Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Waache wajitwalie hayo matapishi yetu afu waishie kumuuza kwa mkopo kama walivyofanya kwa adelina(adebayor)!
Lol huyo Adelina tayari ashajichukulia medali wenzake aliowaacha Arsenal bado wanaisaka.
 
Wape ubingwa mafioso na Manure wao lazima washinde then Mancs sisi washasema tutashuka daraja .... ..... ....... khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeee

...mkuu wacha1 si unawajua hawa na kelele zao?,.....watashangaa wenyewe!
 
Mkuu pole sana kuhusu Essien mazee, jamaa kifaa ila tatizo bahati yake mbaya majeruhi yamemuandama mno, slowly age catching up with him, is he 29 slash 39?



Ingawa wachezaji karibu wote waliozaliwa Africa wanadanganya umri, sidhani kama ndio tatizo linalosababisha matatizo ya magoti aliyonayo Essien. Nafikiri ni jinsi alivyo-overdevelop leg muscles leading to much strain on the knees....matatizo kama haya hata Rafa Nadal anayo, si uzee.
Lakini ni kweli wachezaji waliozaliwa Africa wanaregister umri pungufu, hili pamoja na AFCON labda ndio maana Red Nose Furge hawataki tena. Usijeshangaa ukiambiwa Song ana miaka 30!
 

...mkuu wacha1 si unawajua hawa na kelele zao?,.....watashangaa wenyewe!
Mheshimiwa kila mwaka uwa mnatushangaza si unajua mnaanza vizuri mpaka February alafu mnaanza kudrop taratibu.
 
Mkuu pole sana kuhusu Essien mazee, jamaa kifaa ila tatizo bahati yake mbaya majeruhi yamemuandama mno, slowly age catching up with him, is he 29 slash 39?

Etoo naambiwa naye uko 40s ila bado moto uwanjani!
 
Ingawa wachezaji karibu wote waliozaliwa Africa wanadanganya umri, sidhani kama ndio tatizo linalosababisha matatizo ya magoti aliyonayo Essien. Nafikiri ni jinsi alivyo-overdevelop leg muscles leading to much strain on the knees....matatizo kama haya hata Rafa Nadal anayo, si uzee.
Lakini ni kweli wachezaji waliozaliwa Africa wanaregister umri pungufu, hili pamoja na AFCON labda ndio maana Red Nose Furge hawataki tena. Usijeshangaa ukiambiwa Song ana miaka 30!
Miaka yangu yote ya kufuatilia soka la bongo sijawahi kusikia mchezaji muhimu wa simba au yanga kawa sidelined kwa sababu ya majeruhi, wanatumia nini hivi?
 




.....Washika bunduki wenzangu likizo inamalizika, Roll-Call inawadia,....mpooooo?...
Wacha1, Balantanda, Michelle, Ng'wanza Madaso, Arsene Wenger, Kweli, Richard, Bubu Ataka Kusema, Questt....


Arsenal-2011-2012-Away-kit.jpg


ARSENAL, TOGETHER WE STAND!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Both Cesc and Nasri are already staying, we have already bought Gervinho to make up an attack that will frighten any defense.Now with an addition of Cahill and maybe a defensive midfielder its will be hard to see any team stopping us.
 
Ingawa wachezaji karibu wote waliozaliwa Africa wanadanganya umri, sidhani kama ndio tatizo linalosababisha matatizo ya magoti aliyonayo Essien. Nafikiri ni jinsi alivyo-overdevelop leg muscles leading to much strain on the knees....matatizo kama haya hata Rafa Nadal anayo, si uzee.
Lakini ni kweli wachezaji waliozaliwa Africa wanaregister umri pungufu, hili pamoja na AFCON labda ndio maana Red Nose Furge hawataki tena. Usijeshangaa ukiambiwa Song ana miaka 30!
Ex-Ghana FA chief Dr. Nyaho Tamakloe has launched an astonishing attack on Chelsea ace Michael Essien implying that he is an age cheat.

The former Hearts of Oak boss also fingered John Pantsil of Fulham and Hearts' Laryea Kingston, and Sunderland powerful defender John Mensah saying their recent injuries are testament to his allegation.

The ex-diplomat was not diplomatic when he implied that the four players are among the hundreds of Ghanaian stars who have been involved in
age cheating which is now catching up on them.
 

