Hapana mkuu kwenye Mpira unategemea pia weakness za wenzio kufanya vizuri. Hata msimu ambao Leicester alibeba ligi timu zote kubwa zilikua hovyo ndio maana alibeba ndoo kwa point chance mnoo kulinganisha na mabingwa wengine wa EPL.
Mfano msimu ujao tunaweza pata injuries kwa watu kama Saka, Odegaard ama Martinelli tayari msimu unafia hapo. Au say Chelsea ikapata kocha mzuri, kwa kikosi chake tu wanaweza fikisha 80+ points, hapo Bado Newcastle itamwaga pesa kuongeza depth and so will Man UTD na Liverpool so usitegemee ubora wetu pekee utatubeba sometimes na failure za competitors zinakubeba.
Pia Kuna kitu kinaitwa fatigue, ukipambania kitu sana ukakikosa morale yote inakufa. Imagine tumeongoza ligi kwa almost Kila wiki alafu Bado tumepoteza ubingwa unadhani mwakani fighting spirit inatoka wapi? Saka atakua gassed out, Odegaard motisha itashuka, ndio Mpira ulivyo. Unfortunately our time has passed usishangae Arteta akatimuliwa msimu ujao.