Ng'wanza Madaso
JF-Expert Member
- Oct 21, 2008
- 2,268
- 338
Everton reject £10m Arsenal bid for England defender JagielkaKusubiri kote huko kusikia usajili wa beki ndio tumeenda kuangukia kwa Jagielka? Kweli Wenger kiboko.
Everton reject £10m Arsenal bid for England defender JagielkaKusubiri kote huko kusikia usajili wa beki ndio tumeenda kuangukia kwa Jagielka? Kweli Wenger kiboko.
waWanataka tuwaongezee hela hao.pale Everton Wenger angeenda kujaribu kumchukua Baines ingekuwa dili sana.Manake nafasi ya Clichy pengo kubwa pale labda kama atale mabeki wawili wa kati hili Varmelen acheze kushoto.Everton reject £10m Arsenal bid for England defender Jagielka
Nilicheki hii game mkuu.Kama alivyosema Mbu Arsenal ni hile hile hamna kipya .haha si yule wa charton fc... usiajili wetu wa kwanza.. tehtehe.. ungeona bao ambalo wachina walitufunga katika pre- seasson! kaka kawaida ni mpira wa kufa! kipa katema ... beki hakuna jamaa akacheka na nyavucheki mwanyewe bab
waWanataka tuwaongezee hela hao.pale Everton Wenger angeenda kujaribu kumchukua Baines ingekuwa dili sana.Manake nafasi ya Clichy pengo kubwa pale labda kama atale mabeki wawili wa kati hili Varmelen acheze kushoto.
Unaua kipaji vipi wakati Varmelen anaweza kucheza beki wa kati na kushoto pia.Mbona huwa anachezaga beki wa kushoto saa nyingine timu ya taifa? Kama tunapata beki ya maana kati pale Varmelen anafaa sana kushoto.Gibbs mzuri lakini hayuko tayari kwa challenge ya msimu ujao kama tunataka matokeo mazuri zaidi ya msimu uliopita.Gibbs huwa anajisahau sana akipanda mara nyingi nadhani itakuwa vizuri sana kumtumia kwenye mechi za carling cup na fa zaidi hili ajifunze na kuwa msaidizi.Varm kushoto no,ni kuua kipaji chake,huyo Gibbs akiwa fit anaweza.
Kusubiri kote huko kusikia usajili wa beki ndio tumeenda kuangukia kwa Jagielka? Kweli Wenger kiboko.
Wilshere ataiweza kazi mkuu,dogo namuamini sana.Wakuu vipi? Nasikia Cesc amekubali kwenda kukaa kwenye bench la Barca Chacha chijui kama Robin Van Persie atapewa mikoba, lakini yeye mechi zake ni chache sana kwenye Ligi natumaini T5 anaweza kuwa kiongozi wa timu. Song mzuri pale kati kwa kuwakata viatu, chacha mikoba itakuwa kasheshe kwake.
Wakuu vipi? Nasikia Cesc amekubali kwenda kukaa kwenye bench la Barca Chacha chijui kama Robin Van Persie atapewa mikoba, lakini yeye mechi zake ni chache sana kwenye Ligi natumaini T5 anaweza kuwa kiongozi wa timu. Song mzuri pale kati kwa kuwakata viatu, chacha mikoba itakuwa kasheshe kwake.
Sébastien Squillaci atafaa sana, ana uzoefu wa kutosha na anongea kifaransa vizuri sana.
Wakuu vipi? Nasikia Cesc amekubali kwenda kukaa kwenye bench la Barca Chacha chijui kama Robin Van Persie atapewa mikoba, lakini yeye mechi zake ni chache sana kwenye Ligi natumaini T5 anaweza kuwa kiongozi wa timu. Song mzuri pale kati kwa kuwakata viatu, chacha mikoba itakuwa kasheshe kwake.
"Barca pay 40million take Cesc away or go home to wank!!!"
This banner was unveiled at Arsenal's preseason match against Greentown, the gunners are on a tour of China.
This is one of the most interesting summers so far, at least for Arsenal fans, as they could potentially lose two of their best players.
Barcelona's interest in Cesc Fabregas is well documented and Samir Nasri could take the plunge into the bottomless pit of cash at the middle eastlands.
Sasa huyo jamaa anawaponda Barcelona wakati kavaa jezi, na mskafu wa Barcelona?
Mkuu Majeruhi wameanza mapema sana msimu huu,hili liwe fundisho kwa Wenger TUNAHITAJI WACHEZAJI WAZOEFU.Gervinho kapiga goli 2 ndani ya dakika 16 alizocheza leo..dogo jenkinson naye kajifunga. Arsenal 2 - 1 fc cologne.