Eddo Sambai
JF-Expert Member
- Aug 1, 2013
- 2,412
- 1,928
Ila Arsenal amejitaidi sana msimu huu sababu bado anaongoza ligi mpaka sasa. Nadhani Arsenal ananafasi ya kumaliza nafasi ya tatu
I've already mark..! ila Naomba unipe top four yako ambayo itakuwa haina ArsenalMark my word
Asernal anamaliza nje ya top four
CityI've already mark..! ila Naomba unipe top four yako ambayo itakuwa haina Arsenal

Sawa Babalevo naheshimu list yako ila kwakuwa hujaulizwa wewe acha niendelee kusubiri Top four ya alieulizwaCity
United
Newcastle
Tottenham
Trophyless FC![]()



Arsenal haiwezi kupoteza kwa hi Liverpool inayochechemea mkuu.Gooners! Kitambo sijatembelea hapa, sababu naona kuna chuki na utoto mwingi na sio ushabiki, wale mashabiki tulioanza kitambo wanaoelewa mpira na ushabiki wametulia, hivi sasa wamejaa wale walianza kujua kutumia mitandao miaka ya hivi karibuni kwa madhumuni ya kiki (TROLLS).
Anyway, tunaoelewa mambo ya ligi tunajua ligi huwa ni marathon na sio a sprinting competition, kuna siku mbaya ofisini lazima zitakuwepo, take my words, Arsenal will be the EPL champion msimu huu. Na jana sio kwamba timu imecheza vibaya ni matokeo tu, ni timu chache zinaweza kupata matokeo dhidi yetu naweza sema ni Newcastle at St. James park, City at Etihad, Liverpool at Anfield. so far tumepoteza 2 na wao City wamepoteza 3 games tayari , na performance wise Arsenal ni 2nd kwenye magoli ya kufunga, nyuma ya City tu, na defense yetu ni nzuri tumeruhusu magoli machache only Newcastle conceded less than us. Na wao City wana mechi ngumu za away at Brighton, at the Emirates na pale Brentford community ground, katika hizo sehemu sio rahisi City kushinda, naweza sema watapoteza mechi si chini ya 4 zaidi na bado wana tricky games dhidi ya Liverpool na Chelsea wakati Arsenal kuna uwezekano kupoteza labda mechi 2 zaidi hizi za away either pale Etihad/Anfield ama labda at St. James park. Anyway tuangalie leo City kama kweli watashinda pale Spurs stadium. #upthegunners!
Tot leo wamebana space, wachezaji wapo karibu karibuJust checking your reactions in respect of City’s performance
city kapigwa mkuu, hatujaharibu kituArsenal
Arsenal haiwezi kupoteza kwa hi Liverpool inayochechemea mkuu.
Mimi nachojua mechi ngumu kwetu ni ya Newcastle at St James Park( hii tutatoka draw) na Man City at Etihad ( hi tunaweza tu
Ongeeeni ila ubingwa sahauni.
Ubingwa wanachukua Manchester United.Arsenal akidondosha points Manchester city anadondosha pia ila Manchester city akidondosha Arsenal hadondoshi. Tukutane May
Endelea kuotaUbingwa wanachukua Manchester United.
Mitume wa mchongo kisa katoa utabiri Kuna watu wametoa utabiri mpaka wa UEfaUbingwa wanachukua Manchester United.