Na ni jamaa yule yule aliyetupora goli la Martinelli vs Manyumbu. Huenda ana suala lake dhidi yetuMechi yetu dhidi ya Brentford maofisa wa VAR walisahau kuchora mistari hivyo ikapelekea lile goli lisionekane ni off side.
Ingekua Tz TFF wangekua washarudisha points ila kwa Uingereza hiyo ndiyo basi tenaNa ni jamaa yule yule aliyetupora goli la Martinelli vs Manyumbu. Huenda ana suala lake dhidi yetu
Na wanajua ndiyo maana wanafanya makusudi. Wako corrupt na inept sana Hawa watuIngekua Tz TFF wangekua washarudisha points ila kwa Uingereza hiyo ndiyo basi tena
Hata Ulaya figisu za TFF bin tifua tifua zipo.Mechi yetu dhidi ya Brentford maofisa wa VAR walisahau kuchora mistari hivyo ikapelekea lile goli lisionekane ni off side.
Muone huyu naye, kama lile goal dhidi ya Man unitedMechi yetu dhidi ya Brentford maofisa wa VAR walisahau kuchora mistari hivyo ikapelekea lile goli lisionekane ni off side.
Ivi ndo kusema Arsenal tumeshuka kiwango au ndo tunakutana na wapinzan wagumu?Mechi yetu dhidi ya Brentford maofisa wa VAR walisahau kuchora mistari hivyo ikapelekea lile goli lisionekane ni off side.
Yaani ni shida juu ya shida.Ivi ndo kusema Arsenal tumeshuka kiwango au ndo tunakutana na wapinzan wagumu?
Tunahujumiwa broIvi ndo kusema Arsenal tumeshuka kiwango au ndo tunakutana na wapinzan wagumu?
Na siku ile ya Manure alimzawadia goli Martinez.Huyu Ramsdale nae ana papara sana. Ajifunze basi hata kutoka kwa kipa wa Liverpool. Huyu jamaa nae amesahaulika tu ila ni mtu mwenye papara sana na anatugharimu sana.
Pamoja na kufungwa na Brentford hilo goli la offside lakini kipa mwenye mahesabu mazuri hauwezi kutoka tu golini bila kua na uhakika kama ule mpira utaukamata au lah. Alitakiwa akitoka awe na uhakika wa kukamata mpira au kutoa nje na sio kutoka kama alivyotoka yeye kizombi zombie
Jumatano Arteta na Kima zake zinaenda kutema ndoano, baada ya hapo ni kuandaa tu popcorn huku tunazicheki kima za humu ndani zinavyotukanana zenyewe kwa zenyeweMshaanza kulilia VAR, mngeshinda basi goli mbili ili na hilo la VAR iishe mbili moja. Mnatafuta huruma za VAR vilaza nyie, mkimaliza nafasi y tatu mniite mbwa. Nimekaa pale.
#Ass anal simtenk
#Halland kiatu



Uongoze league for almost season nzima kisha utolewe top kirahisi ,itakuwa ni upumbavu mkubwa




Yule kipa wa marekani yupo vizuri akiboresha footwork Ramsdale anamtoa goliniHuyu Ramsdale nae ana papara sana. Ajifunze basi hata kutoka kwa kipa wa Liverpool. Huyu jamaa nae amesahaulika tu ila ni mtu mwenye papara sana na anatugharimu sana.
Pamoja na kufungwa na Brentford hilo goli la offside lakini kipa mwenye mahesabu mazuri hauwezi kutoka tu golini bila kua na uhakika kama ule mpira utaukamata au lah. Alitakiwa akitoka awe na uhakika wa kukamata mpira au kutoa nje na sio kutoka kama alivyotoka yeye kizombi zombie
Mechi yetu dhidi ya Brentford maofisa wa VAR walisahau kuchora mistari hivyo ikapelekea lile goli lisionekane ni off side.
Yule ni kipa mzuri tu hata footwork yake ni ya hali ya juu sana, mechi zote za marekani kombe la dunia footwork yake ilikua nzuri na ya ubora wa hali ya juu sana,, hata mechi za EUROPA kacheza vzr mno, Arteta hua hana mchezaj wa kudumu kama hafanyi kazi yake ipasavyo, kama ataendlea na anachokifanya tutalajie mabadiliko tu,Yule kipa wa marekani yupo vizuri akiboresha footwork Ramsdale anamtoa golini