Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Picha la kutisha. Hapo watu wa kazi wametulia tayari City kapiga mtu chuma 3. Kuna katimu kanataka kakapishane na Man City pale Etihad. 😂
20230422_225527.jpg
 
Man City ana EPL, UCL, FA. Mechi 8 za lazima apoteze point
Sisi tuna EPL pekee mechi 6 tu
FA Cup fainali ni June 3, msimu utakuwa umemalizika. UCL nusu fainali ni May 9 na 17 hapo katikati atacheza mechi moja tu. Kama wataendelea fainali itakuwa June 10. Baada ya nusu fainali City atakuwa kabakisha mechi 3 tu za ligi.

Fixtures za City zitakuwa ngumu kwasababu ya muda tu wa mechi baada ya mechi. Arsenal mlikuwa kila mechi mnapumzika wiki na bado mlishindwa kupata points 3 kwa West Ham wanaoshiriki UECL.

City bado wana kikosi cha kuweza kupambana ktk mechi zote zilizobaki.
 
Hadi sasa Man city yuko point moja juu yenu, walulizeni Liverpool, mara mbili City kabeba EPL kwa tofauti ya point tangu Feb
NInyi city anawaacha point moja May wana kazi ndogo sana
 
Chelsea tulikuwa na double figures za injuries msimu huu na tukachekwa sana
Arsenal wao kaumia Saliba tu tayari wamebugizwa magoli 9 kati ya 34 waliobugizwa msimu huu na wako kwenye hati hati ya kushindwa kuchukua kombe kwa ligi walioongoza kwa muda mrefu
Wangekuwa na injury double figure kwa wachezaji wao muhimu kama akina Matrtineli, Saka, Partey na wengineo si mngekuwa mnapigania kutoshuka daraja?
 
Chelsea tulikuwa na double figures za injuries msimu huu na tukachekwa sana
Arsenal wao kaumia Saliba tu tayari wamebugizwa magoli 9 kati ya 34 waliobugizwa msimu huu na wako kwenye hati hati ya kushindwa kuchukua kombe kwa ligi walioongoza kwa muda mrefu
Wangekuwa na injury double figure kwa wachezaji wao muhimu kama akina Matrtineli, Saka, Partey na wengineo si mngekuwa mnapigania kutoshuka daraja?
Sijakutana na shabiki wa Arsenal aliyesema Saliba kuumia ndiyo sababu.

Tumefungwa magoli 9. Sisi tumefunga mangapi?

Katika majeruhi wenu wangapi ni starters?

Kiukweli mmejitahidi msishuke daraja hata hivyo isingekua mara ya kwanza nyinyi kushuka daraja
 
Objective ya msimu ilikua kua ndani ya top four. Ilifikiwa kwa hizi suluhu 3.

Kisha hakuna anayefurahia. Wote tunaamini kwa tulipotokea na tulipo namba nne ni underachievement bila kujali nini au nini. Kihistoria kuna timu moja tu ishaongoza xmass na ikakosa ubingwa, ni liva ishawatokea mara mbili.

Mara ya kwanza ni ile ya Gerrard kuteleza ya pili ndiyo hii point moja wanayoiongelea kila saa. Kinachokera siyo kuingia kwenye hii historia ila ni kupoteza kombe kwa timu ambayo mashabiki wake Tz nzima hawawezi jaza uwanja wa Azam.

Ni aibu. Yaani shabiki anayekuja kukuambia unapoteza kombe hata hajui jina la kipa namba mbili wa City mpaka agoogle, huyo shabiki wa city mwenyewe hajui kama kuna mwaka club yake ilitoa season inaitwa All or Nothing, kama ya Arsenal.

Hiki ndiyo kinakera. Losing is there, we had a nice run, it was amazing along the way tumevunja na kuweka rekodi mpya kuna zingine tumezishindwa tutakutana nazo msimu ujao. But losing a trophy kwa timu ambayo haina mashabiki ni upuuzi.
 
Ingekua bongo

Yanga au Simba iko nafasi ya kwanza ila imecheza michezo mingi kuliko aliye nafasi ya 2 na huyu wa pili akishinda viporo vyake anampita aliye nafasi ya kwanza basi huyu wa nafasi ya kwanza angesema hachezi tena hadi huyu wa nafasi ya pili amalizie viporo vyake.

Na tff ingesikiliza hii hoja.

Ndiyo sababu siwezani na mpira wa bongo.
 
Hapa ni Wembley jana na ni nusu fainali. Ila mashabiki ndiyo hao

View attachment 2596998
Pep Guardiola is known to have privately remarked on how much more celebrated his success at Manchester City would have been if it were at Manchester United.

Hiyo ilikuwa January. City imejaa plastic fans. Hapo England tu haina mashabiki hawa waliopo huku ni glory hunter tu.
 
Back
Top Bottom