Hili goli ni ubora wa Saka kwenye half space, lakini the key impact ni movement inayofanywa na Martinelli inamuacha mykolenko dilemma haelewi aende wapi. Nikionaga hivi vitu nampa heshima sn Mikel Arteta, top top structure, hawezi kukosa solution ya tatizo kwenye mechi tatu mfululizo.Nitajie mchezaji bora wa EPL kwa sasa ambaye Sio BUKAYO SAKA..Nakusikiliza Kenge wewe
Actually nilikuwa narudia kutazama hili bao lake tena tena.Ni vitamin tupu
Kwanza namna alivyokuwa anaitaka kwa nguvu Ile pasi kutoka kwa Zinchenko baada ya Kujua Kila kitu kinachoendelea pale a alipojipozisheni.
Halafu amefanya Vitu viwili just kwenye one Movement .Turn ilikuwa kupokea mpira Lakini pia kuuweka mbali na Mykolenko.
Lakini pia kukaa katikati ya Mpira na Mykolenko.Then ni Imani Juu ya ule Mguu wake wa kulia kuchagua power and Precision kuuweka pale pale Juu ya Pickford
Goli 10 na assist 9.Goli 6 ni goli la Kwanza la Arsenal.Halafu goli 4 ni bao la kusawazisha la Arsenal
View attachment 2535102
We have got a SUPER MIKEL ARTETAHili goli ni ubora wa Saka kwenye half space, lakini the key impact ni movement inayofanywa na Martinelli inamuacha mykolenko dilemma haelewi aende wapi. Nikionaga hivi vitu nampa heshima sn Mikel Arteta, top top structure, hawezi kukosa solution ya tatizo kwenye mechi tatu mfululizo.
Tajiri miluzi wa Barca hachelewi kumpigia simu.We have got a SUPER MIKEL ARTETA
| Arteta juu ya umuhimu wa Zinchenko:
endapo zinny ataendelea kuwepo kwenye kikosi Cha Arteta...Ila KT kwenye ulinzi next to none.| Arteta juu ya umuhimu wa Zinchenko:
“Ndiyo maana tumemleta hapa. Analeta kitu tofauti kwa timu. Mtazamo wake na ubora wake wa kufanya mambo fulani huturuhusu kutotabirika na kuleta mashambulizi mengi kila wakati tunapomiliki mpira.” [@arsenal]
Niseme tu sioni kama Tierney ataendelea kusalia Emiratesendapo zinny ataendelea kuwepo kwenye kikosi Cha Arteta...View attachment 2535192
Arsenal tuna bahati na LB piaIla KT kwenye ulinzi next to none.
Nuno Tavares, what's your take on this?Arsenal tuna bahati na LB pia
Oya hayo maneno ya mwisho alisema kweli??😄Zinchenko sio LB, ni mchezaji asiye na majukumu zaidi ya jukumu moja la ku create chaos kwenye game ili Wapinzani washindwe kucheza, that's Y hata akiwa exposed au akifanya silly mistakes kwa upande wake LHS hakuna kulaumu, He's so important, ni km mchezaji anaye create dynamism kimfumo ilimradi timu isieleweke inachezaje pattern zake. I feel sorry for KT.
"When i felt bored in the game vs United i passed the ball to Anthony and then took it back" ~ Oleksandr Zinchenko
Kenge ndiyo nani hao? Chelsea? 😄😄𝐅𝐎𝐎𝐓𝐁𝐀𝐋𝐋 𝐌𝐀𝐃𝐄 𝐈𝐍 𝐀𝐑𝐒𝐄𝐍𝐀𝐋.
Hawa Kenge tumewapiga 4 na Mpira mwingi wakagawane na vibaraka wao shubaamitt
Michezo sawa and FIVE POINTS CLEAR.Umenisikia au niirudie?
Kama utasema team yako inacheza mpira mzuri,nitakuuliza kama Arsenal? Watu wanapasiana kutoka nyuma haijalishi Kuna Presha kiasi gani.Kila mchezaji yupo kwenye movement muda wote kuhakikisha Kuna options ya pasi haijalishi ni Eneo gani la uwanja.I ,You,We they call it Football organism
Arsenal ndo team ya kwanza msimu huu kuwa na wachezaji 2 wenye Goli 10+ , Bukayo Saka na Gabriel Martinelli
Kwenye magoli 10 ya Bukayo Saka, magoli 6 Yalikuwa niya kuipa Arsenal Uongozi kwenye Mechi.Na magoli 4 niya Kusawazisha.Ni Harry Kane peke yake ndo amefunga Magoli ya maamuzi zaidi ya Saka (11)
Let's talk kidogo kuhusu lile bao lake.Ile Movement ya Zinchenko ndo exactly alitakiwa kufanya.Kupunguza watu Peke yake ili kuifungua Ile Midfield ya Everton.Then Bukayo Saka anapokea na Mguu wa kushoto,on the turn na ule Mguu wake wa kuvukia Barabara.Baaaaang.
Infact Bukayo Saka amehusika kwenye goli 19 katika michezo 25 msimu huu.Ni ulimwengu wa Bukayo Saka tuishi humo.
Everton walikuja na Plan kama ya mechi ya kwanza.Arsenal wacheze ,sisi tuharibu.Waliziba Space na 4-5-1 kama kawaida,Lakini Arteta alikuwa na Plan nyingine.Kivipi?
Leandro Trossard amechukua tena nafasi ya Eddie ENKETIAH kikosini.Movement yake Kushuka kwenye Midfield,maana yake ilikuja ku Overload Midfield ya Everton.Ikawa ni Zinchenko, Jorginho/ Partey, Xhaka, Trossard vs Onana,Gana GUEYE na DACOURE.
Leandro Trossard pia Kuna Wakati alikuwa anabadilishana nafasi na Gabriel Martinelli, pembeni na katikati.Hii ilivuruga kabisa Muundo wa kuzuia wa Everton.Nafikiri Gabi Martinelli akicheza ndani kidogo na kuingia kwenye box anakuwa hatari zaidi kuliko kucheza kwenye mstari wa pembeni anakabika kwake urahisi.Na amefunga goli 2 Leo kufikisha goli 11 na assist 3
Nafikiri hii Plan ya LEANDRO TROSSARD Kwa team ndogo zinazopaki bus.Na Eddie ENKETIAH kwenye Mechi zile kubwa Kubwa itakuwa saafi tu
Note; Nia Yetu ni kukaa Kileleni Mpaka mwezi wa 5 halafu ubingwa mtaamua wenyewe wakumpa Kenge nyieeView attachment 2534761
Waache roho za korosho. Tumewapa title winners kibao. Clichy, Nasri, Adebayor na tukawapa Arteta aende kumpa Pep mbinu.. .. 😄😄According to reports Pep and Manchester City will never sell a player to Arsenal ever again.
The reason why Oleksandr Zinchenko and Gabriel Jesus were sold to Arsenal is because of Pep's mate - and he didn’t feel Arsenal were a threat." #afc #ArsView attachment 2535118
Hahaha angalia anachofanya huko alipoNuno Tavares, what's your take on this?
Wanaokuja humu. .hasa wakipata matokeo wanatuma eti matokeo yao humuKenge ndiyo nani hao? Chelsea?![]()