ARV
JF-Expert Member
- Sep 6, 2011
- 5,527
- 7,923
Mnataka ushindi kwa VAR!!Naona chama Cha marefa kimekiri kuwa wametufanyia umafia sana na kutudhulumu points Kwa VAR

. Funga goli za uhakika kama Garnacho hakuna haja ya VAR.Mnataka ushindi kwa VAR!!Naona chama Cha marefa kimekiri kuwa wametufanyia umafia sana na kutudhulumu points Kwa VAR

. Funga goli za uhakika kama Garnacho hakuna haja ya VAR.Mmeanza kulialia mnataka point za mezani!!!Ingekua Tz TFF wangekua washarudisha points ila kwa Uingereza hiyo ndiyo basi tena





Kuna mchezaji wa Sparta kajitangaza ni shogaMmeanza kulialia mnataka point za mezani!!!![]()
Bado tu ødegard kujitangazaKuna mchezaji wa Sparta kajitangaza ni shoga
Ulishammega Odegaard? Au amewahi kukutaka?Bado tu ødegard kujitangaza
View attachment 2516446

Mkuu kwani odegaard anapelekewa moto?Bado tu ødegard kujitangaza
View attachment 2516446
Nini alikua anafanya huyu?View attachment 2516479
Wanasubili watufunge ndio waje kuandika paragraph humuUzi hautembei tena majitu yamejificha kwenye mashimo. Why do I smell fear among the individuals of this thread?
yani mnaongoza kwa pints 3 na mchezo mkononi lakini mmekaa kinyonge hivyo?




They are bunch of cowards wanaoshangilia matokeo tu timu ikianza kuyumba yanajificha kwenye shamba la karanga🤣 yaani yanaongoza point 3 na mechi mkononi ila hayajiamini kuna yule Mjapan wa "Arsenal ndoo" "Haaland kiatu" naye haonekani🤣🤣🤣 hamna kitu hapa wapigwe tu🤣🤣🤣Wanasubili watufunge ndio waje kuandika paragraph humu![]()
Uzi wenu hata watu wa kuutembelea hawapo mnakesha kwenye nyuzi za watuWanasubili watufunge ndio waje kuandika paragraph humu![]()