verifaidi yuza
JF-Expert Member
- Sep 13, 2018
- 3,150
- 6,256
Last time tulipoteza kwa city tukaenda na ushindi wa mechi saba mfululizoWatu mnataka ushindi na mnakaa mnaridhika!
Mwenzenu Kipara hana utani mjue[emoji16]
Uzembe kama wenu ndo ulotucost mwaka jana tukashindwa kubeba hii ndoo.
Tumedrop points leo wachezaji watareact kwa ushindi mfululizo wa coming games