Franklin1902
JF-Expert Member
- Aug 1, 2018
- 2,241
- 4,876
Hesabu ulizokua ukikuta wanakupigia humu.. Yan unabak umesurrender tu kua hawa jamaa mbona ni Mabingwa tyr.Nilishakwambia nyani haoni kundule.
Ulikua unasema man city atapoteza si chini ya point 5 nikakuuliza, wewe unaona point atakazopoteza city tu ila atakazopoteza arsenal huzioni?
Haya wewe 6 zimeshatembea wakati city haijulikani ni lini atapoteza hizo tano, naona sasa tutaongea lugha moja.
Man city ni bingwa wako hutaki kashabikie cricket.
Walikua wanapiga hesabu kana kwmb sisi ndo team ya kawaida wao ndo Mabingwa mara 4 kwny last 5 years... Tena wakawa na kejel kwmb watatusimamisha wnyw tusipo simamishwa na mtu mwngne watatupiga wao
.. Bas tunasbr Arsenal j5 atufunge tujue kwl mnatak kukufuka na kubeba ubingwa huu.Narudia mkipata hata Draw tu ntajua kwl mna Nia hata ya kua Mabingwa Yan hata Draw tu wana Arsenal.
️ na facts ona sasa leo Jukwaa linajazwa na wapinzani bila sababu ya msingi 
