Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

mmebahatisha na kubebwa kwenu...

Ila aaaaa.....hongereni bana...mmetuongeza machungu ya kumtafuna Chelski jumapili...

Soka sucks stms...
 
sasa tunasubiri mechi ya j2 kati yao na blues.....kimbembe

Itakuwa poa sana kama Chelsea watacheza kwa kujituma sana na kuwaadhiri MANU pale nyumbani kwao Old Trafford, hata wakishinda kwa bao 1 watauchukua usukani wa EPL maana wao wana idadi kubwa ya magoli ya kufunga ukilinganisha na na MANU.

Haters where are you today? 🙂

 
Watani hongereni, you deserved the win maana we didn't show up.. Kama nilivyosema jana kwenye thread ya Man Utd I was wary of this game considering all the 3 UCL semi finalists lost their domestic games.

Again hongereni sana kwa ushind na kufungua title wide open.
 
mmebahatisha na kubebwa kwenu...

Ila aaaaa.....hongereni bana...mmetuongeza machungu ya kumtafuna Chelski jumapili...

Soka sucks stms...

ha ha ha ha....loosing sucks! go away Manda....its time to celebrate :smile-big:
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Watoto wa Wenger wa ajabu sana mechi zote mngekuwa mnajituma na kucheza kwa makini si tungekuwa mbali saa hizi.

Nami nilikuwa nafikiria hicho, kama tungeshinda mechi ambazo tulitakiwa tushinde leo hii tungekuwa tunaongea mengine
 
Watani hongereni, you deserved the win maana we didn't show up.. Kama nilivyosema jana kwenye thread ya Man Utd I was wary of this game considering all the 3 UCL semi finalists lost their domestic games.

Again hongereni sana kwa ushind na kufungua title wide open.

Ahsante sana Mkuu leo wana GUNNERS tunakenua baada ya muda mrefu wa kununa kutokana na matokeo ambayo hatukuyatarajia
 
Yaani 2lifanya kosa juzi 2ngekuwa mbali. Bahati yake Wenger leo ange2muliwa!
 
mmebahatisha na kubebwa kwenu...

Ila aaaaa.....hongereni bana...mmetuongeza machungu ya kumtafuna Chelski jumapili...

Soka sucks stms...

Ulikuwa haujui eeeeee...

Mmezoe vya kunyonga,vya kuchinja vyawashinda.....

Na Chelsea lazima awalambe Jumapili ijayo.......

Mnaongea sana tatizo lenu,hasa wewe na mwenzio Mfarisayo
 
Yaani mimi tukiwafunga Man UTD naona kama tumechukuwa EPL... BUT still wenger !! afanye marekebisho kikosi kile..>> hakawii kusema tume improve we dont need to spend .. game ya leo difence imejitahidi kidogo + kipa pia!. hongera gooners !!!
 
Itakuwa poa sana kama Chelsea watacheza kwa kujituma sana na kuwaadhiri MANU pale nyumbani kwao Old Trafford, hata wakishinda kwa bao 1 watauchukua usukani wa EPL maana wao wana idadi kubwa ya magoli ya kufunga ukilinganisha na na MANU.

Haters where are you today? 🙂

nawaombea wote watoe draw mechi zao zilizobaki.
 
mmebahatisha na kubebwa kwenu...

Ila aaaaa.....hongereni bana...mmetuongeza machungu ya kumtafuna Chelski jumapili...

Soka sucks stms...

Mhhhhhh! Manda! asiyekubali kushindwa.....!...Nenda kalale utaota ndoto kwamba mmetufunga lol! Pole sana Mkuu bado ubingwa uko katika hati hati unaweza ukawateleza dakika za mwisho na mkamaliza msimu mikono mitupu...🙂
 
Kisaikoloji Arsenal tumerudi mahala pake! Nampongeza Wenger amerejesha morali!!! Viva Arsenaal!!!!!!!
 
Duh,Bala ulipotea....good to have you back today....its time to celebrate!:smile-big:

Nipo my dia.......Naona kama wewe ndo ulipotea hasa katika zile game za Liver na Spurs.......Sikukuona kabisa

Kushinda raha aisee,ushindi wa leo umenifanya kwa mbaaali nisahau maumivu niliyosababishiwa na Arsenal msimu huu
 
Asante sana, leo tumekusaidia kukuletea maiti yako nyumbani lakini pole sana hatutaweza kushiriki kwenye msiba loool.

Aah bwana, imeshakuwa ishu...ila next mechi lazima muipoteze, sijui kwanini nahisi hivi...ha ha
acha nimalizie msiba, wewe endelea na sherehe huko...naona umefurahi kweli kweli...
 
  • Thanks
Reactions: BAK
kudoz the gunners!!..You deserved it today...atleast kocha AW nae kafarijika!!....

Ndo maana miye nakupenda maana wewe ni mpenzi wa kweli kabisa ambaye siku zote hata kama mtafungwa utatoa pongezi kwa roho nyeupe kabisa. Ahsante sana BJ na poleni kwa kipigo cha leo ambacho kimepunguza kwa kiasi fulani matarajio yenu ya ubingwa.
 
Back
Top Bottom