Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

London is blue and red 😂

20230429_071641.jpg
 
“WHY ALWAYS ARSENAL “
Miaka 20 tunazingua, thats why hata tulipokua top of the table ilikua kama tembo juu ya mti. Maana zaidi ya misimu 3 tunachoma ivi ivi watu wote wakawa hawaamini if we can win it na walikua sahihi . Only arsenal tuna tatizoo sio bure, Liverpool kabeba mpaka Leicester kabeba even brighton or brentford wamengekuwa na chance kama yetu still wangebeba. Eight (8) games eight games!!!!! Unabakiza ili ubebe ligi unacheza sunday to sunday unakuja ku draw na westham na Southampton kweliiii mazee na wewe ni title contender , tusisingizie kuumia kwa saliba tumekosa ubingwa kwasababu sisi ni arsenal na hakuna reason nyingine yoyote, Tumezoea halii hii we are always loser!!!. Just imagine angekuwa brentford or brighton wazee habari ingekuwa nyingine saa hizi!! Sababu zimekuwa nyingi mara ooh hatuna word class players sijuii nini hilo nakataaa!! Eight games eight games!!!!! we are looser always!!!
Game ya juzi tumenyanyaswa sana si uwanjani tu angalia baada ya goli 3 zile city players walivyokua wanatufanyia dhihaka !!!

Anyway leo dua zetu zote kwa fulham ndo kilichobakii saizii maana mpira tumeushindwa uwanjani labda kwa maombi
 
Back
Top Bottom