Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Liverpool vs Arsenal NDOO

Liverpool wakiwa wanategemea historia ya uwanja Kama silaha yao kubwa,
Arsenal wanategemea kikosi kazi kiende kumaliza kazi mapema Sana kwenye huo uwanja

Liverpool ya sasa, timu yao imekatika sana
kuanzia walinzi, viungo Hadi washambuliaji
Majerui ya muda mrefu, na umri mkubwa wa wachezaji walio wengi
Wanawakaribisha arsenal iliyoimalika zaidi ya miezi sita nyuma
Arsenal ya Moto, high energetic, passionate na commitment ya hali ya juu. Ata wakitanguliwa goal ni ngumu kuwatoa mchezoni
Inabidi ujiandae muda wote utakimbizwa mchakamchaka

Ni mpuuzi pekee anaefikiria eti hii game tukishinda ubingwa ni wetu
Huko tulipotoka tumecheza game za kiroho mbaya sana ukijumlisha fitina za var kunyimwa hazi zetu

At this moment niambie Bora ukutane na Liverpool au Brighton/Newcastle/city?

Niambie Kuna beki gani pale wa Liverpool wakuweza kuwazuia saka/martinel/trossad/Jesus wakiamua kufanya Jambo lao?

Battle la kiungo: partey/odegard/xhaka
Huku zinchenko anakuja Kama inverted midfielder
Ndio kiungo Bora kwa sasa pale epl akitoka man city
Niambieni Liverpool anatokea wapi hapo

Forward line ya Liverpool mwenye uhai ni Salah tu, ambae nae anakabika kirahisi tu
Na kwa sababu Kuna partey mkata umeme watajikuta wanazurula tu

Liverpool ni wabovu walio mpiga nyumbu 7, coz nyumbu ni wabovu zaidi times 10

Liverpool Hana mpira wa kupishana na Arsenal hii
Kwa maana anaweza akachakazwa nyingi
Liverpool atapaki bus Kama walivyopaki bus nyumbu
Lakini haitakua sababu ya kuwazuia watu niliowataja hapo juu kabla ya viungo

Liverpool 0 vs arsenal 3 (wakipak bus)
Liverpool 1 vs arsenal 6 (wakitaka tupishane)

Arsenal NDOO
Haaland KIATU
Nyumbu YUROPA
 
Liverpool vs Arsenal NDOO

Liverpool wakiwa wanategemea historia ya uwanja Kama silaha yao kubwa,
Arsenal wanategemea kikosi kazi kiende kumaliza kazi mapema Sana kwenye huo uwanja

Liverpool ya sasa, timu yao imekatika sana
kuanzia walinzi, viungo Hadi washambuliaji
Majerui ya muda mrefu, na umri mkubwa wa wachezaji walio wengi
Wanawakaribisha arsenal iliyoimalika zaidi ya miezi sita nyuma
Arsenal ya Moto, high energetic, passionate na commitment ya hali ya juu. Ata wakitanguliwa goal ni ngumu kuwatoa mchezoni
Inabidi ujiandae muda wote utakimbizwa mchakamchaka

Ni mpuuzi pekee anaefikiria eti hii game tukishinda ubingwa ni wetu
Huko tulipotoka tumecheza game za kiroho mbaya sana ukijumlisha fitina za var kunyimwa hazi zetu

At this moment niambie Bora ukutane na Liverpool au Brighton/Newcastle/city?

Niambie Kuna beki gani pale wa Liverpool wakuweza kuwazuia saka/martinel/trossad/Jesus wakiamua kufanya Jambo lao?

