Hamis alisahau hilo kaja kushabikia msimu huu ambao ni matokeo ya project za miaka ya nyuma..... kutwa kushinda kwenye uzi wa Manchester kuponda usajili wa Anthony🙄 wakati ndo kwanza mwaka wa kwanza..... mpaka akawa kero ukawa ushabiki maandazi mshinde mfungwee yeye yumo na nyinyi tuu sasa wacha tumalize hasira zetu na sisi kwake mtuvumilie tuu😂😂😂😂
Dah nimecheka sana
 
Mimi napenda mpira kwa ujumla wake ila naifuatilia Arsenal ndiyo maana nikiwa na nafasi naangalia mechi zote na ligi zote. Ukiwa hivi haitakusumbua kuona na kutarajia.

Kwa ligi ua Serie A Juve alipokonywa point 15 akashuka hadi nafasi ya 9 leo yupo nafasi ya pili. Sijisikii kuongeza ligi zingine lakini lakini point yangu ni kwamba kwa miaka yote timu za kariba ya Juve zinakua kwenye pressure na zinasurvive zina wachezaji wanaojua nini wafanye wanaojua umuhimu wa game hii au ile.

Arsenal ina wachezaji wawili wa hivyo Zinchenko na Jesus, hawa wengine wamekuzwa kisystem mno so system ikicollapse na wenyewe wameenda, wakati timu kama City, Juve, Bayern, system ikicollapse individual brilliance inawabeba.

Hao sasa ndiyo wachezaji wanaotakiwa kuja, wanaoweza kuwasha moto kila inapohitajika.
Nilikua nawaambia ndugu zangu wasiishikilie hoja ya bora hatupo FA au carabao au europa na city ana games nyingi kwakua kwa determined team kwa pale tulipokua muda tunacheza na sporting ilikua top four tuna uhakika nayo kwa 70% so ingekua logic kukomaa na Europa.

City ana tournaments nyingi ila ana kikosi. Watu wakawa wanatoa hoja mfu, na siyo hivyo tu ana kikosi chenye individual brilliance na yeye na kikosi chake wanaweza kudeal na pressure. Nafikiri pia udogo wa Arteta upo hapa kwenye kudeal na pressure tactically he is good ila huku kwingine ni anahitaji huu msimu na kikosi kipana zaidi.
Hizo point 15 za Juventus alirudishiwa ndio maana yupo pale nafasi ya 2
 
For 20 years i have been an arsenal fan .. nan asiyetaka kuona timu yake inakuwa champion ni kiu ya kila shabiki na mchezaji thats why van persie, clichy, sagna na fabregas waliondoka arsenal na bado kuna wachezaji pia wataondola arsenal maana wanapoteza muda arsenal.. glory hunters so unataka for the rest of my life niwe disappointed man, football ni furaha na burudani la moyo lakini sio simanzii

Trust me mpaka 2028 Newcastle atakuwa kashaonja ladha ya furaha ya ubingwa wa epl lakini arsenal atakuwa bado hana chochote zaidi ya false hope to the fans.
Huwezi sema ni glory hunter nimeanza kushabikia arsenal nikiwa na miaka 8 tu standard one na game ya kwanza tulipoteza nakumbuka its was community shield kama sikoseiii against man utd but still nikaendelea kuwa shabiki wa arsenal. I have that hope for 20 years now nimegundua ilikuwa ni false hope miaka 20 inatosha !!! Arsenal are specialist in failure!!!!
Mwamba huyu hapa sasa.
Yaani maisha yakutie stress halafu unajipa moyo wacha nikapunguze stress kwenye burudani ya soka, unaenda zako kuishabikia mi Arsenyau na yenyewe inazidi kukutia simanzi na majonzi tu kila msimu, halafu kuna kima zinakuzuia ubaki tu hapohapo kwenye maumivu yasiyo kwisha.
Hata mke ambae umezaa nae ukiona hamna furaha kwenye ndoa unapiga chini unaenda tafuta mrembo mwingine sembuse huyo Arsenyau?
Maisha yenyewe mafupi haya jamani, nyie kina Forgotten msiwalazimishe watu wabakie sehemu inayowapa mateso na msongo wa mawazo mwisho wa siku wanaishia kujitundika kwenye kamba.
Binafsi mimi nakupongeza sana Labyrinth 84 kwa huo uwamuzi uliochukua, ni uwamuzi wa busara sana na mimi ninakuhakikishia kukuunga mkono na kukusaport kwa kuendelea kuzihamasisha hizi kima nyingine zilizobakia humu zinazoendelea kuteseka kwa misongo ya mawazo kufanya maamuzi ya busara kama uliyofanya wewe.
Insta-image-4.jpg
 
Eneo moja ambalo tutazungumza lugha moja ni kwenye eneo la usajili.
Tunahitaji watu haswa,
Saka anahitaji a very competitive RW wa kumchallenge na kumpumzisha baadhi ya mechi na kwa muono wangu anatakiwa awe technical na tactical traits ambazo ni tofauti na SAKA ili kumuoffer mwalimu chaguzi tofauti kulingana na mpinzani

False 9/link up play striker?
Kwangu ndiyo na hapana.kwa baadhi ya mechi kina jesus na style zao watakusaidia.ila kuna mechi unaweza ukatengeneza clear chance 2 tu out of 90 minutes na hapa ndo utagundua jesus na nketiah hawakuvushi.
Anahitajika striker ambaye ni killer,brutal,physical na more ni lethal.Epl haihitaji mchezo.barcelona hakuwa mjinga kumnunua lewandowsk na pep sio taahira kumnunua halland.

LB.huku hatuna mtu.zinchenko hapana,tierney prone injury. Atafutwe mtu katili ambaye kila winga atamuwazia.option iwe ni uwezo wa kulinda kwanza.

RB.huku tuna spare tyre.tomi injury prone,white hapana analazimisha na kwa mechi zenye presha unamuona anatera.slow pace hafai hapa japo anasaidia.Atafutwe mtu haswa aje akae hapo.

NAMBA SITA(lone six) jamani partey ni mtu ila tunahitaji mtu zaidi yake.anakupa flexibility,eagle eye kwenye pass,coverage kwenye safu ya ulinzi, anatawanya mipira na anakupa pass ya mwisho.Jamaa ni prone injury,aged kwa sasa,fatigue inamnyemelea kwa kutumika sana na kuna muda anapoteza tempo na hana ule ulatili wa asili wa namba sita.we need a BEAST.atatoka wapi? Kazi ya scouting hiyo.

NAMBA 8 CAM(driver)
Shaka anakupa matured mentality,shots and trios,physicallity,Ukatili,leadership and sometimes passes.Anakunyima pace kwa transitional teams,lacking flexibility,hana brain na traits za driver namba nane.jamaa ni old testament 8.mgumu mno.ATAFUTWE MTU HASA.

Anyway kama tunataka kuchukua makombe hakuna namna hela itoke waje watu hasa.usajili wa viraka hautatusaidia bora kutibu magonjwa yote kwa dirisha moja ili tupime uwezo wa kocha

Dah we love arsenal
 
Back
Top Bottom