Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Nilishakwambia nyani haoni kundule.

Ulikua unasema man city atapoteza si chini ya point 5 nikakuuliza, wewe unaona point atakazopoteza city tu ila atakazopoteza arsenal huzioni?

Haya wewe 6 zimeshatembea wakati city haijulikani ni lini atapoteza hizo tano, naona sasa tutaongea lugha moja.

Man city ni bingwa wako hutaki kashabikie cricket.
Hesabu ulizokua ukikuta wanakupigia humu.. Yan unabak umesurrender tu kua hawa jamaa mbona ni Mabingwa tyr.

Walikua wanapiga hesabu kana kwmb sisi ndo team ya kawaida wao ndo Mabingwa mara 4 kwny last 5 years... Tena wakawa na kejel kwmb watatusimamisha wnyw tusipo simamishwa na mtu mwngne watatupiga wao .. Bas tunasbr Arsenal j5 atufunge tujue kwl mnatak kukufuka na kubeba ubingwa huu.

Narudia mkipata hata Draw tu ntajua kwl mna Nia hata ya kua Mabingwa Yan hata Draw tu wana Arsenal.
 
OMBAOMBA FC.
20230422_043820.jpg
 
Unaona kejeli zako zinajaza wapinzani humu Jukwani?nilikuwa nakuonya usiweke ushabiki chambua football ️ na facts ona sasa leo Jukwaa linajazwa na wapinzani bila sababu ya msingi hamis77 ,wakati naonya ilikuwa naonekana mpinzani ,sometimes niliitwa ARV milangomitatu na wanaojiita die hard fans haya sasa pamenuka umekimbia ,tulichoambulia ni kuwa champions league but hayo ni mafanikio kwa big team kama Arsenal ambayo season nzima ilikuwa 1st position kwenye league?Acha tuendelee kupokea matusi
Hamis77 hapo anangoja mpaka tucheze na Brighton kesho ndo hajitokeze.

Jamaa ni muoga sana na malaya wa mpira.
 
Unaona kejeli zako zinajaza wapinzani humu Jukwani?nilikuwa nakuonya usiweke ushabiki chambua football ️ na facts ona sasa leo Jukwaa linajazwa na wapinzani bila sababu ya msingi hamis77 ,wakati naonya ilikuwa naonekana mpinzani ,sometimes niliitwa ARV milangomitatu na wanaojiita die hard fans haya sasa pamenuka umekimbia ,tulichoambulia ni kuwa champions league but hayo ni mafanikio kwa big team kama Arsenal ambayo season nzima ilikuwa 1st position kwenye league?Acha tuendelee kupokea matusi


Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
 
Mchezaji kama Jorginho lazima alitakiwa awe starter kwenye timu kama Arsenal. Anawekwa benchi na wachezaji wanaocheza mpira wa kubahatisha na pia wanakosa strong mentality.
 
Mimi naamini matoke yoyote kwa Arsenal msimu huu yatakuwa mazuri kwa plan hao. Lengo lilijuwa top 4, wakapambana mpaka Sasa wangombea ubingwa. Kikosi chetu bado japo wachezaji wamejitahidi sana. Hii iwe wake up call kwa viongozi kuhusu dirisha lijalo. Ukitaka kupambana na City lazima pumzi ziwepo na rotation za wachezaji ziwe za kutosha. COYG
Naona mmeanza taratibu kuhamisha magori.
 
Back
Top Bottom