Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Kuna mchezaji wa Sparta kajitangaza ni shoga
Bado tu ødegard kujitangaza
IMG-20230213-WA0232.jpg
 
Maombi mengi toka kwenu yanahitajika sana Ndugu zangu, tayari tumeshapoteza Dume lingine likiungana na punga lenzake lililojutangaza J3 wiki hii.

Mungu twakusihi utuokoe na hili pepo chafu la ushoga sisi na Watoto wetu, Amina
Screenshot_2023-02-13-23-31-39-30_57c112598cf4b19b960b8407611f6342.jpg
Screenshot_2023-02-13-23-32-25-47_57c112598cf4b19b960b8407611f6342.jpg
Screenshot_2023-02-13-23-32-35-30_57c112598cf4b19b960b8407611f6342.jpg


Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Wanasubili watufunge ndio waje kuandika paragraph humu
They are bunch of cowards wanaoshangilia matokeo tu timu ikianza kuyumba yanajificha kwenye shamba la karanga🤣 yaani yanaongoza point 3 na mechi mkononi ila hayajiamini kuna yule Mjapan wa "Arsenal ndoo" "Haaland kiatu" naye haonekani🤣🤣🤣 hamna kitu hapa wapigwe tu🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom