Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Game management is poor.

Wote tumekuja na mchongo wa kumsubiri mtu ajichanganye kung'ang'ana na kumiliki mpira ila so far tusipobadilika jinsi tunavyokaba conservatively Liva akimiliki mpira anatufunga.

Silly mistakes za hapa na pale tunazifanya ambazo zinahitaji umakini ndiyo zinatusumbua. We have been brilliant in terms of attacking ila defensively hapana.

Kocha anatakiwa kubadili baadhi ya ishu. Hopefully Liva watakua tempted kukamia game baada ya hilo moja.
 
Liverfool hawana Cha kupoteza
2nd half tuwapige goal la mapema alafu tucheze mpira
Holding azidishe utulivu na awe makini na pass zake
Gabriel aongeze umakini zaidi zaidi zaidi

Vijana wangu Saka, martinel, jesus, odegard,
Bado sijaona kabisa
 
Mimi naenda na upepo wa mechi na matokeo.

2nd half tunarudi kivingine #YNWA. Halafu kumbe bado mna Newcastle away na hamjamalizana na Mitoma!?

Labda mliibe.
Msimu huu hakuna timu inayocheza na Arsenal halafu ikahigh press, umetaja viazi viwili ambavyo kimoja kilipasuka kilipojaribu kuhigh press na kingine kiliamua kupaki basi.

Lakini wewe ni nyumbu haya yote huwezi kuelewa.
 
Game management is poor.

Wote tumekuja na mchongo wa kumsubiri mtu ajichanganye kung'ang'ana na kumiliki mpira ila so far tusipobadilika jinsi tunavyokaba conservatively Liva akimiliki mpira anatufunga.

Silly mistakes za hapa na pale tunazifanya ambazo zinahitaji umakini ndiyo zinatusumbua. We have been brilliant in terms of attacking ila defensively hapana.

Kocha anatakiwa kubadili baadhi ya ishu. Hopefully Liva watakua tempted kukamia game baada ya hilo moja.

Utakuwa ndo wakati wa kumuadhibu, akifunguka tu kazi anayo.
 
Hapana, itakuwa unasema Alberto moreno
Ni yeye huyu mkuu, alipita hapo liver
Screenshot_20230409-193228.jpg
 
Back
Top Bottom