hamis77
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 18,662
- 27,521
Uzuri wa hii mechi hamna mtu anapaki basi, hata mmoja awe mbovu vipi hakuna kuheshimiana njoo na mimi nakuja, ATTACK ATTACK ATTACK
Ndio maana #LIVARS ni FIXTURE yenye magoli mengi zaidi kwenye historia ya EPL.
Tunatakiwa tuwe wazuri tukiwa na mpira na tunapokuwa hatuna mpira.
Ndio maana #LIVARS ni FIXTURE yenye magoli mengi zaidi kwenye historia ya EPL.
Tunatakiwa tuwe wazuri tukiwa na mpira na tunapokuwa hatuna mpira.