...Defensive Midfield Emmanuel Frimpong.
Msimu uliopita jamaa alikuwa ametayarishwa kuja kuwa challenge kina
Denilson na Alex Song pale,....kuumia kwake ikawa blessing kwa Jack Wilshere.

Ndio kusema, Defensively tupo sawa sawa.

TV5 (Verminator) is back,....Diaby mnh sijui msimu huu atatuonyesha nini,....---team imekamilika. Nadhani Rosicky na Arshavin wamebakia kimtego mtego tu sasa, either watauzwa, au wamo kundini sababu ya Experiences zao.
 
Miaka yangu yote ya kufuatilia soka la bongo sijawahi kusikia mchezaji muhimu wa simba au yanga kawa sidelined kwa sababu ya majeruhi, wanatumia nini hivi?


Nafikiri wachezaji wengi bongo wanacheza huku wakiwa na injuries ambazo kwa standard ya Europe wasingeruhusiwa kuwa uwanjani.
 

...Defensive Midfield Emmanuel Frimpong.
Msimu uliopita jamaa alikuwa ametayarishwa kuja kuwa challenge kina
Denilson na Alex Song pale,....kuumia kwake ikawa blessing kwa Jack Wilshere.

Ndio kusema, Defensively tupo sawa sawa.

TV5 (Verminator) is back,....Diaby mnh sijui msimu huu atatuonyesha nini,....---team imekamilika. Nadhani Rosicky na Arshavin wamebakia kimtego mtego tu sasa, either watauzwa, au wamo kundini sababu ya Experiences zao.

Nakubaliana nawe, hutuko vibaya kihivyo.

Tatizo kabla ya ligi wachezaji wote wako fit, ila ligi ikianza, utasikia huyu kaumia huyo hachezi miezi 3 au 6, basi unakua karaha.

Swala ni Le Prof kununua wachezaji kama insurance, bado beki central defender na midfielder mmoja.

Le Prof mwenyewe anjua atamnunua yupi, sie tusubiri ku enjoy.

Nimewatizama uko Malaysia, hawako vibaya kwa kweli.

I can't wait for season to start, hasa ukichukulia tuna michezo mikali kama 6 au 5 ya fungua dimba tu!
 
Nafikiri wachezaji wengi bongo wanacheza huku wakiwa na injuries ambazo kwa standard ya Europe wasingeruhusiwa kuwa uwanjani.
Vilievile nadhani hali ya hewa inachangia na ligi yetu haina mchezo wa kasi na nguvu kama ligi za Uingereza na Hispania.
 
Nakubaliana nawe, hutuko vibaya kihivyo.

Tatizo kabla ya ligi wachezaji wote wako fit, ila ligi ikianza, utasikia huyu kaumia huyo hachezi miezi 3 au 6, basi unakua karaha.

Swala ni Le Prof kununua wachezaji kama insurance, bado beki central defender na midfielder mmoja.

Le Prof mwenyewe anjua atamnunua yupi, sie tusubiri ku enjoy.

Nimewatizama uko Malaysia, hawako vibaya kwa kweli.

I can't wait for season to start, hasa ukichukulia tuna michezo mikali kama 6 au 5 ya fungua dimba tu!

...kosa alilofanya Le Professeur hakutumia dirisha dogo la January kwa kudhani TV5 angekuwa fit,
Matokeo yake hata timu ilipokuwa mbele kwa goli nne, bado tulikuwa viroho juu juu ile partnership ya "Kos na Squi"
timu pinzani wangerudisha.

Vito Mannone kaenda na team kwenye tour, Fabianski vipi? mbona jiii?...
Isijekuwa naye ndio kesha drop kwenye pecking order, 3rd choice mbele ya Almunia sasa..
 
Fabianski bado hayuko fit, ila nafikiri huyo na Wojciech Szczesny ndio watakua wakishindania namba moja.

January AW lazima afanye usajili hata wa wachezaji 3, maana vijana wetu wanaumia mno, hii ligi ni ngumu kama chuma, tatizo lake AW ni mbishi kama mshipa, hela zipo, kutumia hataki, sasa kazi ipo hapo!

Gervinho ameshasajiliwa, tunamsubiri beki mmoja, midfielder na labda striker tena.
 
Back
Top Bottom