verifaidi yuza
JF-Expert Member
- Sep 13, 2018
- 3,127
- 6,179
Njia nzuri ya kujilinda ni ku-possess mpira, ila Arteta hua anaamua kushusha timu chini kupaki basi
Kwa hii mentality ya kwenda huku unamuogopa mpinzani hatupati hata alama moja
Bado Arsenal tulikuwa na nafas ya kuimaliza mechi even dk ya mwisho, why Liverpool hajashindaUmeona sasa Anfield palivyo!?
Lazima pale Etihad tuwe tuwatreat kama mechi ya kawaida ila mahesabu mazuri yafanyike kweny kikosi mapema.Kwa hii mentality ya kwenda huku unamuogopa mpinzani hatupati hata alama moja
Sahau hilo suala. Hiyo mechi wachezaji wenu watajaa upepo.
Leo timu imepaniki mno kuanzia ndani mpaka Arteta benchi.Nimeshuhudia mpira wa kipuuzi si mchezo.
Kati ya sisi na wao sisi tunauhitaji huu ushindi kuliko wao.
Lakini ni nani ameonyesha desire na passion? Wao
Nani alikua anakimbia kuliko mwenzake? Wao
Nani alikua anahakikisha loose space zote anakuepo? Wao
What the fvck is this? Timu siielewi inataka ikabeje, we are always present kwenye loose space leo instructions zilikua kupaki basi? We already have a lead ghafla mchezaji wetu akipata mpira humuoni kama ana hamu ya kusogea mbele badala yake unamuona anasimama anapunguza mwendo.
Na huu ndiyo uzoefu ambao City anatuacha nao.
Mid zetu zimepiga shots ngapi nje ya box? Forwards? This is bullshit
Wachezaji wetu leo hata kuchallenge kwenye duels walikua wanakaa nyumaNimeshuhudia mpira wa kipuuzi si mchezo.
Kati ya sisi na wao sisi tunauhitaji huu ushindi kuliko wao.
Lakini ni nani ameonyesha desire na passion? Wao
Nani alikua anakimbia kuliko mwenzake? Wao
Nani alikua anahakikisha loose space zote anakuepo? Wao
What the fvck is this? Timu siielewi inataka ikabeje, we are always present kwenye loose space leo instructions zilikua kupaki basi? We already have a lead ghafla mchezaji wetu akipata mpira humuoni kama ana hamu ya kusogea mbele badala yake unamuona anasimama anapunguza mwendo.
Na huu ndiyo uzoefu ambao City anatuacha nao.
Mid zetu zimepiga shots ngapi nje ya box? Forwards? This is bullshit
Mpira ndiyo upo hivyo, huwezi kufunga kila nafasi. Liverpool pia wamepata nafasi nyingi tu.Bado Arsenal tulikuwa na nafas ya kuimaliza mechi even dk ya mwisho, why Liverpool hajashinda
Jamaa leo hujajificha umetokea jukwaanj baada ya mechi kweli umekuaKwan tumefungwa ? Nikusikilize kwa lipi ? Si wewe humu uligoma hatugombei ubingwa
Mechi ilikuwa mikononi mwetu ,last chance tumeshindwa kuitumia
Ndugu zetu labda tuwaelezeni ukweli tu, huu ubingwa mna kila dalili za kuukosa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sioni Arsenal akipata 3 points Etihad SIONI may be DRAW reason kubwa ni EXPERIENCE itauma sana tushike nafasi ya 2 season hii,tutaenda Etihad tukiwa tumepaniki sana refer game vs Manchester City Emirates tukapaniki tukabamizwa for now on fans ,kocha na players wote tumepaniki mean tumeshapaniki kuanzia next Sunday vs West ham tutaanza kucheza kwa presha kubwa sanaPresha ya kupata ubingwa ndio inayoanza kutuletea shida zile feeling zinaanza kutuathiri mind set zawachezaji zimeanza kuathirika.
Kwa jinsi liver walivyoipania hii mechi kwetu naona ni a point gain.kama kweli tunautaka ubingwa tunatakiwa kupata points 3 kutoka kwa City lasivyo ubingwa ni majaaliwa
Pale sio rahisi kivile,pale tunaweza kupigwa za kutosha,kama Liverpool amefungwa pale sisi na hii timu isiyoweza kulinda magoli mawili turafungwa ngapi
Nimeandika nimefuta, ila kwa kuwa wewe ni shabiki tu una haki ya kuandika huu udubwasha.!!