Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Nimekuja kugundua Pep alikua analiwa maji taka na Arteta wakati wapo City. Anajaribu kumkingia kifua bwana ake msengenywaji yule, kulikua na ulazima gan De brune kuanzia bench, na yule takataka Grilish kumaliza dk.90
Cry
20230204_090020.jpg
 
Nimekuja kugundua Pep alikua analiwa maji taka na Arteta wakati wapo City. Anajaribu kumkingia kifua bwana ake msengenywaji yule, kulikua na ulazima gan De brune kuanzia bench, na yule takataka Grilish kumaliza dk.90
Kwa hiyo unataka kutuambia una akili kumliko Guardiola? Mbona KDB ameingizwa dakika ya 60, dakika 45 zilitosha yeye kuleta mabadiliko mliyoyataka
 
Endelea kuota
Unajua akili za anayeota huwa anaona watu wengine wote ndio wanaoota sio yeye. Played 21 bado wako points 8 nyuma. Lost mechi 5 already, kiilivyo huwezi kupata ubingwa kwa kupoteza mechi 5 mkuu na bado kuna mechi za Europa ambazo zitawatibua form, bado watapoteza mechi katika ligi, so endelea kuota. Miujiza hutokea!
 
Unajua akili za anayeota huwa anaona watu wengine wote ndio wanaoota sio yeye. Played 21 bado wako points 8 nyuma. Lost mechi 5 already, kiilivyo huwezi kupata ubingwa kwa kupoteza mechi 5 mkuu na bado kuna mechi za Europa ambazo zitawatibua form, bado watapoteza mechi katika ligi, so endelea kuota. Miujiza hutokea!
Hawana akili hao
 
Katika wachezaji ambao nikiwaangalia naamini walipaswa kuimbwa sana, ila kwa sababu kadhaa hawapewi sifa hizo..
Mmoja wao ni son, mkorea huyu anajua saana boli.. Pale EPL anacheza timu yoyote ile, tena kikosi cha kwanza.
Ila ndio hivyo Tena yupo Tottenham, umri ushasogea, atasahaulika mapema au utokuimbwa inavyopaswa akistafu.
 
Back
Top Bottom