Inalipa
Member
- Jun 30, 2022
- 63
- 77
uzi upi wa kiatu amaaaaUzi tayari

uzi upi wa kiatu amaaaaUzi tayari

ulitaka niifananishe na timu ya wala pension?Acha kuifanisha Asernal na Wala ugali na sukari
Hamna mchezaji hapo ni takataka kabisa
Dah kweli wote ni wazee wa kubebwa hawana uwezo vibondeArsenal ni yanga mtupuu
kubebwa kupi unakomaanisha wew?Dah kweli wote ni wazee wa kubebwa hawana uwezo vibonde
Tumestruggle na possession ya 80% na shots 30?Msimu Aston Villa aliompiga Liverpool 7-2 ni 2020/21 siku hiyo alianza United kufungwa 6, Liverkuku wakafurahi sana baadae kibao kikageukia kwao.
Mechi Liverpool aliyompiga Bournemouth 9 ni ya msimu huu na The Cherries ndiyo timu mbovu kwenye ligi ila Arsenyani wame-struggle kupata points 3 tena wakitokea nyuma ya bao 2.
Nani kamzidi Partey kwa sasa pale England, kwa position yake,!!!???Hamna mchezaji hapo ni takataka kabisa
Hapana! Huyo jamaa anamfananisha na huyo kweny picha mason GreenwoodNani kamzidi Partey kwa sasa pale England, kwa position yake,!!!???


















Mi nilishachoka, nikiona VAR najua itakuwa against us.Ila wazee Kila nikiangalia zile VAR review za Jana
Yani naona Kabisa FA na Marefa EPL wana figisu kubwa zinaendelea.
Why kila siku ni sisi tu?

Swali la Kipumbavu sanaNyie mafala mnabebwa mpira si huwa ni dk. 90. Goli dk.97 limetoka wapi?
Zimebaki mechi 12.... wewe endelea na huo wimboArsenyani nawakumbusha tu hii ni ngwee(mzunguko/round) ya pili ligi bando ndefu, wanaume wenye pumzi ya kutosha ndio watakaobaki top4.
Ningekushauri uendelee kusikiliza nyimbo za taarabu, kunakufiti zaidi huko..Nyie mafala mnabebwa mpira si huwa ni dk. 90. Goli dk.97 limetoka wapi?
Nipo kwa captain odegaard kulala kwa odegaard ni ishara kuwa mwili,akili maarifa vyote vilifeli zilibaki kudra za mwenyezi mungu na bahati ....UNBELIVABLE MOMENTwilsonorumatz_
PICHA 1 INAZUNGUMZA MANENO 1000
It was epic.Ni FILAMU yako tamu ya Mapenzi
Nianze kutambulisha Mashabiki wa Arsenal waliopo kwenye hii picha.
1.Huyu hapa mwanzo ambae hana jezi na anazama ground ni Jorginho FRELO
2.Kuna mtu hapo anakimbilia kwenye kibendera kama goli amefunga yeye.Huyo ni WILLY SALIBA
3.Kuna mtu hapo amelala kifudi fudi ndani ya box.Huyo ni Gabriel MAGALHAES
4.Kuna mtu hapo anashangilia Mbele Neto golikipa wa FC Bournemouth ambae alikuwa anapoteza sana muda.Huyo ni Ben White aka MZEE WA JAMBIA
5.Kuna mtu anashangilia akiwa amelala kule Karibu na Kibendera baada ya kupiga Kona.Huyo ni Nahodha Martin ODEGAARD
6.Kuna mtu hapo yeye anaokota mpira kwenye wavu haraka,huyu sijui alikuwa anafikiria nini.Labda tukaanze haraka mpira tuweke chuma ya 4 kabisa? Lakini Muda ulikuwa umeisha Ujue.Huyo ni Gabi MARTINELLI
7.Kwenye hizi Picha wewe upo wapi? This is every Arsenal fan Jana
Note; Arsenal imefunga magoli 3 Dakika ya 90 msimu huu.Hakuna team EPL ina uwezo huo
Na ni rekodi ya Arsenal ya msimu mzima wa EPL
View attachment 2537881
Hafikii balaa la Anthony