Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Umezoea kuongea upupu aliyeuliza swali anafahamu maana yake, Wacha kuruka ruka kama kunguru. Khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee


Wengine chijui walikimbia umande? Khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee hawawezi hata kusoma data!


Utakuwa mmoja wao kati ya waliokimbia umande. You're absolutely poor at data interpretation. Mwanzo kabisa ulikuja na conclusion kwamba Arsenal defence ni better kuliko ManUnited. The obvious indicators for the best defence ni total number of the goals conceded, ambapo ManU wana 32 na Arsenal 36. Baada ya kuona umechemka umejaribu kupick only the away stats ili kutudanganya, lakini hauko smart kama unavyofikiri, stats ulizoweka ni kabla ya mechi ya leo, lakini baada ya mechi ya leo Arsenal na ManU wote wamefungwa magoli 23 away, lakini ManU ana rekodi nzuri nyumbani hivyo overall wana defence nzuri kuliko Arsenal....FACT....Unless kama unaweza kuchakachua FACTS kama ndugu zako wa ccm.
 
Mkuu ukiangalia statistics Arsenal wana defence nzuri kuliko Manure sasa hapa sijui unaongea nini? Data zipo kaangalie, you guys mnaangalia haya mambo kijuu juu sana bila kufanya tathmini kiundani unless hufahamu what is happening within the football game.

Ulisema hivi.....

Mkuu check away stats hapo najua kuna wanoko hawapendi lakini huo ndio ukweli.



http://info.nowgoal.com/football/en/score/2010-2011/36.htm
Ukaja kujibu hvo.....

Mkuu piga kimya tu....tunakuheshimu sana sisi wenzako.

BTW Wasaalam Mbu.
 
Mkuu ukiangalia statistics Arsenal wana defence nzuri kuliko Manure sasa hapa sijui unaongea nini? Data zipo kaangalie, you guys mnaangalia haya mambo kijuu juu sana bila kufanya tathmini kiundani unless hufahamu what is happening within the football game.

Ulisema hivi.....


Ukaja kujibu hvo.....

Mkuu piga kimya tu....tunakuheshimu sana sisi wenzako.

BTW Wasaalam Mbu.



Jamaa kaamua kuongopa mchana kweupe!! Hana tofauti na "Dr." Kikwete!
 
Mkuu ukiangalia statistics Arsenal wana defence nzuri kuliko Manure sasa hapa sijui unaongea nini? Data zipo kaangalie, you guys mnaangalia haya mambo kijuu juu sana bila kufanya tathmini kiundani unless hufahamu what is happening within the football game.

Ulisema hivi.....


Ukaja kujibu hvo.....

Mkuu piga kimya tu....tunakuheshimu sana sisi wenzako.

BTW Wasaalam Mbu.

Mkuu Wacha kelele kama uko kwenye mgahawa wa kijiweni, hakuna siri stats zipo hapo in black and white chacha kama ulikimbia umande siwezi kukusaidia zaidi ya hapo, khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee unless kama unawasikiliza mafioso team ambao kwao ushindi ni wa kununua tena kwa pesa ya tajiri wao.
 
Mkuu Wacha kelele kama uko kwenye mgahawa wa kijiweni, hakuna siri stats zipo hapo in black and white chacha kama ulikimbia umande siwezi kukusaidia zaidi ya hapo, khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee unless kama unawasikiliza mafioso team ambao kwao ushindi ni wa kununua tena kwa pesa ya tajiri wao.
Mjomba mbishi kama FMES hahaha...nimekoma na wewe yani unabishana na statistics za Premier League wenyewe? Wewe kweli kiboko anyway Happy Easter.
 
Naomba wenzangu ambao hamna 'makengeza' kama mm mcheki na then mje muweke apa hadharan lini mmekiona...unless otherwise nasimama kuwa ma right na Wacha1 umekosea.
 
Mjomba mbishi kama FMES hahaha...nimekoma na wewe yani unabishana na statistics za Premier League wenyewe? Wewe kweli kiboko anyway Happy Easter.


