Samahani, naomba niseme hauji mpiraBournemouth ndio timu inayoshika mkia kwenye msimamo wa ligi.
Bournemouth ndio timu pekee iliyofungwa goli 9-0 msimu huu kwenye Pl.
Arsenyani amepelekewa moto ndani ya dakika 60 na kugongwa goli 2-0 na Bournemouth.
Mpaka dakika 90 zinamalizika Asenyani ameambulia draw na timu inayoshika mkia.
Mashabiki wa Asenyani mngekua na akili mngesikitika na kujiuliza iweje Liverpool amemgonga Bournemouth goli 9 bila nyinyi mnakwama wapi mpaka mtegemee mbeleko kutoka kwa refa? View attachment 2537451View attachment 2537452
Huna haja ya kumuomba samahaniSamahani, naomba niseme hauji mpira
Ian wright kasema hiviKurudi kwa G Jesus kutarejesha upya ufanisi wa Martinelli
Kwani yeye kaweka matokeo ya mwaka gani!??Hii ya mwaka gani?Watu wanaongelea msimu wa 2022/23.
nyamanolokwetu kasema Mpaka sasa hivi wamebaki mashoga tu ndiyo hawaamini Arsenal itabeba ubingwaNitakuwa mtu wa mwisho kuamini Arsenyani atabeba EPL.
Timu inavocheza na bingwa mtarajiwa inakawaida ya kupaki bas tofaut na midd teams ndio maana hadi mancity alicheza kwa kuvizia tukoseeBournemouth ndio timu inayoshika mkia kwenye msimamo wa ligi.
Bournemouth ndio timu pekee iliyofungwa goli 9-0 msimu huu kwenye Pl.
Arsenyani amepelekewa moto ndani ya dakika 60 na kugongwa goli 2-0 na Bournemouth.
Mpaka dakika 90 zinamalizika Asenyani ameambulia draw na timu inayoshika mkia.
Mashabiki wa Asenyani mngekua na akili mngesikitika na kujiuliza iweje Liverpool amemgonga Bournemouth goli 9 bila nyinyi mnakwama wapi mpaka mtegemee mbeleko kutoka kwa refa? View attachment 2537451View attachment 2537452
Kati ya hawa wawili nani kapelekewaBournemouth ndio timu inayoshika mkia kwenye msimamo wa ligi.
Bournemouth ndio timu pekee iliyofungwa goli 9-0 msimu huu kwenye Pl.
Arsenyani amepelekewa moto ndani ya dakika 60 na kugongwa goli 2-0 na Bournemouth.
Mpaka dakika 90 zinamalizika Asenyani ameambulia draw na timu inayoshika mkia.
Mashabiki wa Asenyani mngekua na akili mngesikitika na kujiuliza iweje Liverpool amemgonga Bournemouth goli 9 bila nyinyi mnakwama wapi mpaka mtegemee mbeleko kutoka kwa refa? View attachment 2537451View attachment 2537452
Mods timizeni wajibu wenuAss'anal hamtoki leo, tafuteni sare ila ushindi hakuna, na ikitokea mmeshinda nipigwe ban.
VAR mwaka huu Arsenal tunalo.Ila VAR inatukandamiza matuta mawili tumenyimwa.Ile ya Orde tuta la wazi wale jamaa wa VAR hawakuliona au wanatufanyia makusudi.
Yule aliye shika mpira kipindi cha kwanza mpaka watangazaji wakawa wanahoji mkono unaanzia wapi.
Bournemouth ndio timu inayoshika mkia kwenye msimamo wa ligi.
Bournemouth ndio timu pekee iliyofungwa goli 9-0 msimu huu kwenye Pl.
Arsenyani amepelekewa moto ndani ya dakika 60 na kugongwa goli 2-0 na Bournemouth.
Mpaka dakika 90 zinamalizika Asenyani ameambulia draw na timu inayoshika mkia.
Mashabiki wa Asenyani mngekua na akili mngesikitika na kujiuliza iweje Liverpool amemgonga Bournemouth goli 9 bila nyinyi mnakwama wapi mpaka mtegemee mbeleko kutoka kwa refa? View attachment 2537451View attachment 2537452
Hii Kenge ifungiwe tuModerator tenda haki hapa
@lembu nilimwambia ni vile hamjui Di zerbiUpande wa pili mwamba naye kachafukwa, kawageuza Westham uwanja wa mazoezi. Hii era ya Arteta & De zerbiView attachment 2537638