Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Turudishiwe bao mbili kwani sisi ni Manchester united
Boom Bowen toa ndani
 
Msimu huu excuses zilikuwa nyingi but team kudrop dalili zilianza mapema hakuna competition zote ambazo tumeshiriki tulifika quarter finals ni moja ya dalili ambayo niliiona but sikutaka kuamini but kumbe nilikuwa na mawazo ya ukweli unatolewa FA na Carabao (round za mwanzo) Europa (16 round) bado excuses zinakuja leo tumeanguka kama gunia la viazi
 
 
Wakikosa ubingwa Hawa arsenal Kuna vitu vifuatavyo vitatokea.Mashabiki watapigana sana Kila mtu akimlaumu mwenzake kuwa na matarajio ya kujenga angani .
 
Arsenyanyis ukizikuta zinavyodanganyana humu, unaweza kudhan wanacheza malaika.

Kumbe ni mid table iliyochangamka.

Arsenal karai la kokoto
Haaland kiatu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…