Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

On majinga haya..yani classy ya Jorginho unalinganisha na huyo mrugaruga?? Huyu bingwa wa ECL unamlinganisha na huyo hajawahi kushinda chochote toka dunia imeumbwa.
Hizi ndio shida za kufatilia mpira umesha zeeka. Wala sikushangai kwa ulicho kiandika. Kukariri kwingi
 
Lengo letu msimu huu ni kushinda ligi, Spurs wana kauli mbiu yao wanasema "To dare is to do" so let's go again tomorrow. #Coys.
Pumbaf ,wakichukua ubingwa muwe nyie ? , Umelogwa wewe ,Mkuchika ubingwa naharisha Tanzania mpaka Dubai
 
Kumkosa Caicedo ilikuwa ni set back kubwa kuliko Mudryk, guess what tungempata Caicedo basi nxt season tungeweka priority ya kumsajili Declan Rice. So midfield yetu ingekuwa na Rice X caicedo. Hii ni dawa ya mitishamba kwa wajinga km Sean Dyche wanaotegemea physical game, low block & set pices. Caicedo X Rice nawapenda cuz wanacheza very clean game, don't misplace passes, don't dispossess, they win duels, they're so secured technically.
Declan lazima uweke pound 100 Kwa sasa Chelsea na city ndio wanaweza kufanya Hilo kwa midfield
 
Mwamba ENZO huonekani kwenye jukwaa letu watu wanakuulizia huko maana rafiki yako lembu wamempa uwenyekiti una Maoni gani
mnampaje uwenyekit mtu mwenye 0 IQ ya mpira, anachojua ni kucopy na kupaste kutoka kwnye page zingine, Lembua na yule mpuuzi mwingine Southern Highland hawajui chochote kuhusu mpira.

#Arse anal ndoo y chooni
#Halland kiatu
 
Uzuri ni kwamba hata wengine watapoteza points tu, the title is ours to lose!!

COYG!!
Jojinyo kaja na matokeo yake mfukoni kutoka chelsea.
Mkiachana na mechi 2 zinazofata za kutema ndoano dhidi ya Brentford na Man City fixture yenu ya mwisho wa ligi imekaa kiEuropa Europa msimu unaofata.
Asenyo endeleeni kula mtori, nyama mtakutana nazo mwisho wa April na mwanzo wa May.
Screenshot_20230205_102856.jpg
 
mnampaje uwenyekit mtu mwenye 0 IQ ya mpira, anachojua ni kucopy na kupaste kutoka kwnye page zingine, Lembua na yule mpuuzi mwingine Southern Highland hawajui chochote kuhusu mpira.

#Arse anal ndoo y chooni
#Halland kiatu
Ukitaka kuamini ile kauli ya "sio kila mzee ana busara maana kuna wapumbavu wanazeeka" basi fuatilia comments za uyu jamaa
 
Arsenal tushakubali kwamba Jana mechi ilitushinda kiujumla.
Hakuna kitu kingine tulichowazidi Everton tofauti na ball possession.

Midfield yetu Jana haikuwa imetulia Kama siku zingine za awali,pia we had very poor finishings huko mbele.

Bt mechi zinazofuata tutahakikisha tunachukua points zote tatu.
Msimu huu hatutapoteza mechi hata Moja tukiwa nyumbani.
 
Wengi humu mashabiki matokeo. Ingekuwa timu imeshinda jana kungekuwa na comments nyingi sana kuhusu uchambuzi wa mpira wapi mlipatia na wapi mlikosea.
Jukwa limetulia utadhani timu imefiwa na mdhamini mkuu.

Ni kwamba timu kubwa za manchester (city and united) zilitetereka kidogo mwanzoni mwa msimu mkadhani mnayo nafasi ya kunyanyua kwapa May.
Erik is cooking goners'
 
Back
Top Bottom