Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Alivyokuwa kocha mwanzo ..
Aliwafunga city sana
Si kweli.

Lampard katika career yake ya ukocha (chelsea,everton & derby county) kakutana na City kwenye mechi 5 tu, kashinda moja, kadroo moja na kapigwa tatu.
 
"Liverpool Hana mpira wa kupishana na Arsenal hii
Kwa maana anaweza akachakazwa nyingi
Liverpool atapaki bus Kama walivyopaki bus nyumbu

Liverpool 0 vs arsenal 3 (wakipak bus)
Liverpool 1 vs arsenal 6 (wakitaka tupishane)"



Nyie wazee wa kupaki msimamo wenu bado ni uleule kua Liverpool Hana mpira wa kupishana na Arsenal hii?


#Arsenyo Kondoo
#Haaland kiatu
#Mancity bingwa Epl 2022/2023
 
We mwehu unapata wapi nguvu za kucomment humu ikiwa unatatuliwa na vijana wadogo kila inayoitwa leo?????????????

Weka msimamo...
Totte nimewahi kuwafanyia roho mbaya back then msimu ambao Leicester alibeba ubingwa. Mind you ule msimu tulimaliza nafasi ya 15.

Bado hujakutana na mimi na timu yangu mbovu, naweza kukushangaza. Shauri yako.
 
Walitaka kupishana na Liverpool kimewaangukia kitu kizito. Wakajaribu kufanya hivyo Etihad na St. James' Park pia waone.
Pale emarate walitupigia mpira mkubwa si tukakaa golini na bado wakafa tatu.
The same kwa man utd pale OT.

Ili ujue nyani ni nyani tu, jana wazee wa pressin' & overloadin' ikabidi waweke mabehewa golini na bado goli zikarudi.

Poor arsenyani.
 
Mimi najiuliza, hivi jana arsenal walikua coached na sean dyche kwa muda au?!

Maana tumeaminishwa arsenal hii ya arteta, arsenal ya pressin' &overloadin' sio ya kupimana nao nguvu maana utakula nyingi lakini sasa lile basi tuliloshuhudia jana hata mourinho kwenye ubora wake akasome.

Poor arsenyau
 
eti hamna mtu anaepaki basi lile mlilopaki kipindi cha pili lilikua behewa la treni?
Hivi mnamjua Liverpool akiwa Anfield nyie kima?
Tena bahati yenu mngejifanya kutaka kupishana 7up ya nyumbu na nyie mngeikunywa vizuri tu kima nyie.




#Arsenyo Kondoo
#Haaland kiatu
#Mancity bingwa Epl 2022/2023
 
Mkuu trust me, Leo liver lazima akae nyumba
mashambuliz ya Liverpool huwa yanategemea Sana full backs ambapo ni AA na Robertson, na ndio njia za saka na martinel

Leo Liverpool akifunguka anakula mkono
hapa mlikua mnajisemea kinyumenyume.
Mngefunguka mkanywa 7up.



#Arsenyo Kondoo
#Haaland kiatu
#Mancity bingwa Epl 2022/2023
 
Saa hii kila mtu anajifanya yupo disappointed kwanini Arsenal haishindi.

Hoya hii show haiwahusu. Wakati inaanza mlikua mmekaa kwenye viti show inaelekea mwishoni ndiyo mnatufundisha steps?

Piteni kushoto 😂
 
Nimecheka Sana🤣
Umeona sasa viungo waliokatika walivyowapeleka moto
Historia ya uwanja je?🤣
 
Ilikuwaje tena mkapaki?🤣🤣🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…