Bado sijaona Arsenal ikimrudia mchezaji aliyechagua timu nyingine na siyo ArsenalWakimuweka sokoni tutapita nae kama mwewe
Bado sijaona Arsenal ikimrudia mchezaji aliyechagua timu nyingine na siyo ArsenalWakimuweka sokoni tutapita nae kama mwewe
Housem Aour yupo free Summer hapoBado sijaona Arsenal ikimrudia mchezaji aliyechagua timu nyingine na siyo Arsenal
Bro unapojiuliza kuhusu Mudryk kupata game time Arsenal, inabidi ujiulize pia kwanini Arsenal waliweka kipengele akishinda Ballon dor watalipa add ons?, hiyo inatosha kum describe ni mchezaji wa level ipi kwenye jicho la Mikel Arteta. Moja ya wachezaji nilijisikia vibaya kumkosa.Siku hizi timu nyingi hazitukabii kwa high line tumekua wazuri kwenye kupasi na kukaa kwenye njia kitu kimoja tulichobakisha ni wingers wetu kua finishers zaidi ya sasa
Game dhidi ya Leicester, dakika ya 16 Jorginho anapiga thru ball nzuri ndefu inamkuta Saka lakini Saka akawa anasubiri wenzake wajae. Prime Salah/ Roben alikua anaingia kwenye boksi na kujaribu kucut in na kuscore.
Kuna chip pass moja Partey alimsukumia Nketiah game ya jana, Nketiah akauwahi mpira vizuri bahati mbaya kipa alishatokea. Katika shooting tunasema ni bora ulenge target kuliko utoe mpira nje kabisa. With that sense kosa ya Nketiah inatia matumaini kuliko kosa ya Odegaard dhidi ya Villa.
At some point hua najiuliza vipi kama Mudryk angekuja? Angeweza kumuweka bench Martinelli? Na hivi hatuna Carabao wala FA.
Housem Aour yupo free Summer hapo
Ndo wakome kuringa sasa.Baada ya kushindwana dirisha la usajili next transfer Aouar alishuka bei mpaka kwenye 10+ hivi na kipindi hicho ilikua bado inatafutwa nani ataweza vaa viatu vya AM. Emile na Martin ndo walikua wanatestiwa, Aouar dau limeshuka na ni AM tayari anayejulikana ila Arsenal haikurudi tena.
Na mimi ndivyo ninavyojua kwamba mtu akichagua kutokuja hua hatumfuati tena. Case study kubwa kabisa ni Zaha jamaa hadi aliweka video online anaitaka Arsenal ila ndiyo basi tena.
Mkuu hivi vipengele ni vinawekwa pia kutia ugumu baadhi ya malipo. Martial wa United na yeye ana kipengele cha Ballon D'Or lakini mi naamini Martial hatokuja ipata Ballon D'Or.Bro unapojiuliza kuhusu Mudryk kupata game time Arsenal, inabidi ujiulize pia kwanini Arsenal waliweka kipengele akishinda Ballon dor watalipa add ons?, hiyo inatosha kum describe ni mchezaji wa level ipi kwenye jicho la Mikel Arteta. Moja ya wachezaji nilijisikia vibaya kumkosa.
Kwaiyo hakuna room ya Caicedo Summer?Baada ya kushindwana dirisha la usajili next transfer Aouar alishuka bei mpaka kwenye 10+ hivi na kipindi hicho ilikua bado inatafutwa nani ataweza vaa viatu vya AM. Emile na Martin ndo walikua wanatestiwa, Aouar dau limeshuka na ni AM tayari anayejulikana ila Arsenal haikurudi tena.
Na mimi ndivyo ninavyojua kwamba mtu akichagua kutokuja hua hatumfuati tena. Case study kubwa kabisa ni Zaha jamaa hadi aliweka video online anaitaka Arsenal ila ndiyo basi tena.