Battle la kiungo: partey/odegard/xhaka
Huku zinchenko anakuja Kama inverted midfielder
Ndio kiungo Bora kwa sasa pale epl akitoka man city
Niambieni Liverpool anatokea wapi hapo

Forward line ya Liverpool mwenye uhai ni Salah tu, ambae nae anakabika kirahisi tu
Na kwa sababu Kuna partey mkata umeme watajikuta wanazurula tu

Liverpool ni wabovu walio mpiga nyumbu 7, coz nyumbu ni wabovu zaidi times 10

Liverpool Hana mpira wa kupishana na Arsenal hii
Kwa maana anaweza akachakazwa nyingi
Liverpool atapaki bus Kama walivyopaki bus nyumbu
Lakini haitakua sababu ya kuwazuia watu niliowataja hapo juu kabla ya viungo

Liverpool 0 vs arsenal 3 (wakipak bus)
Liverpool 1 vs arsenal 6 (wakitaka tupishane)

Arsenal NDOO
Haaland KIATU
Nyumbu YUROPA
Wasijiroge wakaleta mchezo wa kupishana

Leo kuna watu wazima watalala na viatu
20230407_082042.jpg
 
Uzuri wa hii mechi hamna mtu anapaki basi, hata mmoja awe mbovu vipi hakuna kuheshimiana njoo na mimi nakuja, ATTACK ATTACK ATTACK

Ndio maana #LIVARS ni FIXTURE yenye magoli mengi zaidi kwenye historia ya EPL.

Tunatakiwa tuwe wazuri tukiwa na mpira na tunapokuwa hatuna mpira.
 
Uzuri wa hii mechi hamna mtu anapaki basi, hata mmoja awe mbovu vipi hakuna kuheshimiana njoo na mimi nakuja, ATTACK ATTACK ATTACK

Ndio maana #LIVARS ni FIXTURE yenye magoli mengi zaidi kwenye historia ya EPL.

Tunatakiwa tuwe wazuri tukiwa na mpira na tunapokuwa hatuna mpira.
Mkuu trust me, Leo liver lazima akae nyumba
mashambuliz ya Liverpool huwa yanategemea Sana full backs ambapo ni AA na Robertson, na ndio njia za saka na martinel

Leo Liverpool akifunguka anakula mkono
 
Bado ,Kama umemsoma vzr hapo Ake anakwambia ukimzibia Space ,atapiga pass au Kross bado unakuwa matatizoni,

Juzi niliweka Uzi hapa SILAHA MBILI HATARI ZA SAKA

mkimuundia mpango mkakati wakumkaba atatoa Kross au pass ambayo mtakuwa matatizoni zaidi
Na mukij kumfanyia marking zaid ya watu wa2 muna tupa sabbu ya sisi kuwa wengi
 
[] Nathan Aké:

“It’s tough against this player [Bukayo Saka]…”

“I watched his games. If you give Saka too much space he can just run at you with pace and you’re in trouble. When the ball gets switched to Saka, I try to go as tight as quickly as possible with him so he has less space to do his actions in…”

“With Saka it’s very difficult because he likes to go inside, but if you close the inside off, he’ll go outside and cross. He can go both ways. It’s very tough.” #ManCity

[@TimesSport]

View attachment 2581102
Saka tarent ukiachan tarent ni fighter mbona leo jogoo kaz anayo
 
Tarehe kama ya leo 9/4/ mwaka 2004 Tulimpiga Liverpool kuku kishingo nyundo 4

Leo mambo yanaenda kujirudia
 

Attachments

  • FB_IMG_16809723853980819.jpg
    FB_IMG_16809723853980819.jpg
    49.6 KB · Views: 11
| Bukayo Saka.


"I love playing for Arsenal we don't fear anyone, we will be ready".

#AFC #COYG
IMG_20230407_182958.jpg
 
Hiyo champions league nyie mtaikosa. Mikjitahidi sana mtaingia Europa league
UEFA wataamua wenyewe tuende Champions League kupitia top 4 au bingwa wa Europa League.

Sasa hivi tupo kwenye mission treble. Wewe subiria sherehe za kurudi Champions League baada ya miaka 7. Sherehe za ubingwa msimu huu zote zitafanyika jijini Manchester.
 
Back
Top Bottom