Donge baya hilo mpira tu huu chacha hizo figures nazo hukubali mimi nichakachue ili iwe nini? Nilikuwa najibu swala la defense ya Arsenal kuwa mbaya na nikasema away stats zinaonyesha Manure defence yao ndio mbovu kuliko Arsenal, chacha kuna waliokimbia umande hapa hata data hawawezi soma imekuwa nongwa. Sishangai kwa sababu kila kitu wao hutegemea uncle Tom, wamelemazwa baada ya kukosa kitabu sasa wamebaki yatima wanategemea Russia Mafioso khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Donge baya hilo mpira tu huu chacha hizo figures nazo hukubali mimi nichakachue ili iwe nini? Nilikuwa najibu swala la defense ya Arsenal kuwa mbaya na nikasema away stats zinaonyesha Manure defence yao ndio mbovu kuliko Arsenal, chacha kuna waliokimbia umande hapa hata data hawawezi soma imekuwa nongwa. Sishangai kwa sababu kila kitu wao hutegemea uncle Tom, wamelemazwa baada ya kukosa kitabu sasa wamebaki yatima wanategemea Russia Mafioso khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Hapo kwenye nyekundu wacha UONGO hukusema away stats you simply said;

Beki yetu imekuwa inammiss sana T5 ambaye hakucheza msimu mzima tulitegemea angekuwa ok Jan/Feb lakini hakuweza kurecover, vile vile tumekuwa tunapigwa vita sana na the whole media machinery na Mafioso wakimwaga mpunga kama vile wamepata kichaa.

BTW hii mechi inafanya mechi ya weekend na Manure kuwa formalities tu kwa sababu sioni haja ya kuwakata nishai na kuwa na kelele za mafioso.

BTW defence ya Arsenal statistically ni nzuri kuliko ya Manure .... ...

Mkuu ukiangalia statistics Arsenal wana defence nzuri kuliko Manure sasa hapa sijui unaongea nini? Data zipo kaangalie, you guys mnaangalia haya mambo kijuu juu sana bila kufanya tathmini kiundani unless hufahamu what is happening within the football game.

Mkuu hizo ni facts sasa kama hutaki shauri yako. Nafikiri wengi hawaelewi sports in general how is run and how manipulative it can be through the media etc. Why Wenger wanamwandama 'cause he is the most succesful manager and not British or Scottish


Mkuu Arsenal is a major club and watchout timu zote kama Mafioso etc wanafahamu Arsene amefanya nini na wanatamani pesa zinazopatikana kama wangekuwa wao just watch down the line. khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
1608nid.jpg
 
Queen Elizabeth is a self confessed Arsenal fan. Link -> dailymail.co.uk/news/article-450089/The-Queen-self-confessed-Arsenal-fan.html
 
Mabadiliko yanatakiwa yaanze kwa kumuondoa Wenger! Mafanikio aliyoyapata yanatosha! Sasa hiv kashaishiwa mbinu na anaonekana kuipeleka timu pabaya!
Arsenal inahitaji meneja mpya!

kweli tupu,wenger atimuliwe hanajipya.
 
Donge baya hilo mpira tu huu chacha hizo figures nazo hukubali mimi nichakachue ili iwe nini? Nilikuwa najibu swala la defense ya Arsenal kuwa mbaya na nikasema away stats zinaonyesha Manure defence yao ndio mbovu kuliko Arsenal, chacha kuna waliokimbia umande hapa hata data hawawezi soma imekuwa nongwa. Sishangai kwa sababu kila kitu wao hutegemea uncle Tom, wamelemazwa baada ya kukosa kitabu sasa wamebaki yatima wanategemea Russia Mafioso khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee



Thanks God leo umejivua gamba na kujionyesha mwenyewe ni jinsi gani ulivyo mtupu! Anyway, I wish you tough luck for the rest of the season.
 
Queen Elizabeth is a self confessed Arsenal fan. Link -> dailymail.co.uk/news/article-450089/The-Queen-self-confessed-Arsenal-fan.html



Who cares?!! She is just another scrounger like most of them Arsenal fans!
 
Scezney alinaicha hoi alivyoamua kukaa ndani ya nyavu na kunywa maji...
 
Alafu guys me sidhani kama kocha ana problem...Alafu nyinyi vigeu geu mbona mkifululiza kuongoza huwa hamsemi kocha afukuzwe??Mkianza ku droo na kupoteza basi kocha hana mpya aondolewe hahaha imekula kwenu hiyo wakuu.,...
 
WACHA1 niambie mkuu hope pasaka yako una ila vizuri kabisa haha
 
Back
Top Bottom