Flano
JF-Expert Member
- Aug 7, 2019
- 5,842
- 16,292
Trust me arsenal haina project yoyote !! Utasema arsenal wana project kama umeanza kushabikia arsenal 2017 kwenda juu lakini for me sioni project yoyote. Tatizo la arsenal halijawahi kutatuliwa kwa miaka zaidi ya 20
Nakumbuka kuna mwaka sijui mwaka gani hata carabao cup tulilikosa tulifungwa na Birmingham just imagine, nakumbuka jack wilshere analiaa daah , kuna fainali na hull city tuliponea chupu chupu, ile game hull city alivyokua anaongoza niliamini kabisa arsenal itakuwa imelaaniwa even hull city anatufunga final ila tulishindwa kwa mbinde sana
arsenal ni false hope haina project ni kudanganyana.
Tatizo la arsenal ni je inaweza kumaliza game 13 au 10 za mwisho in winning way ,kuna utofauti gani kati ya arsenal hii na ya 2016 Leicester anachukua ubingwa even pundits walisema game itakayoamua ubingwa ni arsenal vs Leicester city. Game tulishinda mwishoni kabisa kichwa cha welbeck tukawa na chance kubwa yakua champions tukacheza game iliyofuata na swansea just imagine tukafa 2:0ilikua imebaki sisi na Leicester atakayeshinda mechi zake vizuriii ndo bingwa still tukachoma.
Kuna msimu tena ramsey alikua motooo mpaka december tunaongoza ligi as usual tukachoma
Unai kachukua villareal kashinda europa kwa arsenal alichoma , hii aston villa ikienda europa au conference itachukua ubingwa. Tatizo ni arsenal


Labyrinth 84 hili timu limekutesa kwa miaka mingi sana Aisee, naona msimu huu umeamua rasmi kutoa nyongo zote safi sana Mkuu.Nnahakika hata hamis77 nae anatamani sana atoe nyongo zake hapa ila kila akikumbuka jinsi alivyokua anaiaminisha hii misukule ya Arteta nafsi yake inamsuta.

arsenal ni false hope haina project ni kudanganyana.
huko wameshajinyonga kibaooo