Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenali bado wana nafasi kubwa ya kuchukua ubingwa[emoji28]. Nakumbuka msimu wa 2016/17. Chelsea iliongoza ligi kwa mpishano wa point 2 adi tarehe 25 decemba kama sijakosea. Mechi ya tarehe 26 decemba wakalingana points na magoli na Man city.

Watu wakasema sasa ligi inaanza upya mwisho wa siku Chelsea akawa bingwa[emoji485]. So hata arsenal bado ana nafasi ya kutua ubingwa[emoji1666]
 
Arsenali bado wana nafasi kubwa ya kuchukua ubingwa[emoji28]. Nakumbuka msimu wa 2016/17. Chelsea iliongoza ligi kwa mpishano wa point 2 adi tarehe 25 decemba kama sijakosea. Mechi ya tarehe 26 decemba wakalingana points na magoli na Man city.

Watu wakasema sasa ligi inaanza upya mwisho wa siku Chelsea akawa bingwa[emoji485]. So hata arsenal bado ana nafasi ya kutua ubingwa[emoji1666]
Nafasi kubwa Arsenal walionayo ni kucheza Europa msimu ujao.

Nimekaa paleeeee
 
makocha wengi sna bdo kiuwezo wako chini mno kulinganisha na pep.

second half kwenye mechi ya jana ndio ilionesha jinsi alivo hatari kumsoma mpinzani.

arteta inabidi awe na systems tofauti tofauti za namna timu yake inacheza.. wapinzani washamsoma tyari mbinu yake moja anayoitumia karbia kil mechi.

tutarajie game zingine ngumu zaid uko mbeleni kama hatokubal kuwa flexible vya kutosha.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Salamaaaa
7F6C2378-CBDC-4F3D-8A60-78654F1C9C00.jpeg
 
Sasa yale mashati yenu kama waganga wa kienyeji yataanza kupungua mtaani.

Mnatakiwa kujifunza toka jukwaa la man utd,siku tukifungwa tunampa heko mpinzani,tunajikosoa na tunaendelea na safari. Lakini uku arsenal jukwaa limejaa wajuaji kumzidi hata arteta na bench zima la ufundi kisa mchezaji mmoja kukosea mara moja.

Mwaka 2003 zilibaki mechi 8 arsenal akiwa anaongoza ligi kwa point 15 dhidi ya man utd ila hadi msimu unaisha,man utd akawa bingwa wa epl. Historia huwa haidanganyi.
Msimu wa 2002/3
 
Bado huwezi kukata tamaa ya Ubingwa eti kisa tumefungwa na Man City, mbona na yeye aliweza kupoteza dhidi ya Spurs, Liverpool, Man Utd ambao sisi tumeweza kuwafunga?
Man City kapoteza michezo 3 sawa na Arsenal na still ametuzidi mchezo mmoja zaidi.

Kuna mdau humu, alishauri tuongeze experienced striker mmoja pale mbele kuweza kuwa challenge Man City na wapinzani wetu wengine pamoja na kupata depth ya kikosi, lakini wenye timu hawakuona umuhimu. Sisi hatukuwa na nafasi ya kufanya chochote as hakuna anayetoa hela zake mfukoni kununua wachezaji na kulipia mishahara zaidi ya wenye timu.

Bado naamini ni mapema sana kukata tamaa, fanyeni ulinganifu wa Arsenal ya mwaka jana ilipocheza michezo 22 ilikuwa na alama ngapi kulinganisha na Arsenal ya mwaka huu iliyocheza michezo 22 sasa ina alama ngapi?

Iwapo tutajipanga bado tuna nafasi ya kushinda EPL, ligi bado hii Wakuu[emoji123]

COYGs
Acha ngonjera, umepigwa tulia Grahams
 
Arsenal hamuwezi kufika mahali mkiendelea kutegemea wachezaji wenu wa mafungu. EPL kuwa tu kwenye nafasi 4 za juu siyo kazi rahisi achilia huo ubingwa wenyewe.

Mfano mzuri ni nyie kushindwa kufuzu UCL tokea msimu 2016/17. Yani kwa miaka yote hiyo mlishindwa kikosi cha maana cha kuwaingiza top 4 tu.
Kumbe tokea 2016/17 hawajawahi kufuzu UCL[emoji23][emoji23][emoji23] hawaruhusiwi hata kuwa na uzi hapa jamii forums. Maana hawana tofauti na Crystal Palace.
 
Arsenali bado wana nafasi kubwa ya kuchukua ubingwa[emoji28]. Nakumbuka msimu wa 2016/17. Chelsea iliongoza ligi kwa mpishano wa point 2 adi tarehe 25 decemba kama sijakosea. Mechi ya tarehe 26 decemba wakalingana points na magoli na Man city.

Watu wakasema sasa ligi inaanza upya mwisho wa siku Chelsea akawa bingwa[emoji485]. So hata arsenal bado ana nafasi ya kutua ubingwa[emoji1666]
Aisee usilinganishe Chelsea na vitu vya kijinga Green Koryo
 
acha kulialia wewe komamanga, penati yenyewe mmepewa ya mchongo alafu unaanza epl wanatuonea nyenyenye....
sie wenyewe tulipigwa goli la offside na manure ila tukatulia tu.

epl ndio walimwambia tomiyasu atoe pasi kwa kdb?

epl ndio walimwambia ramsdale adake mipira kama anadaba panzi?

Tumbili fc.
Usiwe mkali hivyo braza jana umetufunga, mbona,,
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom