Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Malengo msimu huu ilikuwa kucheza UCL , Kushindania mataji Ni msimu ujao

Ni wachache ndio tuliona toka pre season kwa Gear hii ya UCL tutapigania ubingwa so relax

Mechi ya kesho hata tukipoteza kwa tunavyocheza tuna uwezo wakushinda mechi zijazo hata 7 mfululizo

Binafsi naamini tukishinda kesho shughuli imeisha , huyo city nimekuwa nikisema tunaenda kummaliza kwake

Hata haters wote wamekaa wanasubiri tukishinda kesho wata salenda ,
"Malengo msimu huu ilikuwa kucheza UCL , Kushindania mataji Ni msimu ujao"

Nyie ni One season wonder,
Hamna tofauti yoyote na Leicester City ya 2015/2016 ambao walifanikiwa kubeba Epl.
Mkishindwa kuchukua msimu huu ndio msahau kabisa kuhusu kuchukua Epl.
Msimu ujao mnaenda kupoteana, hata hio UCL yenyewe mnaenda kutolewa kwenye group stage na kurudi zenu Europa.
Habari mbaya zaidi kwenu hizo mechi za Epl zilizo salia hakuna hata mechi moja City anayoenda kupoteza.


#Arsenyo Kondoo
#Haaland kiatu
#Mancity Champion 2022/2023
Screenshot_20230408_204613.jpg
 
"Malengo msimu huu ilikuwa kucheza UCL , Kushindania mataji Ni msimu ujao"

Nyie ni One season wonder,
Hamna tofauti yoyote na Leicester City ya 2015/2016 ambao walifanikiwa kubeba Epl.
Mkishindwa kuchukua msimu huu ndio msahau kabisa kuhusu kuchukua Epl.
Msimu ujao mnaenda kupoteana, hata hio UCL yenyewe mnaenda kutolewa kwenye group stage na kurudi zenu Europa.
Habari mbaya zaidi kwenu hizo mechi za Epl zilizo salia hakuna hata mechi moja City anayoenda kupoteza.


#Arsenyo Kondoo
#Haaland kiatu
#Mancity Champion 2022/2023View attachment 2581358
Mimi kwasasa siwez kujibishana na shabiki wa manjesta ambaye timu yake mwanzo wa msimu mnasema mnagombea ubingwa ,muda huu mnakimbilia kutafuta kucheza Europa

Sasa Ni matumizi mabaya kujibishana na nyie
IMG_20230330_102613.jpg
 
"Malengo msimu huu ilikuwa kucheza UCL , Kushindania mataji Ni msimu ujao"

Nyie ni One season wonder,
Hamna tofauti yoyote na Leicester City ya 2015/2016 ambao walifanikiwa kubeba Epl.
Mkishindwa kuchukua msimu huu ndio msahau kabisa kuhusu kuchukua Epl.
Msimu ujao mnaenda kupoteana, hata hio UCL yenyewe mnaenda kutolewa kwenye group stage na kurudi zenu Europa.
Habari mbaya zaidi kwenu hizo mechi za Epl zilizo salia hakuna hata mechi moja City anayoenda kupoteza.


#Arsenyo Kondoo
#Haaland kiatu
#Mancity Champion 2022/2023View attachment 2581358
Ukiendea hivi uzeeni utakua unapaa na ungo angani😂
 
Siwezi kushangaa tukimrudia Moises Caicedo, aina ya fullback huamua midfield dynamic. Kuna hawa FBs ambao ni exception of the game i.e zinny, cancello, kimmich, ukiwa nao hawa unachohitaji ni ball winner pale kati. Ukiona Zinny & Frasneda wanakuwa inverted hauhitaji rocket science kuelewa kiungo yupi anafit. Suala la Daclan Rice or Caicedo itategemea zaidi na aina ya FB atayesajiliwa, hakuna utofauti na ishu ya Tielemams or Xhaka ilivyokuwa.
 
Kesho tuna kazi sana ya kufanya Arteta najua hatapata usingizi results kesho laziwa iwe positive maana tuna Gap la points 5 pekee na next jamaa wakishinda tutaachana only 2 points na bado tuna game Etihad naanza kuamini baadhi ya fans wetu kuwa kesho ni Final
 
Yani kwa City hii ndiyo mnataka mkachukue points Etihad!!! 😂

Kesho Anfield msitegemee lolote zaidi ya kipigo. Nitakuwa mtu wa mwisho kuamini Arsenal bingwa msimu huu.
 
Nawaombea Arsenal mema ila kwa hz mechi ni ngum mno.
Yaani pamoja na kuziombea mema hizi kima lakini shukrani zao ni matusi.
Hebu kesho hapo Anfield zikung'uteni kama mlivyomkung'uta nyumbu ili ziwe na heshima na adabu kila zinapojadiliana na mashabiki wa Liverpool.
Screenshot_20230408_223241.jpg
 
FACT tupo nafasi ya 1 for almost season nzima then tumalize second place without FA,Carabao cup au Europa medal then tuone tumeachive kitu no way kwa sasa EPL ni lazima
Mwamba hua nakukubali sana kuliko shabiki yoyote wa Arsenal.
Haunaga konakona wala kupakapaka rangi, kwako nyeusi ni nyeusi na nyeupe inabaki kua nyeupe yaani haunaga unafki nafki.
Nasubiri kwa hamu Mancity akae katika nafasi yake hapo juu halafu uanze kuwachana live hao blood fans wa GAY team.
Screenshot_20230404-114106.jpg
Screenshot_20230404_120631.jpg
 
Man city lazima abebe ubingwa kama hamtaki mtajijua wenyewe.
Hizi kima zina dharau na midomo ya shombo sana, kama huamini subiri kesho kama ikitokea wakabahatisha kupata points 3 uone jinsi watakavyo watolea shombo mpaka wale wachezaji wastaafu wa Liverpool.
Arsenyo ni kama nyoka tu, ukikutana nae hakikisha unafata maandiko ya vitabu vitakatifu kwa kuchukua fimbo na kumtandika nayo kichwani mpaka unahakikisha Arsenyoka anakufwa, kisha unanyanyua mikono juu kumshukuru Mungu kwa kufanikiwa kumuangamiza shetani.
 
Yani kwa City hii ndiyo mnataka mkachukue points Etihad!!! 😂

Kesho Anfield msitegemee lolote zaidi ya kipigo. Nitakuwa mtu wa mwisho kuamini Arsenal bingwa msimu huu.
Mara City mbovu ndo maana mnaongoza ligi mara kwa City hii hatuchukui points Etihad. Hadi kufikia mwezi May mtawehuka wengi sana.
 
Last week, William Saliba’s absence was confirmed two days before the game. With less than 24 hours to go, there’s still no clarity on his availability. Let’s keep hoping.
 
Yani kwa City hii ndiyo mnataka mkachukue points Etihad!!!

Kesho Anfield msitegemee lolote zaidi ya kipigo. Nitakuwa mtu wa mwisho kuamini Arsenal bingwa msimu huu.
Huchoki tu,Kwanza ulidai mnachukua ubingwa ,Sasa hivi umehamia kupiga ramli kwa Arsenal

Unadhani Arsenal nianjesta iliyopigwa 7-0?

Kwa akili yako unadhani Arsenal anaenda kupaki Basi?

IMG_20230404_092705.jpg
 
Back
Top Bottom