Sitaki. NiueniPunguza makala kubali umekandwa
Kwanza amka unywe chai
ASENALI KAMA ZUWENA!We ni kiazi kwenye mpira. Kwenye kuandika ujinga nakubali umenizidi



Wanadai walikunywa chai kavu bila Chapati(Partey)Nyie Mbwa, nawauliza tena jana mlitimia au bado mlikuwa pungufu??
ASENALI KAMA ZUWENA!Mashabiki wa arsenyani bana.
wakiwa wanashinda unaweza ukadhani ligi inaisha kesho kutwa ila wakipigwa wanaanza kusisitiza ligi bado.



Nimesikia kuna mtu analalamikia hili🤣🤣🤣🤣🤣🤣Wanadai walikunywa chai kavu bila Chapati(Partey)
Naam!
Na badoPoor performers yesterday
- Tomiyasu
- Odegaard
- Nketiah
- Gabriel
- Martineli
- Xhaka


