Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

I would like to extend my sincerest thanks to one of
Manchester Uniteds greatest servants, Arsene Wenger.
A man whos ignorance and incompetence has played a
huge part in establishing United at the top of English football
and will no doubt continue to provide much needed comedy and
relief as we look to the future.

To Arsene Wenger! Long may he continue!


Bolton-v-Arsenal-Arsene-Wenger-woe-FT_2589401.jpg
 
Wazee wa magobole feki poleni sana, haya maneno ya mwenzenu anaitwa Bill toka Holloway: "Need a keeper, we don't buy one. Need a solid centre-back, we dont buy one.Need a strong leader, we don't have one. We have the funds, we don't spend them.Need a manager who lives in reality, we don't have one!!
Welcome to Arsenal FC!"

mi mkuu kilio changu hapo kwenye RED cesc he wont he will never be a strong leader .. tunakosa kiongozi uwanjani.. nawakumbuka sana hawa chini.


adams_tony_.jpg


Patrick_Vieira_681772a.jpg


HenryST_228x305.jpg
 
Hahahaha nilikutafuta sana siku na Bolton! Haya bwana kila laheri huenda mkamaliza msimu mkiwa wa 4

Ha ha ha nashukuru mungu ban ya mwisho imekupunguzia fujo zako, manake kama ungekuwa kama zamani hapa pasingekalika jumapili lool.

Endelea hivyo hivyo mkuu naona naona pound mil 58 yenu imepata goli la kwanza sio.
 
Ha ha ha nashukuru mungu ban ya mwisho imekupunguzia fujo zako, manake kama ungekuwa kama zamani hapa pasingekalika jumapili lool.

Endelea hivyo hivyo mkuu naona naona pound mil 58 yenu imepata goli la kwanza sio.

Nilikuwa Jimboni Mkuu BAN ile ilikuwa ya masaa tu!
 
Wacha kelele wewe nasikia tetesi Abraham O Vich amekufa vipi Chelsea bado mtaendelea kuwepo?

Mhhhhh Naogopa Kusema Nasikia Arsene Wenger anatazamiwa kufundisha Queens ParK Rangers Kuanzia msimu Ujao!
 
Tangazo Tangazo Tangazo Tangazo Tangazo

Kuanzia kesho ijumaa hadi jmosi kutakuwa na zoezi la kuwapima afya fans wa arsenal kabla ya mechi yao na MAN UTD ili kuzuia yale yaliyotokea kenya soon yasitokee hapa tz.

atakayesikia tangazo hili awaambie na wenzake, najua WACHA1 ni wa kwanza kuliona so waarifu CO.

signed
 
Tangazo Tangazo Tangazo Tangazo Tangazo

Kuanzia kesho ijumaa hadi jmosi kutakuwa na zoezi la kuwapima afya fans wa arsenal kabla ya mechi yao na MAN UTD ili kuzuia yale yaliyotokea kenya soon yasitokee hapa tz.

atakayesikia tangazo hili awaambie na wenzake, najua WACHA1 ni wa kwanza kuliona so waarifu CO.

signed

Wacha kuwanga wewe. Wenzako tayari uharo unawatoka khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Naona hamtaki ata ku sign inn leo...mnalo kudadadeki!
 
Vipi wakuu wa ARSENAL mpo???naona yupo mmoja tu ambaye ni ARSENAL WENGER......
 
Back
Top Bottom