Kuna kauli nazikumbuka MANCHESTER CITY HAS GOT MORE GAMES COMPARE TO ARSENAL
Arsenal akatolewa carabao tukasema competition haina maana,Arsenal akatolewa FA tukasema competition haina umuhimu, Arsenal akatolewa Europa league tukasema competition haina maana ni better to win EPL mean Arteta ni Genius,






some fans wa Arsenal ni very irrogant, very stupid, nilipiga sana kelele kuwa Arsenal Europa league Cup kwake ni muhimu sana nikaitwa
ARV milangomitatu haya ngoja tuingiziwe miti next season tutaongea akili moja Arsenal itaendelea ikinunuliwa na waarabu sio huyo choko wa USA
Natumai next season nikiwa naielezea Arsenal die hard fans wa Arsenal mtakuwa mmeshika adabu na kunisikiliza