Yani wewe hujionagi km huna akili, obsession yako kwa Arsenal imevuka mipaka, toka msimu umeanza unandika ngojera zako lakini hujifunzi, City atafungwa leo kesho utaandika ngonjera tena, tushakuzoea km mwanamke vile.


Arsenyonyo kumfunga City labda Pep aamue tu kumpa Arteta ushindi wa hisani kama vile alivyoamua kuwapa wachezaji wa hisani walau na nyinyi mpate nafasi ya kucheza Uefa msimu ujao baada kukosa kushiriki kwa takriban miaka 10.Hebu soma vizuriView attachment 2518023
Naona mnateteana.
Kushambulia na kuzuia unamaanisha tutumie mfumo huu?With 4 2 3 1 against City we have a chance.
We nyumbujike Unapita na kanga moja imelowana maji kwa wanaume hapa,unachokitaka utakipata soonArsenyonyo kumfunga City labda Pep aamue tu kumpa Arteta ushindi wa hisani kama vile alivyoamua kuwapa wachezaji wa hisani walau na nyinyi mpate nafasi ya kucheza Uefa msimu ujao baada kukosa kushiriki kwa takriban miaka 10.View attachment 2518296
Huo ndiyo mfumo pekee ungetugea matokeo againsta City, Everton na Brentford na leo tukiutumia we have a chanceKushambulia na kuzuia unamaanisha tutumie mfumo huu?
Unatia aibu hata comment iliyoeditiwa huijui we pimbi?
Mechi mnazomuwekea Nketia Matumaini hua haziwez ila mechi ambazo kila mmja anaona hapaswi kuanza ndo hua mkombozi wetu, na hili litajirudia kesho.


false hope za Nketiah zinafanya kazi.. huyu mchezaji hatakiwi kuwepo arsenal. Hata Nottingham forest hawezi kuanza first elevenTulisema humu ndani kuwa ukiondoa majeruh smith ni mzuri kuliko odegard sijui arteta alilewa nini kumpa ukapten yule dogo
Duh hawa kwa City kweli ViandeHii ndo maana halisi ya kibonde Sasa.View attachment 2518273
Kwanini chance ni ndogo bruv? can you describe it technically?Sema city katupiga vipigo aiseee,, kuna mda tunabisha tu kwa sababu ya ushabiki.
Ila chance yetu ndogo sana,, ya kumpiga kuliko kupigwa
Rekodi ziliwekwa ili zivunjwe,leo lazima city akaeHii ndo maana halisi ya kibonde Sasa.View attachment 2518273




kwa vile tupo nyumbaniNa kwanini upange two DMs wakati unacheza dhidi ya low block teams i.e Everton & Brentford? Newcastle, Everton, Brentford walikuja na tactic inayofanana, 5 midfielders kublock penetration BTL, block central fluidity cuz Xhaka na Ø wanapata ugumu kureceive in BTL unless washuke chini, pia tactic inayotumiwa na wapinzani now ni kudouble mark our wide players Saka & Martinelli, timu chache za mid table zinazoweza Ku implement hizi mbinu kwenye ligi, mostly Brentford, Everton,Newcastle maybe Fulham wapo tactically & physically fit.Huo ndiyo mfumo pekee ungetugea matokeo againsta City, Everton na Brentford na leo tukiutumia we have a chance