Sharamdala
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 3,559
- 6,564
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ninches kwanza Anne
Dhuruma inayofanywa na bodi ya ligi ya England, kwa Team bora ya Arsenal ipo siku wata umbuka tu,,
Licha ya kufungwa na man city ila pia kuna jitihada nyingine zina fanywa nje ya uwanja,,
Ushahidi upo hii nayo ina ua morali ya team.
Ila fresh tu hata man city, man u, chelsea, liverpool, totnhum inshort zote zimepitia na zingine zinapitia hii hali.
Tuna rudi tena,, kuwashangaza
Alishindwa RVP kubeba Epl Arsenal ndio ataweza Nketiah kweli?Eti Arsenal ichukue ubingwa, nyie mashabiki wa Arsenal mtakaa hivyo hivyo mpaka mtazeeka hakuna kitu kinaitwa ubingwa mtashihudia, save this utakuja kunishukuru baadae.
Ntu ya dili 🤣🤣🤣🤣
Bado tuna mechi moja mkononi hata kama ni dhidi ya City au timu yoyote ila bado tuna kiporo tutarudi katika ubora wetu
Jana aliubonda haswaWale wapuuzi waliolalamikia usajili wa Jorginho wako wapi? Mashabiki wa Arsenal ni watu wa ovyo sana. Jana alicheza football ya uhakika huku wale wachezaji wenu munaowamwagia radhi wakivurunda uwanjani.
Mbona unitag kwenye hii sheree 😂😂😂😂😂[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 2519391
Aisee usilinganishe Chelsea na vitu vya kijinga Green Koryo