Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,246
Hili nalo neno, ila hadi kwa sasa Arteta kalitupa

Hili nalo neno, ila hadi kwa sasa Arteta kalitupa

Mashabiki wa man u waga hamna akili nyie EPL hadi fergerson afeUtakua shoga toka kitambo ila unataka kujitambulisha rasmi.
Awapumzishe akina nani??Haters wamejazana hapa lakini mimi bado ninaona arsenal akibeba ubingwa. Hiki ni kipindi cha mpito na kinaelekea mwisho.
Pia ni lazima Arteta akubali kufanya mabadiliko, Saka, Odegaard, Xhaka, Martinelli, Magalhaes, Partey, White na Saliba wametumika sana, awapumzishe.
Sasa ni wakati wa kuwaweka akina kiwior, nelson, esr, kt, tomiyasu, cedric, trossad, jorginho na vieira kuanza kwenye game zijazo.
Afundishe kupiga nje ya box na kuanzisha mfumo wa kuweza kupiga counterattack. Mfumo wa sasa kuingia mpaka ndani ya box umeshafeli.
Mashabiki wa arsenal mlioanza kutukana mnaonyesha ukosefu wa ukomavu na kutoufahamu mpira vizuri.
Good days are coming.![]()
Mechi 8Sasa yale mashati yenu kama waganga wa kienyeji yataanza kupungua mtaani.
Mnatakiwa kujifunza toka jukwaa la man utd,siku tukifungwa tunampa heko mpinzani,tunajikosoa na tunaendelea na safari. Lakini uku arsenal jukwaa limejaa wajuaji kumzidi hata arteta na bench zima la ufundi kisa mchezaji mmoja kukosea mara moja.
Mwaka 2003 zilibaki mechi 8 arsenal akiwa anaongoza ligi kwa point 15 dhidi ya man utd ila hadi msimu unaisha,man utd akawa bingwa wa epl. Historia huwa haidanganyi.

We're still title contenders mkuu, wala usihofu coz project haijaisha na bado tuna nafasi nzuri kuchukua ubingwa.Arsenal haitakaa itokee iwe title contender never ever never ever