Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Huyu mwamba arudi tu.. Haya ndio mambo nketiah hana.
Huyu ndio alikuwa anamfanya martinelli anafanya vizuri upande wa kushoto.
Mwamba anashambulia kutokea kushoto, kati na kulia.

Kwangu naimani magoli yatakuja tu, ila mchango wake ni mkubwa saana kwenye matokeo ya timu.
Beki hazikai kwa amani.
 

Attachments

  • VID-20230221-WA0003.mp4
    4.7 MB
Jamaa anaujua sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…