Camilo_Cienfuegos
JF-Expert Member
- Sep 9, 2011
- 11,378
- 15,385
Mmoja wa commentators wakati game inaisha alisema " it was a mature host against immatured visitors"
The GonoGay gunners
Walitaka kuleta tu complain kufosi beach ila wakaogeshwa kwenye beseniAssAnal ANALIA NGWENA 😂
Mkuu pm umefunga kiongoziUnpopular Opinion: Arsenal hatoshinda taji lolote msimu huu
Baada ya kutolewa kwenye FA Cup, Carabao, nimekaa nikawaza nikaona ni kombe gani Arsenal anaweza kutwaa nimeshindwa kuona. Arsenal kabaki kwenye michuano ya Europa League na EPL. Europa hawezi kutoboa akijitahidi sana robo fainali. EPL ndio kabisa hawezi kutwaa akijitahidi sana nafasi ya...www.jamiiforums.com
Niliwahi kusema humu,ukiwa mshabiki wa Arsenal,hata akiwa anashinda kwenye live match unaogopa kushangilia unasubiria kwanza mpira uishe ndio ushangilie...Ukiwa shabiki wa Ass'anal lazima uwe na kipara mana sio kwa tabu hizi za duniani
Tafuta Mishe kubwa au Kazi uwe busy kidogo katika Ujenzi wa Taifa...Nyie AssAnal kwa nini mlimuuza Willock!! Mna akili kweli?
Huenda wakamsajili Mohammed Kudus na Mason Mount kwasababu Declan Rice na Caisedo bado wanagharimu fedha nyingi.David Ornstein names Arsenal’s 4 summer midfield targets.
Arsenal are looking to sign two of their four midfield targets this summer, with interest in Declan Rice, Moises Caicedo, Mason Mount, and Mohammed Kudus.
According to the claims, Arsenal would be looking to sign either Rice or Caicedo for the 6 position, with either Mount or Kudus playing as an 8.
Ornstein added that the Kroenkes will continue to invest in the team, not resting on their laurels after Arsenal’s qualification back to the Champions League was mathematically confirmed on Wednesday.View attachment 2601760View attachment 2601761View attachment 2601762View attachment 2601763
With Holding and Gabriel mtasota sanaSijakutana na shabiki wa Arsenal aliyesema Saliba kuumia ndiyo sababu.
Tumefungwa magoli 9. Sisi tumefunga mangapi?
Katika majeruhi wenu wangapi ni starters?
Kiukweli mmejitahidi msishuke daraja hata hivyo isingekua mara ya kwanza nyinyi kushuka daraja
Mbona utoaji wa taarifa ulikwama, mitambo ni mibovu nini?NYIE KENGEEEEEEE MPOOOOView attachment 2601829
Huwa unaangalia mpira au ndo umeangalia mechi ya jana tu
Jamiiforums hatujuani. Kijana naweza kukuajiri. Nakuhakikishia hatujuani tu.Tafuta Mishe kubwa au Kazi uwe busy kidogo katika Ujenzi wa Taifa...
Nilimchukia huyu mjinga Partey kwenye World Cup. Alituangusha sana Waafrika, yuko very slow vijana wa Ghana wanakimbiza lenyewe linacheza ronyo ronyo. pumbaf.Kwani ndio kwanza jana Partey acheze utombo?
Mkitangaza ajira tuambiane sasa siyo unaishia kutuonyesha misimamo ya ligi tu kumbe unaweza kutubadilishia maishaJamiiforums hatujuani. Kijana naweza kukuajiri. Nakuhakikishia hatujuani tu.
Casemiro aliikimbia test ya Partey. Flexible, agile, strength, yaani nikimuangalia Camavinga namuona ParteyNilimchukia huyu mjinga Partey kwenye World Cup. Alituangusha sana Waafrika, yuko very slow vijana wa Ghana wanakimbiza lenyewe linacheza ronyo ronyo. pumbaf.