mkorea
JF-Expert Member
- Aug 16, 2016
- 8,582
- 19,226
Liverpool vs Arsenal NDOO
Liverpool wakiwa wanategemea historia ya uwanja Kama silaha yao kubwa,
Arsenal wanategemea kikosi kazi kiende kumaliza kazi mapema Sana kwenye huo uwanja
Liverpool ya sasa, timu yao imekatika sana
kuanzia walinzi, viungo Hadi washambuliaji
Majerui ya muda mrefu, na umri mkubwa wa wachezaji walio wengi
Wanawakaribisha arsenal iliyoimalika zaidi ya miezi sita nyuma
Arsenal ya Moto, high energetic, passionate na commitment ya hali ya juu. Ata wakitanguliwa goal ni ngumu kuwatoa mchezoni
Inabidi ujiandae muda wote utakimbizwa mchakamchaka
Ni mpuuzi pekee anaefikiria eti hii game tukishinda ubingwa ni wetu
Huko tulipotoka tumecheza game za kiroho mbaya sana ukijumlisha fitina za var kunyimwa hazi zetu
At this moment niambie Bora ukutane na Liverpool au Brighton/Newcastle/city?
Niambie Kuna beki gani pale wa Liverpool wakuweza kuwazuia saka/martinel/trossad/Jesus wakiamua kufanya Jambo lao?
Battle la kiungo: partey/odegard/xhaka
Huku zinchenko anakuja Kama inverted midfielder
Ndio kiungo Bora kwa sasa pale epl akitoka man city
Niambieni Liverpool anatokea wapi hapo
Forward line ya Liverpool mwenye uhai ni Salah tu, ambae nae anakabika kirahisi tu
Na kwa sababu Kuna partey mkata umeme watajikuta wanazurula tu
Liverpool ni wabovu walio mpiga nyumbu 7, coz nyumbu ni wabovu zaidi times 10
Liverpool Hana mpira wa kupishana na Arsenal hii
Kwa maana anaweza akachakazwa nyingi
Liverpool atapaki bus Kama walivyopaki bus nyumbu
Lakini haitakua sababu ya kuwazuia watu niliowataja hapo juu
kabla ya viungo

Liverpool 0 vs arsenal 3 (wakipak bus)
Liverpool 1 vs arsenal 6 (wakitaka tupishane)
Arsenal NDOO
Haaland KIATU
Nyumbu YUROPA
Liverpool wakiwa wanategemea historia ya uwanja Kama silaha yao kubwa,
Arsenal wanategemea kikosi kazi kiende kumaliza kazi mapema Sana kwenye huo uwanja
Liverpool ya sasa, timu yao imekatika sana
kuanzia walinzi, viungo Hadi washambuliaji
Majerui ya muda mrefu, na umri mkubwa wa wachezaji walio wengi
Wanawakaribisha arsenal iliyoimalika zaidi ya miezi sita nyuma
Arsenal ya Moto, high energetic, passionate na commitment ya hali ya juu. Ata wakitanguliwa goal ni ngumu kuwatoa mchezoni
Inabidi ujiandae muda wote utakimbizwa mchakamchaka
Ni mpuuzi pekee anaefikiria eti hii game tukishinda ubingwa ni wetu
Huko tulipotoka tumecheza game za kiroho mbaya sana ukijumlisha fitina za var kunyimwa hazi zetu
At this moment niambie Bora ukutane na Liverpool au Brighton/Newcastle/city?
Niambie Kuna beki gani pale wa Liverpool wakuweza kuwazuia saka/martinel/trossad/Jesus wakiamua kufanya Jambo lao?
Battle la kiungo: partey/odegard/xhaka
Huku zinchenko anakuja Kama inverted midfielder
Ndio kiungo Bora kwa sasa pale epl akitoka man city
Niambieni Liverpool anatokea wapi hapo
Forward line ya Liverpool mwenye uhai ni Salah tu, ambae nae anakabika kirahisi tu
Na kwa sababu Kuna partey mkata umeme watajikuta wanazurula tu
Liverpool ni wabovu walio mpiga nyumbu 7, coz nyumbu ni wabovu zaidi times 10
Liverpool Hana mpira wa kupishana na Arsenal hii
Kwa maana anaweza akachakazwa nyingi
Liverpool atapaki bus Kama walivyopaki bus nyumbu
Lakini haitakua sababu ya kuwazuia watu niliowataja hapo juu
kabla ya viungo

Liverpool 0 vs arsenal 3 (wakipak bus)
Liverpool 1 vs arsenal 6 (wakitaka tupishane)
Arsenal NDOO
Haaland KIATU
Nyumbu YUROPA
] Nathan Aké:
| Bukayo Saka.
️