Dogo Nelson maaelezo aliyaelewa, alipewa maelekezo mengi wakati anaingia, moja ya dynamic tulikosa kipindi ESR yupo ndani ni left wide player wa ku hold width kama Saka, solution ilikuwa kupata mchezaji wa kucheza karibu na touchline sababu Bournemouth walibana sana eneo la kati nakuachia nafasi pembeni, winger aliyehitajika ni 1v1 material ku exploit nafasi kubwa inayoachwa pembeni.
Ndio maana naonaga kucheza na Leo Trossard / ESR utahitaji conservative LB kama Kieran Tierney, sababu kubwa Trossard / Leo wanapenda sn kudrift inside, hivyo pembeni kuna kosa ovellappers cuz Zinny naye ni technician km wao so wanajikuta wote wapo inside kitu ambacho kinatengeneza imbalance. Lakini pia hata kuanza na ø & Viera unakuwa na creator wawili, Partey huyu ni destroyer so ni km anakosekana mtu wa kucontrol tempo that's Y Xhaka kukosekana ilipelekea kustruggle dhidi ya hizi timu za kupaki basi hasa kwenye transition kila wakienda ilikuwa hatari.