Dah! nimeiku The sun hiii ....
ACT FILE:
Name..... Gervinho
Price......11 million
Goals......2
Time........16 minutes
Name......Torres
Price.......50 million
Goals....... 1
Time........6 months
FACTS CONFIRMED
Gunners to take Nasri risk | Sky Sports | Football | Premier League | News
Hii kali wakuu wenzangu wa gunners, Wenger na wenzake wanataka wamuachie Nasri aondoke free mwakani badala ya kumuuza. Kwanza kwanini tunalamzimisha mchezaji ambaye kashaonesha hataki kubaki, kaomba aongezewe mshahara wamemuongezea na bado kakataa ku-sign.
Leo wanaona bora kukaa na mchezaji ambaye hana furaha ya kuchezea Arsenal kwa mwaka mmoja badala ya kuchukua hela wakalete kifaa cha maana.
Mkuu Majeruhi wameanza mapema sana msimu huu,hili liwe fundisho kwa Wenger TUNAHITAJI WACHEZAJI WAZOEFU.
on Conor Hendersons injury
The only sad thing today is the injury to Conor Henderson, it looks quite bad but let us hope that we have good news tomorrow morning. He twisted his knee, I dont know how big the damage is but the first signs dont look too encouraging.
on any other knocks
Samir got a kick to his ankle, Gervinho got a kick on his knee but both have minor damage.
Dogo anaandaliwa kuchukua mikoba ya Attacking Midfield pale kusaidiana na Aaron Ramsey...
Natamani wamuuze Fabregas ASAP, Nasri anadengua...kina Adebayor, Alexander Hleb na Bentley wanatamani kurudi!
Angalia jamaa wasiione khe khe khe tena hata kule malay anaanguka anguka tu ...... ........ poor Tor The res ..... ..
Safi sana we have got the money, kama wapinzani walifikiria million 20 au 30 ni issue walie tu hatuwezi kuwapa nguvu wapinzani thats the motto ...... ... akitaka kwenda kucheza europe tutamuuza lakini sio kwenye EPL team .... ....
Mkuu Majeruhi wameanza mapema sana msimu huu,hili liwe fundisho kwa Wenger TUNAHITAJI WACHEZAJI WAZOEFU.
on Conor Henderson's injury…
The only sad thing today is the injury to Conor Henderson, it looks quite bad but let us hope that we have good news tomorrow morning. He twisted his knee, I don't know how big the damage is but the first signs don't look too encouraging.
on any other knocks…
Samir got a kick to his ankle, Gervinho got a kick on his knee but both have minor damage.
Mie naku support boss, hata wale wasemao kuwa tumuuze nasri.
Ila mkuu tutaendelea mpaka lini kuwa feeder club kwa timu zingine?
Mie naona Wenger asimuuze nasri, akae huo mwaka, kumbuka huyu nasri ni msimu uliopita tu ndio tuliona makeke kibao, sasa labda alianza kucheza ivyo ili kutafuta contract ya nguvu au alikua na inaiva.
Akae nasi, hata akiondoka mwaka kesho poa, at the moment sidhani arsenal ni lazima wamuuze, tuka fiinancially very strong.
Mie naku support boss, hata wale wasemao kuwa tumuuze nasri.
Ila mkuu tutaendelea mpaka lini kuwa feeder club kwa timu zingine?
Mie naona Wenger asimuuze nasri, akae huo mwaka, kumbuka huyu nasri ni msimu uliopita tu ndio tuliona makeke kibao, sasa labda alianza kucheza ivyo ili kutafuta contract ya nguvu au alikua na inaiva.
Akae nasi, hata akiondoka mwaka kesho poa, at the moment sidhani arsenal ni lazima wamuuze, tuka fiinancially very strong.
Kweli kabisa AW, mie mwenyewe ningependa aondoke, ila tatizo linakuja, hatuwezi kumuuza kwenye asioitaka yeye Nasri na kwa mkataba anaoutaka yeye Nasri, tuko njia panda.
Vile vile hatuwezi kumuuza Man City au Man U wala Cheslski.
Sasa Prof naona kaamua kumuacha kama vile amalize huu mwaka wake, lakini Prof ni mjanja mno, huwezi jua kitakachotokea huko mbele, msimu mrefu, Nasri anaweza kubadili mawazo.
By the way, Fabregas sio wetu, hatutaki tena, naona mpaka Jmosi hii, atakua kaondoka kabisa, na tena tungemsafirisha mpaka uko Barca, mpuuzi kabisa yule.
Try to be grateful, Fabregas gave you all he could to win some trophies! It's not his fault Arsenal keep on conceding loads of silly, comical goals, it's your League One defenders and goalkeepers to blame....and, of course the guy who never accept his team's weakness, Prof. Whinger.
Kweli kabisa AW, mie mwenyewe ningependa aondoke, ila tatizo linakuja, hatuwezi kumuuza kwenye asioitaka yeye Nasri na kwa mkataba anaoutaka yeye Nasri, tuko njia panda.
Vile vile hatuwezi kumuuza Man City au Man U wala Cheslski.
Sasa Prof naona kaamua kumuacha kama vile amalize huu mwaka wake, lakini Prof ni mjanja mno, huwezi jua kitakachotokea huko mbele, msimu mrefu, Nasri anaweza kubadili mawazo.
By the way, Fabregas sio wetu, hatutaki tena, naona mpaka Jmosi hii, atakua kaondoka kabisa, na tena tungemsafirisha mpaka uko Barca, mpuuzi kabisa yule.
Kumbuka Fabregas ndiye aliyetoa pasi ya kisigino kwa wenzake wa Barcelona, tena katika eneo la hatari, wakafunga goli lililoimaliza kabisa Arsenal !
Kwa miaka nane aliyokaa Arsenal amefanya kosa kama hilo mara ngapi, so far nafikiri hiyo ni isolated case katika muda wote aliokaa hapo maktaba ya Imarati na huwezi kusema hilo kosa ndio limesababisha hamjachukua kikombe chochote kwa miaka saba. Ni rahisi sana kumlaumu kwa sasa kwa sababu tu anataka kuhama, lawama zenu zinajengwa na chuki zaidi kuliko facts....Arsenal are sore losers, now you are shamelessly blaming Fabregas for your failure just because he tries to abandon a sinking ship. The irony is, if he chooses to stay, you guys will come up with loads of hypocritical praise for el capitán blah blah blah and BS like that.
Try to be grateful, Fabregas gave you all he could to win some trophies! It's not his fault Arsenal keep on conceding loads of silly, comical goals, it's your League One defenders and goalkeepers to blame....and, of course the guy who never accept his team's weakness, Prof. Whinger.
Kwa miaka nane aliyokaa Arsenal amefanya kosa kama hilo mara ngapi, so far nafikiri hiyo ni isolated case katika muda wote aliokaa hapo maktaba ya Imarati na huwezi kusema hilo kosa ndio limesababisha hamjachukua kikombe chochote kwa miaka saba. Ni rahisi sana kumlaumu kwa sasa kwa sababu tu anataka kuhama, lawama zenu zinajengwa na chuki zaidi kuliko facts....Arsenal are sore losers, now you are shamelessly blaming Fabregas for your failure just because he tries to abandon a sinking ship. The irony is, if he chooses to stay, you guys will come up with loads of hypocritical praise for el capitán blah blah blah and BS like that.