synthesizere
JF-Expert Member
- Dec 22, 2019
- 882
- 1,264
Hua nakereka sana mchezaji yupo sehemu ya kushoot nje ya box anafosi kupiga penetration passKocha ameshasomwa na kueleweka kwa wapinzani. Suluhisho sasa ni kurotate wachezaji, afundishe kupiga nje ya box na kuanzisha mfumo wa kuweza kupiga counterattack inapobidi.
Kinyume na hapo tunaweza kuanza kukimbiana hapa kwenye uzi.
Some games inabidi tuwin even with ugly football la muhimu point tatu

PGMOL statement