Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Uzuri wa hii mechi hamna mtu anapaki basi, hata mmoja awe mbovu vipi hakuna kuheshimiana njoo na mimi nakuja, ATTACK ATTACK ATTACK

Ndio maana #LIVARS ni FIXTURE yenye magoli mengi zaidi kwenye historia ya EPL.

Tunatakiwa tuwe wazuri tukiwa na mpira na tunapokuwa hatuna mpira.
 
Uzuri wa hii mechi hamna mtu anapaki basi, hata mmoja awe mbovu vipi hakuna kuheshimiana njoo na mimi nakuja, ATTACK ATTACK ATTACK

Ndio maana #LIVARS ni FIXTURE yenye magoli mengi zaidi kwenye historia ya EPL.

Tunatakiwa tuwe wazuri tukiwa na mpira na tunapokuwa hatuna mpira.
Mkuu trust me, Leo liver lazima akae nyumba
mashambuliz ya Liverpool huwa yanategemea Sana full backs ambapo ni AA na Robertson, na ndio njia za saka na martinel

Leo Liverpool akifunguka anakula mkono
 
Bado ,Kama umemsoma vzr hapo Ake anakwambia ukimzibia Space ,atapiga pass au Kross bado unakuwa matatizoni,

Juzi niliweka Uzi hapa SILAHA MBILI HATARI ZA SAKA

mkimuundia mpango mkakati wakumkaba atatoa Kross au pass ambayo mtakuwa matatizoni zaidi
Na mukij kumfanyia marking zaid ya watu wa2 muna tupa sabbu ya sisi kuwa wengi
 
[[emoji2424]] Nathan Aké:

“It’s tough against this player [Bukayo Saka]…”

“I watched his games. If you give Saka too much space he can just run at you with pace and you’re in trouble. When the ball gets switched to Saka, I try to go as tight as quickly as possible with him so he has less space to do his actions in…”

“With Saka it’s very difficult because he likes to go inside, but if you close the inside off, he’ll go outside and cross. He can go both ways. It’s very tough.” #ManCity

[@TimesSport]

View attachment 2581102
Saka tarent ukiachan tarent ni fighter mbona leo jogoo kaz anayo
 
Gooooal Bukayo saka celebrate after score Wonderful goal.[emoji16][emoji16]

Full time

Liverpool 4 vs Arsenal 1
1677421122235.jpg
 
Tarehe kama ya leo 9/4/ mwaka 2004 Tulimpiga Liverpool kuku kishingo nyundo 4

Leo mambo yanaenda kujirudia
 

Attachments

  • FB_IMG_16809723853980819.jpg
    FB_IMG_16809723853980819.jpg
    49.6 KB · Views: 18
[emoji860]| Bukayo Saka.


"I love playing for Arsenal we don't fear anyone, we will be ready".

#AFC #COYG [emoji837] [emoji836]️
IMG_20230407_182958.jpg
 
Hiyo champions league nyie mtaikosa. Mikjitahidi sana mtaingia Europa league
UEFA wataamua wenyewe tuende Champions League kupitia top 4 au bingwa wa Europa League.

Sasa hivi tupo kwenye mission treble. Wewe subiria sherehe za kurudi Champions League baada ya miaka 7. Sherehe za ubingwa msimu huu zote zitafanyika jijini Manchester.
 
Tuwaombee Arsenal washinde leo ndugu zangu maana jukwaa letu la man u wenda likakosa wachangiaji kabisa.

Maana ndo wanamiliki jukwaa la man u kule wakichapwa kuwaona hapa Mpaka next week.
 
Mechi tano za mwisho kusimamiwa na refa wa leo zote tulipasuka
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom