Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Kuna kauli nazikumbuka MANCHESTER CITY HAS GOT MORE GAMES COMPARE TO ARSENAL
Arsenal akatolewa carabao tukasema competition haina maana,Arsenal akatolewa FA tukasema competition haina umuhimu, Arsenal akatolewa Europa league tukasema competition haina maana ni better to win EPL mean Arteta ni Genius, some fans wa Arsenal ni very irrogant, very stupid, nilipiga sana kelele kuwa Arsenal Europa league Cup kwake ni muhimu sana nikaitwa ARV milangomitatu haya ngoja tuingiziwe miti next season tutaongea akili moja Arsenal itaendelea ikinunuliwa na waarabu sio huyo choko wa USA
Pole...umeongea kwa uchungu sana.
 
Vipi kuhusu ubingwa?

Aliyepigwa saba ana kombe moja mpaka sasa, vipi wewe na mpira nyumbuliko una nini huko
kombe la kahawa unajua saba wewe 😂😂😂.

watu wanachagua kwa mapenzi sio makombe ...Kufungwa ni kufungwa tu ndo maana wengin wanakufa kwa presha.!
 
Kuna kauli nazikumbuka MANCHESTER CITY HAS GOT MORE GAMES COMPARE TO ARSENAL
Arsenal akatolewa carabao tukasema competition haina maana,Arsenal akatolewa FA tukasema competition haina umuhimu, Arsenal akatolewa Europa league tukasema competition haina maana ni better to win EPL mean Arteta ni Genius, some fans wa Arsenal ni very irrogant, very stupid, nilipiga sana kelele kuwa Arsenal Europa league Cup kwake ni muhimu sana nikaitwa ARV milangomitatu haya ngoja tuingiziwe miti next season tutaongea akili moja Arsenal itaendelea ikinunuliwa na waarabu sio huyo choko wa USA
Natumai next season nikiwa naielezea Arsenal die hard fans wa Arsenal mtakuwa mmeshika adabu na kunisikiliza
Tatz la hawa wenzako wengi hawatak kusikia ukwl wakiambiwa ukwl wanaona wanaonea.. Wanakuja kudnaganywa na yule jamaa wao kua hii team ni tishio sana hakuna mfano na wao wanaingia kwny mfumo.
 
C623690B-79F7-444E-B042-9914F54B2D8B.jpeg
 
kombe la kahawa unajua saba wewe 😂😂😂.

watu wanachagua kwa mapenzi sio makombe ...Kufungwa ni kufungwa tu ndo maana wengin wanakufa kwa presha.!
Unakubali kwanza kama msimu huu hauna kombe unalopata? Kisha tuendelee na mjadala
 
Back
Top Bottom