Little brain
JF-Expert Member
- Oct 31, 2020
- 4,395
- 6,553
Naleo wapo na City.Hili genge limeanza kukata moto
Muhujumiwe na nani nyie vibwengo!Tunahujumiwa bro
Naleo wapo na City.
Mbona kazi wanayo.


mpaka jukwaa lao wamelikimbia kabla hata ya mechi. Labda mushinde na njaa, lakini sio kumfunga City.Kesho Ushindi ni lazima ilibturudi katika hali ya kujiamini
Aseno kumfunga city ni ndoto za mlevi wa gongo mbichiKikosi cha leo ni kile kile na Man City anakufa vizuri tu goli 3-1


Mtakuja nakauli zengine tena nyie manureLabda mushinde na njaa, lakini sio kumfunga City.
Kijana umeongea maneno ya kufuru sana, nakushauri ufanye toba kwanza kabla ya kuandika comment nyingine.Arsenal atamaliza ligi akiwa na point 92.. atapoteza mechi nne na kutoka sare mechi tano. Mpaka sasa ameshapoteza mbili na sare tatu. Amebakisha sare mbili na kupoteza mbili.
Sasa kama kuna timu itaweza kuzidi hizo point basi itapewa ubingwa. Timu zinazoweza kusababisha arsenal akafungwa au sare ni Man City ugenini, fulham na liverpool zote za ugenini na brighton nyumbani.
Mashabiki wa arsenal waendelee kutembea kifua mbele.
Yani wewe hujionagi km huna akili, obsession yako kwa Arsenal imevuka mipaka, toka msimu umeanza unandika ngojera zako lakini hujifunzi, City atafungwa leo kesho utaandika ngonjera tena, tushakuzoea km mwanamke vile.Leo ndio ile siku ya Arsenyani kuvua koti rasmi na kuanza kupambania kubaki kwenye top4.
Ederson
Kyle Walker , Ruben Diaz, Aymeric Laporte
Bernado Silver, Kevin De Bruyne, Rodry, Ilkay Gundogan
Erling Haaland, Riyad Mahrez, Jack Grealish,
Substitutes:
Julian Alvarez, Phil Foden, Cole Palmer, Nathan Ake, Manuel Akanji, Sergio Gomez, Kalvin Phillips, na Rico Lewis
Nyie Kima leo mmekoswakoswa sana basi mmegongwa goli 3, tokea jana unaambiwa Haaland amegoma kula anashindia juice ya tende na Alkasus Mujarrab.
Arsenal Kondoo
Haaland Kiatu
View attachment 2518079
Leo city apigwe ili kulinda heshima ya mashabiki wa Arsenal na club kwa ujumla, watoto wameanza kulopokwa, wanajisahau sn. We must protect our dignity.Kikosi cha leo ni kile kile na Man City anakufa vizuri tu goli 3-1

Sema city katupiga vipigo aiseee,, kuna mda tunabisha tu kwa sababu ya ushabiki.


Tatizo ni kocha..Smith inabidi aanze na trossad kule mbele teta awaamini tu
Kauli ni hiyo hiyo tu.Mtakuja nakauli zengine tena nyie manure