Uzi ushavamiwa na masnitch huu![]()


Tatizo mashabiki wenu wana mdomo kama mama J.Kwaiyo mkuu unataka record ya mechi 4 tu! zilizopita sio record yao ya misimu hata mitatu nyuma Kwaiyo unataka kusema martinel ni Bora katika mechi 4 tu.Hiyo Waingereza wenyewe wanaita "early kick-off"
Mechi ya mapema haijawahi kumuacha mtu salama.
. Nakumbuka msimu wa 2016/17. Chelsea iliongoza ligi kwa mpishano wa point 2 adi tarehe 25 decemba kama sijakosea. Mechi ya tarehe 26 decemba wakalingana points na magoli na Man city.
. So hata arsenal bado ana nafasi ya kutua ubingwa
Dah hadi nyanya zinawacheka.
Nafasi kubwa Arsenal walionayo ni kucheza Europa msimu ujao.Arsenali bado wana nafasi kubwa ya kuchukua ubingwa. Nakumbuka msimu wa 2016/17. Chelsea iliongoza ligi kwa mpishano wa point 2 adi tarehe 25 decemba kama sijakosea. Mechi ya tarehe 26 decemba wakalingana points na magoli na Man city.
Watu wakasema sasa ligi inaanza upya mwisho wa siku Chelsea akawa bingwa. So hata arsenal bado ana nafasi ya kutua ubingwa
![]()
NakaziaBaada ya next five games huu uzi watu wataanza kuuchungulia kwa mbali
Msimu wa 2002/3Sasa yale mashati yenu kama waganga wa kienyeji yataanza kupungua mtaani.
Mnatakiwa kujifunza toka jukwaa la man utd,siku tukifungwa tunampa heko mpinzani,tunajikosoa na tunaendelea na safari. Lakini uku arsenal jukwaa limejaa wajuaji kumzidi hata arteta na bench zima la ufundi kisa mchezaji mmoja kukosea mara moja.
Mwaka 2003 zilibaki mechi 8 arsenal akiwa anaongoza ligi kwa point 15 dhidi ya man utd ila hadi msimu unaisha,man utd akawa bingwa wa epl. Historia huwa haidanganyi.
Lile goli la de Bruyne ni la kitoto!!! Wakati linakaribia kuingizwa kwenye goli bora la msimu. Hakuna mchezaji wa aseno angeweza kuunganisha ule mpira kwa staili ile tena kwa kutumia mguu ambao sio wake. verifaidi yuzaMagoli tuliyofungwa ni ya kitoto sana
Anyway tufocus na next match
Acha ngonjera, umepigwa tulia GrahamsBado huwezi kukata tamaa ya Ubingwa eti kisa tumefungwa na Man City, mbona na yeye aliweza kupoteza dhidi ya Spurs, Liverpool, Man Utd ambao sisi tumeweza kuwafunga?
Man City kapoteza michezo 3 sawa na Arsenal na still ametuzidi mchezo mmoja zaidi.
Kuna mdau humu, alishauri tuongeze experienced striker mmoja pale mbele kuweza kuwa challenge Man City na wapinzani wetu wengine pamoja na kupata depth ya kikosi, lakini wenye timu hawakuona umuhimu. Sisi hatukuwa na nafasi ya kufanya chochote as hakuna anayetoa hela zake mfukoni kununua wachezaji na kulipia mishahara zaidi ya wenye timu.
Bado naamini ni mapema sana kukata tamaa, fanyeni ulinganifu wa Arsenal ya mwaka jana ilipocheza michezo 22 ilikuwa na alama ngapi kulinganisha na Arsenal ya mwaka huu iliyocheza michezo 22 sasa ina alama ngapi?
Iwapo tutajipanga bado tuna nafasi ya kushinda EPL, ligi bado hii Wakuu
COYGs
Kumbe tokea 2016/17 hawajawahi kufuzu UCLArsenal hamuwezi kufika mahali mkiendelea kutegemea wachezaji wenu wa mafungu. EPL kuwa tu kwenye nafasi 4 za juu siyo kazi rahisi achilia huo ubingwa wenyewe.
Mfano mzuri ni nyie kushindwa kufuzu UCL tokea msimu 2016/17. Yani kwa miaka yote hiyo mlishindwa kikosi cha maana cha kuwaingiza top 4 tu.


hawaruhusiwi hata kuwa na uzi hapa jamii forums. Maana hawana tofauti na Crystal Palace.Aisee usilinganishe Chelsea na vitu vya kijinga Green KoryoArsenali bado wana nafasi kubwa ya kuchukua ubingwa. Nakumbuka msimu wa 2016/17. Chelsea iliongoza ligi kwa mpishano wa point 2 adi tarehe 25 decemba kama sijakosea. Mechi ya tarehe 26 decemba wakalingana points na magoli na Man city.
Watu wakasema sasa ligi inaanza upya mwisho wa siku Chelsea akawa bingwa. So hata arsenal bado ana nafasi ya kutua ubingwa
![]()