Forgotten
JF-Expert Member
- Jul 20, 2018
- 3,630
- 11,096
Fergie alishafanya hivyo mara 2.Kwahy city atakuwa timu ya kwanza kushinda EPL mara tatu mfululizo eee au.?
Fergie alishafanya hivyo mara 2.Kwahy city atakuwa timu ya kwanza kushinda EPL mara tatu mfululizo eee au.?
kila timu na falsafa yake...View attachment 2600954
Dedication kwa wale wote waliowahi kutandikwa na kijana mdogo kutoka mitaa ya Etihad.
Ila zaidi umfikie bwana Castr .
Ila nyumbu ni wajinga sana.
Naendelea kuhesabu mechi.
Kuna level ambayo arsenal mushaweza kuifika ila sisi nyumbu sijui tutaifika lini.
Nazungumzia Uwezo wa kwenda jino kwa jino na man city kwa upande wa kumiliki mchezo.
Kuna fununu nimezisikia eti na kombe la ligi walikuwa hawalitaki, wanataka yuefaKwenye Champions mnaenda kufungasha virago mapema tu kwenye hatua za makundi na kurudi zenu kwenye Futuhi(Europa)
City atapigwa tu
Japo ametutangulia







Nyie ndo huwa mnajinyoga kuna vitu vingine unatumia tu akili unaweka pembeni mahaba uliyonayo kwa timu yako ndugu.Ongopa City ni kitu ingine inatisha kinomanoma yaani.tafadha ukiamka kesho tujulishe tujue kama uko hai.Arsenal wa NALIA NGWENAKwahy city atakuwa timu ya kwanza kushinda EPL mara tatu mfululizo eee au.?
AssAnal ANALIA NGWENA 😂Arsenal wa NALIA NGWENA


Pia ni rahisi mbuzi kuwa rais wa nchi kuliko AssAnal kuchukua kombeNi rahis mnaz kuzaa chungwa ila sio arsenal kuchukua kombe la EPL msimu huu.
Sent from my itel S33 using JamiiForums mobile app
Still Arsenal can make it, go arsenal go go![]()
Aaah we jamaa umezid.Pia ni rahisi mbuzi kuwa rais wa nchi kuliko AssAnal kuchukua kombe

..kwa hy unatak kusem ni rahis kwa mbuzi(lunya) kupat urais kulik arsenal kunyanyua kwapa 


Ukitaka kichekesho kingine kama hiki tuma neno de bruine kwenda namba 4-1Still Arsenal can make it, go arsenal go go💪💪
Kwani anaye ongoza ligi Nani😀😂, go arsenal goUkitaka kichekesho kingine kama hiki tuma neno de bruine kwenda namba 4-1
Kumbuka mechi ya 1, city alishinda 3-1. Kisha akaenda suluhu na Nottingham forest 1-1 so bado sanaUnataka kuwa bingwa unashindwa kupata hata droo moja na siti,contenda wa wapi wewe.
Heri sisi nyumbu tuligawana uwanja na point