Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

acha kulialia wewe komamanga, penati yenyewe mmepewa ya mchongo alafu unaanza epl wanatuonea nyenyenye....
sie wenyewe tulipigwa goli la offside na manure ila tukatulia tu.

epl ndio walimwambia tomiyasu atoe pasi kwa kdb?

epl ndio walimwambia ramsdale adake mipira kama anadaba panzi?

Tumbili fc.
Usiwe mkali hivyo braza jana umetufunga, mbona,,
 
D2C7BB47-6FA8-4876-BA76-C5178BE11648.jpeg
 
Dhuruma inayofanywa na bodi ya ligi ya England, kwa Team bora ya Arsenal ipo siku wata umbuka tu,,

Licha ya kufungwa na man city ila pia kuna jitihada nyingine zina fanywa nje ya uwanja,,
Ushahidi upo hii nayo ina ua morali ya team.

Ila fresh tu hata man city, man u, chelsea, liverpool, totnhum inshort zote zimepitia na zingine zinapitia hii hali.
Tuna rudi tena,, kuwashangaza
AC535D71-FBB5-4605-AECB-101189E18B6E.jpeg
 
Bado tuna mechi moja mkononi hata kama ni dhidi ya City au timu yoyote ila bado tuna kiporo tutarudi katika ubora wetu
 
Back
Top Bottom