Martial wakati anaanza Career alikuwa na potential ya kufika mbali, Martial alionekana Monacco kabla ya Mbappe, kinachoangaliwa ni potential ya mchezaji ilu kuweka hizo add ons,Mkuu hivi vipengele ni vinawekwa pia kutia ugumu baadhi ya malipo. Martial wa United na yeye ana kipengele cha Ballon D'Or lakini mi naamini Martial hatokuja ipata Ballon D'Or.
Mudryk siyo mbaya, ila angekua na kazi ya kumnyang'anya namba best shooter wa Arsenal na kwa games nilizomuona Mudryk mimi naona anazidiwa finishing na front three yote ya Arsenal.
Ila angekua mzuri kutengeneza nafasi.
Ni kisha kisha kishs formation ibadilike nte nye nye nyeee. Hii ndo maana yake ndugu kochaPiblic ni nini boss?
Caicedo hakukataa kuja. Hata akaomba kuondoka ila mambo mengine yakatokeaKwaiyo hakuna room ya Caicedo Summer?
Naandika hapa kwa mara ya mwisho.Ni kisha kisha kishs formation ibadilike nte nye nye nyeee. Hii ndo maana yake ndugu kocha
Upo sahihi.Martial wakati anaanza Career alikuwa na potential ya kufika mbali, Martial alionekana Monacco kabla ya Mbappe, kinachoangaliwa ni potential ya mchezaji ilu kuweka hizo add ons,
Mbali ya Edu & Arteta kuona potential ya Mudryk, Roberto de zerbi pia alizungumzia ishu ya ubora wa Mudryk na kuwin Ballon Dor, System anzotumia Potter zisikufanye ukadhani ni mchezaji wa kawaida, kwa profile yake he would be very special under Mikel, mfano Rashford chini ya Ralph rangnick alikosa game time kwa kuonekana ni average player, PSG wakaendelea kumuhitaji cuz waliona ana sifa za kufika mbali, mwaka haujaisha now yupo ETH, nani anamkataa Rashford tena?
So Mudryk ni winger mwenye uwezo wa ku dictate Attacks like Saka, pace with 1v1 quality, penetrative runs, creator, ball striking both feet,.he is unstoppable under a good manager.
Ile game dhidi ya Villa kuna counter ilipigwa Vieira hakucommit kwa mchezaji mwenye mpira badala yake akawa anarudi huku anazuia pasi isipigwe.Naona Fabio Vieira anakuja vizuri kwenye role ya LCM. Xhaka akae mkao wa kula.
Fabio ni mwepesi sana na yuko more flexible. Najua Arteta anafikiria kumpa more game time.
Chelkenge wanamwita 007, zero goal zero assist in 7 games.Upo sahihi.
Hebu check rekodi ya magoli ya Mudryk. Kisha angalia jinsi anavyocheza, anafanya hayo yote lakini finishing yake siyo kubwa na kwavile hatuna reliable ST kwa sasa kocha angerisk kumpa namba Martinelli over Mudryk kwenye game as Martinelli hashindwi kukupa magoli pia.
Mfano Mudryk pale pale alipo wakija na ST mzuri hivyo vyote anavyofanya will worth a fortune that Chelsea spent on him, ila kwa sasa anaonekana bado ana deni. Coz ana pace, haogopi kuingia kwenye boksi, mzuri kwenye tight space, ball striking ability anayo ila bado anaonekana hamna kitu anafanya
Yani wewe jamaa sijui una hofu gani na sisi Manchester yani wa nyuma yako ni city lakini muda wote unatuwaza Manchester tuTIMU KAMA MANYUMBU HUWEZI KUONA VITU KAMA HIVI
Positional Play ya Arsenal ( time and space ) : ndio ilimfanya Zinchenko awe kwenye right sided namba 10 , Martinelli baada ya kuachia pasi akaenda nafasi ya Saka na Saka akaingia ndani kama straika kwenye penalty box .
POSITIONAL PLAY kwenye ubora wake