The Gunners
JF-Expert Member
- Sep 27, 2014
- 220
- 438
Kinachoweza mkuta Manchester city kama itathibitika ndivyo
Kwa nini wapunguziwe ?Je wakipunguziwa points hao City, si itatufanya tubweteke?
itathibitika kafanya nini sasa mbna taarifa zipo nusuKinachoweza mkuta Manchester city kama itathibitika ndivyoView attachment 2508533
Nimeuliza tu ikiwa yakiwakuta kama ya Juventus waliokatwa pointi kwa kukutwa na hatia ya kukiuka FFP.Kwa nini wapunguziwe ?
Hatoonekana hadi timu ishindeAaron Arsenal hajapata simu bado? Naona jukwaa halina taarifa hili ni shobo tu za flano na genge lake.
Acha maneno bana, mwamba kaibiwa sim.Hatoonekana hadi timu ishinde
Adhabu ziko tatuKuna hatari ya City kupunguziwa points?
Mkuu karibu sana naona umekuja na ID mpya ujapata simu tu.Kinachoweza mkuta Manchester city kama itathibitika ndivyoView attachment 2508533
Anthony Taylor appointed the referee for Arsenal - Man City game at the EmiratesAnthony Taylor appointed the referee for Arsenal - Man City game at the EmiratesView attachment 2508842
Anatoa kadi huyo si mchezo.Huyu uwa tuna bahati naye
Jibu zuri sana hili.Mngeenda nyie kumnunua
Kwa vipi mkuu, fafanua.Arsenal kinachowapoza ni kiburi😅😅😅😅