Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Sioni Arsenal akipata 3 points Etihad SIONI may be DRAW reason kubwa ni EXPERIENCE itauma sana tushike nafasi ya 2 season hii,tutaenda Etihad tukiwa tumepaniki sana refer game vs Manchester City Etihad tukapaniki tukabamizwa for now on fans ,kocha na players wote tumepaniki mean tumeshapaniki kuanzia next Sunday vs West ham tutaanza kucheza kwa presha kubwa sana
Etihad tukienda hawa wachezaji watatu

Zinny, Ødegaard na White wakianza ni tushapoteza iyo mechi maana hawawezi kuhandle presha kabisa
 
Leo timu imepaniki mno kuanzia ndani mpaka Arteta benchi.

Leo Attitude yetu imekua mbovu mnoo uwanjani, Second Half hatukueleweka Plan yetu ni nini.

Kupata Point 1 imekua bahati sana Liva walistahili kushinda.
kweli
 
Arsenal hamuwezi kuchukua ubingwa wa ligi kuu England. Leo tu mmeponea chupuchupu kufa. Milikuwa mnapoteza muda kwa kujiangusha angusha na kudelay restart lakini dakika za mwisho mmetamani mpira uishe.

Hamna mentality ya ubingwa. Huwezi ongoza mbili first half halafu uanze kucheza mind games za kupoteza muda bila sababu.

Hiyo ni loser mentality na ndio inawanyima ubingwa.
 
Etihad tukienda hawa wachezaji watatu

Zinny, Ødegaard na White wakianza ni tushapoteza iyo mechi maana hawawezi kuhandle presha kabisa
Naanza kukubaliana na wewe ukiuliza why tumeshindwa pata 3 points leo jibu ni PRESHA YA UOGA,unaongoza goals 2 na zinarudi ,Yes Anfield ni pagumu but kwa mchezo wa leo ukikumbuka una games Etihad na St James Park unaishia kuguna
 
Naanza kukubaliana na wewe ukiuliza why tumeshindwa pata 3 points leo jibu ni PRESHA YA UOGA,unaongoza goals 2 na zinarudi ,Yes Anfield ni pagumu but kwa mchezo wa leo ukikumbuka una games Etihad na St James Park unaishia kuguna
Kuguna kama Willy Paul..
Au wamekuwa Ole GUNA sosha
 
Arsenal hamuwezi kuchukua ubingwa wa ligi kuu England. Leo tu mmeponea chupuchupu kufa. Milikuwa mnapoteza muda kwa kujiangusha angusha na kudelay restart lakini dakika za mwisho mmetamani mpira uishe.

Hamna mentality ya ubingwa. Huwezi ongoza mbili first half halafu uanze kucheza mind games za kupoteza muda bila sababu.

Hiyo ni loser mentality na ndio inawanyima ubingwa.
Liva aliongoza mbili dhidi ya Madrid

Wote tunajua kilichotokea.
 
Nimeshuhudia mpira wa kipuuzi si mchezo.

Kati ya sisi na wao sisi tunauhitaji huu ushindi kuliko wao.

Lakini ni nani ameonyesha desire na passion? Wao

Nani alikua anakimbia kuliko mwenzake? Wao

Nani alikua anahakikisha loose space zote anakuepo? Wao

What the fvck is this? Timu siielewi inataka ikabeje, we are always present kwenye loose space leo instructions zilikua kupaki basi? We already have a lead ghafla mchezaji wetu akipata mpira humuoni kama ana hamu ya kusogea mbele badala yake unamuona anasimama anapunguza mwendo.

Na huu ndiyo uzoefu ambao City anatuacha nao.

Mid zetu zimepiga shots ngapi nje ya box? Forwards? This is bullshit
Sisi tumewaruhusu mtufunge
Ila tu mkaze miguu maana msitegemee tutakuwa tunatembea.

Lakini naona mmegoma kabisa kukaza miguu
Kilaini mnamzawadia ubingwa yule mama Citi wazembe arse8
 
Remaining fixtures
20230409_205425.jpg
 
Back
Top Bottom