Mondela
JF-Expert Member
- Aug 20, 2021
- 2,567
- 3,780
Nawaombea Arsenal mema ila kwa hz mechi ni ngum mno.View attachment 2580346Arse88 mkibeba ubingwa niitwe kenge, nimekaa pale
Nawaombea Arsenal mema ila kwa hz mechi ni ngum mno.View attachment 2580346Arse88 mkibeba ubingwa niitwe kenge, nimekaa pale
"Malengo msimu huu ilikuwa kucheza UCL , Kushindania mataji Ni msimu ujao"Malengo msimu huu ilikuwa kucheza UCL , Kushindania mataji Ni msimu ujao
Ni wachache ndio tuliona toka pre season kwa Gear hii ya UCL tutapigania ubingwa so relax
Mechi ya kesho hata tukipoteza kwa tunavyocheza tuna uwezo wakushinda mechi zijazo hata 7 mfululizo
Binafsi naamini tukishinda kesho shughuli imeisha , huyo city nimekuwa nikisema tunaenda kummaliza kwake
Hata haters wote wamekaa wanasubiri tukishinda kesho wata salenda ,


Nyie ni One season wonder,Mimi kwasasa siwez kujibishana na shabiki wa manjesta ambaye timu yake mwanzo wa msimu mnasema mnagombea ubingwa ,muda huu mnakimbilia kutafuta kucheza Europa"Malengo msimu huu ilikuwa kucheza UCL , Kushindania mataji Ni msimu ujao"
Nyie ni One season wonder,
Hamna tofauti yoyote na Leicester City ya 2015/2016 ambao walifanikiwa kubeba Epl.
Mkishindwa kuchukua msimu huu ndio msahau kabisa kuhusu kuchukua Epl.
Msimu ujao mnaenda kupoteana, hata hio UCL yenyewe mnaenda kutolewa kwenye group stage na kurudi zenu Europa.
Habari mbaya zaidi kwenu hizo mechi za Epl zilizo salia hakuna hata mechi moja City anayoenda kupoteza.
#Arsenyo Kondoo
#Haaland kiatu
#Mancity Champion 2022/2023View attachment 2581358
Ukiendea hivi uzeeni utakua unapaa na ungo angani😂"Malengo msimu huu ilikuwa kucheza UCL , Kushindania mataji Ni msimu ujao"
Nyie ni One season wonder,
Hamna tofauti yoyote na Leicester City ya 2015/2016 ambao walifanikiwa kubeba Epl.
Mkishindwa kuchukua msimu huu ndio msahau kabisa kuhusu kuchukua Epl.
Msimu ujao mnaenda kupoteana, hata hio UCL yenyewe mnaenda kutolewa kwenye group stage na kurudi zenu Europa.
Habari mbaya zaidi kwenu hizo mechi za Epl zilizo salia hakuna hata mechi moja City anayoenda kupoteza.
#Arsenyo Kondoo
#Haaland kiatu
#Mancity Champion 2022/2023View attachment 2581358


Tangu mwezi wa 8 mwaka jana hatujawahi kua na mechi nyepesi, and yet we top the f**ging tableNawaombea Arsenal mema ila kwa hz mechi ni ngum mno.
Sawa Sheikh Yahya.Yani kwa City hii ndiyo mnataka mkachukue points Etihad!!! 😂
Kesho Anfield msitegemee lolote zaidi ya kipigo. Nitakuwa mtu wa mwisho kuamini Arsenal bingwa msimu huu.
Nawaombea Arsenal mema ila kwa hz mechi ni ngum mno.


Yaani pamoja na kuziombea mema hizi kima lakini shukrani zao ni matusi. Yaani pamoja na kuziombea mema hizi kima lakini shukrani zao ni matusi.
Hebu kesho hapo Anfield zikung'uteni kama mlivyomkung'uta nyumbu ili ziwe na heshima na adabu kila zinapojadiliana na mashabiki wa Liverpool. View attachment 2581546


ngoja tuzinyooshe sasa hz kima 

maana zimezidi kujiona juu.Mwamba hua nakukubali sana kuliko shabiki yoyote wa Arsenal.FACT tupo nafasi ya 1 for almost season nzima then tumalize second place without FA,Carabao cup au Europa medalthen tuone tumeachive kitu no way kwa sasa EPL ni lazima
Man city lazima abebe ubingwa kama hamtaki mtajijua wenyewe.


Hizi kima zina dharau na midomo ya shombo sana, kama huamini subiri kesho kama ikitokea wakabahatisha kupata points 3 uone jinsi watakavyo watolea shombo mpaka wale wachezaji wastaafu wa Liverpool. Mara City mbovu ndo maana mnaongoza ligi mara kwa City hii hatuchukui points Etihad. Hadi kufikia mwezi May mtawehuka wengi sana.Yani kwa City hii ndiyo mnataka mkachukue points Etihad!!! 😂
Kesho Anfield msitegemee lolote zaidi ya kipigo. Nitakuwa mtu wa mwisho kuamini Arsenal bingwa msimu huu.
Huchoki tu,Kwanza ulidai mnachukua ubingwa ,Sasa hivi umehamia kupiga ramli kwa ArsenalYani kwa City hii ndiyo mnataka mkachukue points Etihad!!!
Kesho Anfield msitegemee lolote zaidi ya kipigo. Nitakuwa mtu wa mwisho kuamini Arsenal bingwa msimu huu.