Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Hii ndo maana halisi ya kibonde Sasa.
1676402760623.jpg
 
Yani wewe hujionagi km huna akili, obsession yako kwa Arsenal imevuka mipaka, toka msimu umeanza unandika ngojera zako lakini hujifunzi, City atafungwa leo kesho utaandika ngonjera tena, tushakuzoea km mwanamke vile.
Arsenyonyo kumfunga City labda Pep aamue tu kumpa Arteta ushindi wa hisani kama vile alivyoamua kuwapa wachezaji wa hisani walau na nyinyi mpate nafasi ya kucheza Uefa msimu ujao baada kukosa kushiriki kwa takriban miaka 10.
Screenshot_20230215_123719.jpg
 
Arsenyonyo kumfunga City labda Pep aamue tu kumpa Arteta ushindi wa hisani kama vile alivyoamua kuwapa wachezaji wa hisani walau na nyinyi mpate nafasi ya kucheza Uefa msimu ujao baada kukosa kushiriki kwa takriban miaka 10.View attachment 2518296
We nyumbujike Unapita na kanga moja imelowana maji kwa wanaume hapa,unachokitaka utakipata soon
 
Mechi mnazomuwekea Nketia Matumaini hua haziwez ila mechi ambazo kila mmja anaona hapaswi kuanza ndo hua mkombozi wetu, na hili litajirudia kesho.

false hope za Nketiah zinafanya kazi.. huyu mchezaji hatakiwi kuwepo arsenal. Hata Nottingham forest hawezi kuanza first eleven
 
Tulisema humu ndani kuwa ukiondoa majeruh smith ni mzuri kuliko odegard sijui arteta alilewa nini kumpa ukapten yule dogo

Wewe kama unaona smith ni mzuriii kuliko odegard basi mpira hujuiii au kazi ya odegard huionii, anza kufuatilia mpira vizuriii. Smith yuko poa kwenye finishing ila odegard ana offer vitu vingi sana uwanjani , nimesikitika kweli kumfananisha odegard na smith
 
Sema city katupiga vipigo aiseee,, kuna mda tunabisha tu kwa sababu ya ushabiki.

Ila chance yetu ndogo sana,, ya kumpiga kuliko kupigwa
Kwanini chance ni ndogo bruv? can you describe it technically?
 
Man City timu imechoka inawazazee eneo muhimu la katikati la uwanja Debruyne na Gundogan hawawezi kutoa energy kwa dakika 90 Arsenal tunavijana wwnye nguvu wanaokupa workrate kubwa pressing kuanzia kwa Nketiah,Saka,Martinelli odegard ichi kitu uwezi ukakiona kwa Haaland akikifanya,Mahrez akikifanya Debruyne Gundogan kukifanya kwa dakika 90 tumeona mechi na Villa walivyokua wanadai chenji,Eneo letu la kujilinda Arsenal linashida sikuhizi kutokana na poor movement za Ramsadale na mawasiliano na beki zake ila City wana matatizo zaidi magoli mawili first league na second league dhidi ya Spurs walivyofanyiwa pressing wamechoma Ederson na Rodrigo wamechoma,Kinachotakiwa Arsenal nikuitaka mechi tuu City hawawezi kuzuia kasi yetu hata kidogo labda watapunguza muda wa kufungwa na idadi ya magoli hivi wale wapigiwe msako kama aliopigiwa ndugu zao Manure watatoka salama manure embu saidieni kujibu hilo swali mkikumbuka ule msako!
 
Huo ndiyo mfumo pekee ungetugea matokeo againsta City, Everton na Brentford na leo tukiutumia we have a chance
Na kwanini upange two DMs wakati unacheza dhidi ya low block teams i.e Everton & Brentford? Newcastle, Everton, Brentford walikuja na tactic inayofanana, 5 midfielders kublock penetration BTL, block central fluidity cuz Xhaka na Ø wanapata ugumu kureceive in BTL unless washuke chini, pia tactic inayotumiwa na wapinzani now ni kudouble mark our wide players Saka & Martinelli, timu chache za mid table zinazoweza Ku implement hizi mbinu kwenye ligi, mostly Brentford, Everton,Newcastle maybe Fulham wapo tactically & physically fit.

Game dhidi ta Brentford tuliona Arteta akiwa na solution ya hizi mambo, Saka & Martinelli wanaingia zaidi kwenye half space kutoka kwenye wide area ili kuachia space kwa FBs na kuruhusu overlapping movements za full backs wetu, na ingefaa sana kwenye aina hii ya mechi kuwa na traditional FB km Tierney / Livramento/ Frasneda.
 
Back
Top Bottom